Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Ilianza mwezi uliopita ganzi na kuwaka moto mguuni nikaenda muhimbili nikapima sukari na damu vikawa fiti hapo wakasema Nina peripheral neuropathy wakanipatia nat BDuh Pole kwani Ilianzaje au ilitokeaje?
Upo sahihi zote n 1st line ila most prefered ni ciproNope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Pombe unakunywa?Ilianza mwezi uliopita ganzi na kuwaka moto mguuni nikaenda muhimbili nikapima sukari na damu vikawa fiti hapo wakasema Nina peripheral neuropathy wakanipatia nat B
Yeah ndo maana Nikasema the Most safe is Cipro..Upo sahihi zote n 1st line ila most prefered ni cipro
Uzito wamtoto una husika kabla ya kumchsgulia suitable drug atakayo tumia kulingana na parameter zake akisem ni sulphur intorelant napo dawa itabadilishwa.. Uyo bado n miaka 4 bdo anaweza kushambuliwa n malnutrition na akienda hospitalin anaombwa aonyeshe kadi ya clinic bdo ni pediatric
Pombe nimeacha miezi 3 iliyopitaPombe unakunywa?
Una ugonjwa wowote wa Muda mrefu(Usiutaje we Jibu ndiyo)..
Maumivu ya Mgongo?
Ulikuwa Unakunywa Chupa Ngapi kwa siku na Ulikuwa unakunywa Kiasi gani?Pombe nimeacha miezi 3 iliyopita
Ugonjwa wa mda mrefu sina
Maumivu ya mgongo sina
Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shidaUlikuwa Unakunywa Chupa Ngapi kwa siku na Ulikuwa unakunywa Kiasi gani?
Wanatatizo gani?Chezea Madokta na Clinical Officer wa kibongo ww
Unaonekana una shida binafsi na hao watuChezea Madokta na Clinical Officer wa kibongo ww
Dawa hua zipo na utameza sana tu. ila changamoto ni kwenye kubaini chanzo cha tatizo ilo kwanini miguu inakufa ganzi au kuchomachoma mithili ya sindano na kuwaka moto..Mkuu Kuna swali nataka kuku uliza nilipata ugonjwa peripheral neuropathy wakanipatia nat B pale muhimbili na dawa za kupaka ila mpaka sasa Hali bado 😢😭 naskia ganzi kalii mguuni nipate dawa Gani mbadala wa hiyo nat b
Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shida
Habari za siku kiongozi.Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..
Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Umejuaje Huo ugonjwa Ni fangas Umeonana na Daktari ukapimwa Au umeuita mwenyewe Fungus..Habari za siku kiongozi.
Naomba kuuliza eti dawa Ipi inatibu fangas za kwenye mapaja, pumbu na katikati ya makalio?
We nakwende97 Vp mbona kidole kidogo cheusi.
Any way dawa inatibu hilo tatizo.
Shukrani sana ndugu yangu ngoja niendelee na dozi na mazoeziHapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..
Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Hii nayo natumia shukrani mkuu ila Toka nianze kutumia Kuna nafuu napata aiseeHuyo mtoto ashapona tayari
Vincenzo kaulizie kuna dawa inaitwa NEUROSTRONG
Alikuwa nao mwenza akaniambukiza so nahisi ni fangas.Umejuaje Huo ugonjwa Ni fangas Umeonana na Daktari ukapimwa Au umeuita mwenyewe Fungus..
Vigumu kujua Ugonjwa wa Ngozi bila Kuuona
Madaktari wa siku hizi, Watamaliza figo za watoto.Hapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Dr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa ganiDuh Pole kwani Ilianzaje au ilitokeaje?
Ni superficial au Imeanza kuathiri mpaka Motor Ability au ni sensory peke yake?