Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la serikali ya muungano Tanzania. Nipo kwenye mjadala mzito na mke wangu kuhusu hii mifuko ya UTT.
Tumepata pesakiasi Fulani baada ya KULIPWA fidia na Sasa nimemshauri tuwekeze kwenye bond ya utt, tatizo anatishika kuwa huko ukiweka fedha siku ukizitaka kupata kwako ni mtihani mkubwa naomba kufahamishwa.
Kama Kuna mtu amekutana na issue yeyote ya aina hii huko UTT, msaada tafadhali
Tumepata pesakiasi Fulani baada ya KULIPWA fidia na Sasa nimemshauri tuwekeze kwenye bond ya utt, tatizo anatishika kuwa huko ukiweka fedha siku ukizitaka kupata kwako ni mtihani mkubwa naomba kufahamishwa.
Kama Kuna mtu amekutana na issue yeyote ya aina hii huko UTT, msaada tafadhali