Mleta ni mshamba au ametumwa! We unaleta picha ya mtu kapaka uso rangi na photo edit.View attachment 2041008
Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!??
Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!
Haya ndo yanasababisha Tanzania hatumo kwenye top 10 kwa watoto wazuri Afrika
Mikorogo imezidiIvona ana dharau xn alafu kazeeka yule mnyamkole au Raymomd Nyamwihula anamtesa
Namkataa na sura yake ya mviringo kama mbalamwezi.
Amna kitu hapoView attachment 2041008
Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!??
Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!
Wahuni sio watu aiseeMjamzito. Usiniulize ya nani.