Kuna msanii mwenye sura nzuri kama Frida Amani hapa Tanzania?

Kuna msanii mwenye sura nzuri kama Frida Amani hapa Tanzania?

View attachment 2041008

Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!??

Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!
Kama huyu ni mzuri kwa kweli nafikiri nikushauri ukazane kula carrot kwa wingi pamoja na mboga za majani
 
Wanaosema Frida mbaya ukiwaambia walete picha za madem zao hapa watapoteana 😂😂

Anayesema mbaya ukimwambia leta mzuri anakuletea picha ya "kugugo" 😂😂

Leteni picha za madem zenu halafu tulinganishe na Frida! Mwanaume unakuwa na wivu kuhusu uzuri wa mwanamke wewe ni gay tu
 
Back
Top Bottom