Kuna Mtanzania bado anaamini nchi hii ni masikini na inahitaji misaada zaidi kujikwamua?

Pointless!
 

kujisahihisha ni pamoja na kuiondoa ccm madarakani
 
Pointless!
Tafuta historia halisi achana na ya darasani iliyochujwa kwa maslai ya watawala kuhalalisha kushindwa kwao kuleta maendeleo wakawatupia wakoloni lawama.
Toka lini kutawaliwa kunaifanya nchi kuwa masikini.
 
Well said
 
Jpm alikuwa hakopi?

Utawala/uongozi wake alikuwa hapokei misaada?

Ova

Angalia deni la taifa wakati anaingia jpm lilikuwa kiasi gani na baada ya miaka mi 5 lilifika kiasi gani acha kukaza ubongo
 
Unabaki kuwa ni mtazamo wako ,na ni wa kindezi kweli
 
Tatizo kubwa la Tanzania ndilo tatizo la nchi nyingi za bara la Afrika. Waafrika sisi ni wabinafsi sana. Wakati tunakuwa wabinafsi kiasi hicho pia tunaandamwa na ushamba wa madaraka. Mwafrika akishika madaraka anajua sasa wakati wa kuwa juu ya sheria umefika (na si yeye tu hata ndugu, marafiki na sisi wengine huku mtaani tunategemea jamaa asibabaishwe na polisi kwani ni mheshimiwa, akifika sehemu atetemekewe, anyeyekewe, )- na kwa kujilinda tunasema hiyo ndiyo demokrasia ya Afrika- akili zetu vituko sana.
Mpaka hapo tutakapoachana na hizi kasumba na kutambua kuwa nafasi ya kuongoza ni nafasi ya wewe kutuonyesha kipaji chako na siyo kutuibia na umwamba wako.
 
J

Je, kwa wale ambao hawakupiga kumbuka biashara nyingi zilikopa kwenye mabenki ,unadhani ninini kilitokea kwakutokulipa madeni kwa zaidi ya miaka 4 ama zaidi "many business were closed and confiscated'
Nakuhakikishia uhakiki haukusumbua kwa wafanyabiashara wakweli,unamwaga tripu 10 za mawe halafu ulipwe pesa ya tripu 30 harakaharaka,hili lilifanikiwa awamu ya nne ,mwamba alipoingia alikuwa ni mkali wa double check na ndio principle ya mwana mahesabu yoyote yule makini
 
Magufuli alikopa matrilioni na angekuwa hai leo tungakuwa kwenye deni lisilolipika. Itachukua miaka mingi kuiponya nchi na madhara ya Magufuli na genge lake.
 
Tafuta historia halisi achana na ya darasani iliyochujwa kwa maslai ya watawala kuhalalisha kushindwa kwao kuleta maendeleo wakawatupia wakoloni lawama.
Toka lini kutawaliwa kunaifanya nchi kuwa masikini.
Soma kitabu kimoja cha Walter Rodney,uamshe ubongo wako ,kinaitwa "How Europe underdeveloped Afrika ",upate madini ,huyu jamaa walim- assassinate ,baada ya kuwapa makavu
 
Magufuli alikopa matrilioni na angekuwa hai leo tungakuwa kwenye deni lisilolipika. Itachukua miaka mingi kuiponya nchi na madhara ya Magufuli na genge lake.
Kuna kukopa kwa ajili ya anasa, Magufuli alikopa kwa ajili ya ustawi wa Taifa
 
Kujimwambafai
 
Soma kitabu kimoja cha Walter Rodney,uamshe ubongo wako ,kinaitwa "How Europe underdeveloped Afrika ",upate madini ,huyu jamaa walim- assassinate ,baada ya kuwapa makavu
Nakijua Sana hamna kitu pale.Wale ni waathirika wa mawazo ya kikomunist na ujamaa.Watawala wa kiafrica baada ya kushindwa kuwaletea waafrika maendeleo baada ya mbwembe za kuwafurusha wakoloni wakawatumia watu kama kina walter rodney kuwafeed wanafunzi uongo wa kuwatupia lawama wazungu juu kushindwa kwa watawala.Ukoloni mambo leo sijui ubepari hizi filisofia ziliasisiwa Urusi kwenye chuo cha patrick lumumba enzi za vita baridi lengo kuu la Mrusi ni kupandikiza sumu ya chuki dhidi ya ulaya kwa waafrika Ili kupata sapoti ikiwemo kuwabrainwash waafrika waamini matatizo yao yameletwa na Mzungu.
Hicho kitabu kina mawazo ya kikomunist mawazo ya zamani ambayo siyo tija.Kama mwanasiasa analipwa pesa nyingi kuliko msomi kwann msomi asikimbilie ulaya kulipwa pesa nyingi?
 
Kuna kukopa kwa ajili ya anasa, Magufuli alikopa kwa ajili ya ustawi wa Taifa
Chato airport,ikulu mpya dodoma, kuhamia dodoma,burigi ,ndege zinazopaki kuna husika vipi kukuza ustawi
 
Maajabu yaliyofanyika ndiyo yanalipwa na tozo sasa hivi. Mkitaka serikali ifanye maajabu kubalini pia kulipa tozo na mkubali mfumuko wa bei. Hii ni basic Economics ambayo haikwepeki.

High government spending = High taxes and inflation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…