DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Unajua Kwanini Nimekuambia Hivyo..Alikuwa nao mwenza akaniambukiza so nahisi ni fangas.
Ni alama kama michubuko flani afu nyeusi
Baba ake mwenye hana hela!! Kaja na afu 3 tu hapa mpaka panado tumempa bureMadaktari wa siku hizi, Watamaliza figo za watoto.
Miaka 4, dawa za maji ndo zinamfaa.
. Syrup chloramphenicole
. Syrup azithromycin
Jamaa yako hakukojozi vizuriDr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa gani
Kuna pharmacist alinambia nitumie gentrisome au metrinadazole USP gel ila Bado sijaanza kutumia naogopa
Naomba ushauri halafu chumusi zipo upande Mmoja tu usoni shavuni
Inatibu , Kwa miaka 4, atakua na kilo Kati ya 13-15 kwa dozi ya 250mg inatibu ,tena aende hadi siku 10.Hapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Sio sahihi ilibidi wampe Chloroquine na FluoroquinoloneHapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Wanaua kama wametumwa roho za Watu! CCM wanaona poa tu!Chezea Madokta na Clinical Officer wa kibongo ww
Embu kuwa serious bana kwanza sijakuomba ushauri wwJamaa yako hakukojozi vizuri
Safari na pombe kali kwa nini mkuu ?Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shida
Ujana tu ili nilewe haraka nirudi nyumbani kigamboni kulala baada ya kutoka kazini maana kazi yangu ya kukaa tu kwenye kiti na computer mda mrefu pale Airtel MoroccoSafari na pombe kali kwa nini mkuu ?
Njoo inbox wewe mtoto wa kike unakua mkali kama walinzi wa Yanga???Embu kuwa serious bana kwanza sijakuomba ushauri ww
Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..
Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Google neno 'Acne' afu angalia picha thibitisha kama inafana na hicho unachosema ni chunusi. Usikute n kitu kingine. Au mtumie picha daktariDr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa gani
Kuna pharmacist alinambia nitumie gentrisome au metrinadazole USP gel ila Bado sijaanza kutumia naogopa
Naomba ushauri halafu chumusi zipo upande Mmoja tu usoni shavuni
Nikuelekeze kwa mtaalamu wa ngozi.Dr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa gani
Kuna pharmacist alinambia nitumie gentrisome au metrinadazole USP gel ila Bado sijaanza kutumia naogopa
Naomba ushauri halafu chumusi zipo upande Mmoja tu usoni shavuni
Kama ni ishu ya kupata dawa na kumeza .Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.
Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.
Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.
Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.
Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Siyo mbaya, but Kwa elimu yangu hii, mtoto chini ya miaka 5, kumpa dawa za vidonge siyo vizuri kabisa..Baba ake mwenye hana hela!! Kaja na afu 3 tu hapa mpaka panado tumempa bure
Tumia na dawa hii mkuu itakusaidia Mimi now maumivu yanapunguaNa mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.
Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.
Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.
Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.
Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Cipro ni more safe kwa watoto mkuu ?Nope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Cipro ni Safe kuazia miaka 9 na kuendeleaCipro ni more safe kwa watoto mkuu ?
Miaka 12 na kuendelea ...Cipro ni Safe kuazia miaka 9 na kuendelea
Sijaelewa kama ni swali au pingamiziMiaka 12 na kuendelea ...