Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

Viongozi ambao hawana uwezo wanalazimisha kuweza,ambapo katiba pia inawabeba (incompetent leaders act like strong leaders) their decisions affect livelihood of citizens
Viongozi wanapokea misaada toka vi nchi vidogo kama sweden Norway Denmark tulivyokuwa navyo SAwa kiuchumi mwaka 1960.
Si ni aibu hii
 
Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.

Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.

Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Wewe, shetani ni yule lafa wenu mr #dishlimetilt anayeshikishwa ukuta kule ulaya. Acha kuwapakazia watu wengine.
 
Sijasoma ila nchi hii ina uwezo wa kujitegemea bila kutegemea mikopo
Huhitaji kusoma sana kwenye hili ,tunatakiwa tuwe na mfumo wakiuchumi ambao wanasiasa hawatakiwi kuuchezea hapa siongelei 'National economy and social development strategy of the existing government' naongelea 'The structure of the Nation economy'. Mfano nchi ikiamua kutolipa madeni ya ndani inaua uchumi wake yenyewe eti unahakiki madeni ulikuwa wapi kuhakiki kabla ya kupewa huduma kuna mengi mno ya kuyasema,awamu ya 5 hata kama ulikuwa na mtaji ama elimu ya ujasiriamali ilikuwa ngumu sana kutoboa
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!
 
Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.

Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.

Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Hakuna msaada punda mmoja wewe!
Wakusaidie kama nani?
Unayoita misaada ni mikopo pendwa ya kimya kimya yenye madhara makubwa mbeleni.
Hakuna nchi wala familia inaweza kuendelea wala kuwa na amani kwakusaidiwa.
Mtumwa mmoja wewe!
Na nimekuita punda kwani hata punda huwa anaona anapendwa kwa kupewa malisho.
Ukipewa nyasi nyingi na maji yakutosha ujue unamzigo mkubwa wakubeba siku hiyo
 
Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!
Tusubiri tuone.
Muda unamajibu yote!
 
Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!
Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.
Unae mtaja alikosea mengi kwenye usimamizi hadi anahusishwa kwenye deal za kimangungo nyingi.
Utawala wake ulichokwa haraka sana na wengi.
Jikumbushe tu, Hakuna uchaguzi mgumu TZ kama 1995 na hakuna uchaguzi rahisi km wa 2005. Kutoka hapo ni ushindi wa lazima hadi Magufuli alipoingia ndio wakaanza kueleweka.
Tujikumbushe kidogo. 2015 CCM waliishiwa Sera. Ikawa upande huu 'Movement for change. na upande ule Movement for Magufuli.
Hii haikutokea kwa bahati mbaya!
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Kuhusu misaada hiyo uchwara mzee Mwinyi anasemaje kwanza?
 
Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.
Unae mtaja alikosea mengi kwenye usimamizi hadi anahusishwa kwenye deal za kimangungo nyingi.
Utawala wake ulichokwa haraka sana na wengi.
Jikumbushe tu, Hakuna uchaguzi mgumu TZ kama 1995 na hakuna uchaguzi rahisi km wa 2005. Kutoka hapo ni ushindi wa lazima hadi Magufuli alipoingia ndio wakaanza kueleweka.
Tujikumbushe kidogo. 2015 CCM waliishiwa Sera. Ikawa upande huu 'Movement for change. na upande ule Movement for Magufuli.
Hii haikutokea kwa bahati mbaya!
Nilichoweza kug’amua hapa ni kuwa CCM imechokwa mbaya sana na kitambo mno, Kikwete aliruhusu hisia halisi za watu kuonekana hadharani, Magufuli alipambania legacy ya Nyerere kubaki imara nadhani ndio maana 14 walijikuta wapo Chato badala ya Butiama.
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Utadhani nchi yote ni wagogo watupu.
 
Hii nchi viongozi wasipokuwa wazalendo na makini itagawanyika vipande.
Uongo haujawahi kudumu.
Hatari zaidi kuna viongozi hawajali hisia za watu wachini (wanyonge au kivingine 'hewala baba!) Hawa ni wengi mno wakikata tamaa watadai Uhuru wao na nchi yao.
Magufuli aliingilia korosho akatukanwa. Leo kawaulize huko kusini kunani kuhusu korosho? Ni Bomu lingine linasubiri muda kilipuka!
 
Nilichoweza kug’amua hapa ni kuwa CCM imechokwa mbaya sana na kitambo mno, Kikwete aliruhusu hisia halisi za watu kuonekana hadharani, Magufuli alipambania legacy ya Nyerere kubaki imara nadhani ndio maana 14 walijikuta wapo Chato badala ya Butiama.
Kwani RAIA wanahitaji CCM au viongozi bora?
RAIA wanahitaji uongozi bora sio vingine.
Kuna faida gani kuitoa CCM 'A' nakuiweka CCM 'B'? kwa maana yako hiyo tukiichoka CCM ndio tuchague chochote kilicho mbele yetu?
Heri zimwi likujualo! Bado km nchi tunamuda wakujisahihisha
 
Uko sawa mukuu sikuzote wafia nchi huitwa majina ya hovyo lakini kumbe ndiyo watu muhimu katika mataifa yao kama vile J.P.m [emoji813] kafanya mambo makubwa sana katika nchi hii mafisadi hawaoni wana pandikiza vijana kwenye mitandao ya kijamii kuhakikisha wana zima jina lake lakini hawata weza. kapandisha uchumi kwa mda mfupi hakupenda misaada yakijinga nchi kaiacha salama R.I.P.J.P.M
Ameicha nchi ikiwa ime ugua kiharusi,mtu mbaya ambaye hakujua kuwa kufanya miradi mingi tena mikubwa ingedhohofisha uchumi wetu , Ila kwa sababu alikuwa mpenda sifa, akaendela nayo huku wajinga flani wakiwa Wana mshangilia.
Kudorora kwa uchumi wetu chanzo kikubwa uongozi mbovu wa jpm.
 
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?

Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA

Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,

Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.

Zama za MAGUFULI zimepita.

Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.

Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.

Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?

Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?

Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?

"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja

kesi za uhujumu uchumi zimeondoka na mwenda zake kwahiyo misaada ndo mkombozi. mwendazake aliwaaminisha wajinga kama wewekuw nchi tajiri kumbe anakwapua pesa za wafanyabiashara na kuteka watu naa kuwabambikia kesi walipe fidia.
 
Uko sawa mukuu sikuzote wafia nchi huitwa majina ya hovyo lakini kumbe ndiyo watu muhimu katika mataifa yao kama vile J.P.m [emoji813] kafanya mambo makubwa sana katika nchi hii mafisadi hawaoni wana pandikiza vijana kwenye mitandao ya kijamii kuhakikisha wana zima jina lake lakini hawata weza. kapandisha uchumi kwa mda mfupi hakupenda misaada yakijinga nchi kaiacha salama R.I.P.J.P.M
Jpm alikuwa hakopi?

Utawala/uongozi wake alikuwa hapokei misaada?

Ova
 
Kwani RAIA wanahitaji CCM au viongozi bora?
RAIA wanahitaji uongozi bora sio vingine.
Kuna faida gani kuitoa CCM 'A' nakuiweka CCM 'B'? kwa maana yako hiyo tukiichoka CCM ndio tuchague chochote kilicho mbele yetu?
Heri zimwi likujualo! Bado km nchi tunamuda wakujisahihisha
Iwe CCM A, CCM B au mpaka hata C, as long as ni mtanzania mwenye vigezo sioni tatizo.
 
Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.
Unae mtaja alikosea mengi kwenye usimamizi hadi anahusishwa kwenye deal za kimangungo nyingi.
Utawala wake ulichokwa haraka sana na wengi.
Jikumbushe tu, Hakuna uchaguzi mgumu TZ kama 1995 na hakuna uchaguzi rahisi km wa 2005. Kutoka hapo ni ushindi wa lazima hadi Magufuli alipoingia ndio wakaanza kueleweka.
Tujikumbushe kidogo. 2015 CCM waliishiwa Sera. Ikawa upande huu 'Movement for change. na upande ule Movement for Magufuli.
Hii haikutokea kwa bahati mbaya!
2020,wenye mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura duu!
 
Nyerere ndie aliyewapandikizia watz imani ya umasikini Ili awatawale,akiwaaminisha watz umasikini ni uzalendo, utajiri ni unyonyaji hakujua hata umasikini ni unyonyaji pia.
Masikini azalishi kama azalishi anawanyonya matajiri kwa maana bila tajiri kulipa kodi masikini apati huduma.
Tafadhali muache mzee wetu apumzike kwa amani.
 
Back
Top Bottom