Viongozi wanapokea misaada toka vi nchi vidogo kama sweden Norway Denmark tulivyokuwa navyo SAwa kiuchumi mwaka 1960.Viongozi ambao hawana uwezo wanalazimisha kuweza,ambapo katiba pia inawabeba (incompetent leaders act like strong leaders) their decisions affect livelihood of citizens
Wewe, shetani ni yule lafa wenu mr #dishlimetilt anayeshikishwa ukuta kule ulaya. Acha kuwapakazia watu wengine.Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.
Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.
Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Huhitaji kusoma sana kwenye hili ,tunatakiwa tuwe na mfumo wakiuchumi ambao wanasiasa hawatakiwi kuuchezea hapa siongelei 'National economy and social development strategy of the existing government' naongelea 'The structure of the Nation economy'. Mfano nchi ikiamua kutolipa madeni ya ndani inaua uchumi wake yenyewe eti unahakiki madeni ulikuwa wapi kuhakiki kabla ya kupewa huduma kuna mengi mno ya kuyasema,awamu ya 5 hata kama ulikuwa na mtaji ama elimu ya ujasiriamali ilikuwa ngumu sana kutoboaSijasoma ila nchi hii ina uwezo wa kujitegemea bila kutegemea mikopo
Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA
Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,
Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.
Zama za MAGUFULI zimepita.
Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.
Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.
Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?
Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?
Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?
"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Hakuna msaada punda mmoja wewe!Wapumbavu wa mwendakuzimu wala hamuwezi kuisha na mtaendelea kuweweseka kenge nyinyi.
Shetani wenu ndio amesababisha MCC wakawithdraw msaada wa mradi wa dola million 700 kwa sababu ya kenge nyinyi.
Umeme wa Rea ni msaada kutoka kwa mabeberu, barabara mikoani zimewekwa lami kwa hisani ya watu wa marekani, lakini kenge mmoja umevimbiwa makande unakuja kujamba JF? Hovyo kabisa. View attachment 1979962
Tusubiri tuone.Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!
Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.Hivi unajua ya kuwa kile alichokichuma kikwete ndicho alichokitumia magufuli in such away BOT strategic money ilirabwa yote na kubakishwa pesa ya wiki moja tu!
Kuhusu misaada hiyo uchwara mzee Mwinyi anasemaje kwanza?Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA
Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,
Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.
Zama za MAGUFULI zimepita.
Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.
Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.
Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?
Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?
Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?
"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Kabula sijui ndio yule jini au alitaka kumaanisha kabla ya!Jifunze kuandika kwanza.matusi dalili za mtu aliyekimbia umande.
Nilichoweza kug’amua hapa ni kuwa CCM imechokwa mbaya sana na kitambo mno, Kikwete aliruhusu hisia halisi za watu kuonekana hadharani, Magufuli alipambania legacy ya Nyerere kubaki imara nadhani ndio maana 14 walijikuta wapo Chato badala ya Butiama.Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.
Unae mtaja alikosea mengi kwenye usimamizi hadi anahusishwa kwenye deal za kimangungo nyingi.
Utawala wake ulichokwa haraka sana na wengi.
Jikumbushe tu, Hakuna uchaguzi mgumu TZ kama 1995 na hakuna uchaguzi rahisi km wa 2005. Kutoka hapo ni ushindi wa lazima hadi Magufuli alipoingia ndio wakaanza kueleweka.
Tujikumbushe kidogo. 2015 CCM waliishiwa Sera. Ikawa upande huu 'Movement for change. na upande ule Movement for Magufuli.
Hii haikutokea kwa bahati mbaya!
Utadhani nchi yote ni wagogo watupu.Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA
Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,
Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.
Zama za MAGUFULI zimepita.
Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.
Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.
Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?
Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?
Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?
"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Kwani RAIA wanahitaji CCM au viongozi bora?Nilichoweza kug’amua hapa ni kuwa CCM imechokwa mbaya sana na kitambo mno, Kikwete aliruhusu hisia halisi za watu kuonekana hadharani, Magufuli alipambania legacy ya Nyerere kubaki imara nadhani ndio maana 14 walijikuta wapo Chato badala ya Butiama.
Ameicha nchi ikiwa ime ugua kiharusi,mtu mbaya ambaye hakujua kuwa kufanya miradi mingi tena mikubwa ingedhohofisha uchumi wetu , Ila kwa sababu alikuwa mpenda sifa, akaendela nayo huku wajinga flani wakiwa Wana mshangilia.Uko sawa mukuu sikuzote wafia nchi huitwa majina ya hovyo lakini kumbe ndiyo watu muhimu katika mataifa yao kama vile J.P.m [emoji813] kafanya mambo makubwa sana katika nchi hii mafisadi hawaoni wana pandikiza vijana kwenye mitandao ya kijamii kuhakikisha wana zima jina lake lakini hawata weza. kapandisha uchumi kwa mda mfupi hakupenda misaada yakijinga nchi kaiacha salama R.I.P.J.P.M
Nawauliza watanzania, nchi hii ni maskini kweli au inakosa viongozi wenye maono?
Kabla ya Magufuli kuingia madarakani Kikwete alitembeza sana bakuri ughaibuni,tulivyoambulia ni pamoja na vyandarua toka USA
Magufuli akaingia madarakani slogan yake akasema nchi hii si maskini ,ina kila aina ya utajiri ,akasisitiza watanzania tuchape kazi na ndani ya muda mfupi alifanya maajabu,shahidi ni Rais wa awamu ya pili Mzee Ali Hassan Mwinyi,mara kwa mara alikiri hadharani juu kazi nzuri ya hayati Magufuli,
Ifahamike mzee huyu ni mchamungu haswa.
Zama za MAGUFULI zimepita.
Awamu ya sita imeingia naona kama tunaanza kulemazwa na misaada uchwara tena,walewale ambao wanafahamu sisi ni matajiri kwa raslimali zetu ndio wako mstari wa mbele na vijimisaada.nasi tunashangilia kweli kweli.
Je, tunahitaji misaada ama tunahitaji viongozi wenye maono ya kuhakikisha neno maskini linafutika midomoni mwetu.
Na kwanini kiongozi anayejaribu kutufumbua macho anakuwa adui kwa hawa wanaotubatiza umaskini?
Huu unaoitwa umaskini ni wa kweli au ni ukosefu wa akili ,uzalendo na maarifa?
Jamaa badala watupe ndoano tuvue samaki kazi yao ni kutupatia samaki wa kula ,nini kilicho nyuma ya hii ajenda?
"Mtanikukumbuka "alisema kiumbe mmoja
Jpm alikuwa hakopi?Uko sawa mukuu sikuzote wafia nchi huitwa majina ya hovyo lakini kumbe ndiyo watu muhimu katika mataifa yao kama vile J.P.m [emoji813] kafanya mambo makubwa sana katika nchi hii mafisadi hawaoni wana pandikiza vijana kwenye mitandao ya kijamii kuhakikisha wana zima jina lake lakini hawata weza. kapandisha uchumi kwa mda mfupi hakupenda misaada yakijinga nchi kaiacha salama R.I.P.J.P.M
Iwe CCM A, CCM B au mpaka hata C, as long as ni mtanzania mwenye vigezo sioni tatizo.Kwani RAIA wanahitaji CCM au viongozi bora?
RAIA wanahitaji uongozi bora sio vingine.
Kuna faida gani kuitoa CCM 'A' nakuiweka CCM 'B'? kwa maana yako hiyo tukiichoka CCM ndio tuchague chochote kilicho mbele yetu?
Heri zimwi likujualo! Bado km nchi tunamuda wakujisahihisha
2020,wenye mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura duu!Ila ni kwamba, huwezi kujisahihisha kwakutumia njia ile ile iliyokufanya ukosee.
Unae mtaja alikosea mengi kwenye usimamizi hadi anahusishwa kwenye deal za kimangungo nyingi.
Utawala wake ulichokwa haraka sana na wengi.
Jikumbushe tu, Hakuna uchaguzi mgumu TZ kama 1995 na hakuna uchaguzi rahisi km wa 2005. Kutoka hapo ni ushindi wa lazima hadi Magufuli alipoingia ndio wakaanza kueleweka.
Tujikumbushe kidogo. 2015 CCM waliishiwa Sera. Ikawa upande huu 'Movement for change. na upande ule Movement for Magufuli.
Hii haikutokea kwa bahati mbaya!
Tafadhali muache mzee wetu apumzike kwa amani.Nyerere ndie aliyewapandikizia watz imani ya umasikini Ili awatawale,akiwaaminisha watz umasikini ni uzalendo, utajiri ni unyonyaji hakujua hata umasikini ni unyonyaji pia.
Masikini azalishi kama azalishi anawanyonya matajiri kwa maana bila tajiri kulipa kodi masikini apati huduma.