nilijua ni mimi tu nuiliesonya na kutema mate chini,yani 10M nipate LAKI 1 kwa mwezi hivi hawa maraia akili zipo sawa kweli kweli?
Mtaji wa 10M uhakika wa kupata not less ya 3m-5m kwa mwezi hapo kama utafanya biashara mwenyewe,Nyie wajuba mnaotaka kuwekeza Hebu njooni wekezeni kwangu,Mnipe hizo 10m mimi badala ya Laki kwa Mwezi nitawapa 1M kwa mwezi.
Sasa mchague wenyewe kunifaidisha mtanzania mwenzenu au hao wanyonyaji wenu,Mimi nakupa 1m imenyoooka na at anytime ukitaka mtaji wako wote wa 10M nakupa kama ulivyo no blah blah blah.
Huko UTT sasa naona ni kimbilio la wavivu wa kufikiri na waliokimbia lile somo Adui kwa watanzania (numbers),Acheni biashara Kichaa UTT ni upumbavu kama mihela yote hiyo mnapewa Laki kwa mwezi.
Watu wanakunja laki kwa siku nyie mnasubiri mpka mwisho wa mwezi,yewooomiiiiiiii Nyie maraia hebu shtukeni basiiiiiiiii