Kuna mtu amekutana na issue yoyote ya malipo huko UTT?

Kuna mtu amekutana na issue yoyote ya malipo huko UTT?

Kwa hiyo mkuu siku 3 za kazi ni tofauti na siku 10 za kusubiria? Niko mfuko wa bond nilituma maombi nikaambiwa nasubiria siku 10 za kazi, siku 10 zikaisha ndio nikakatwa hizo hela kwenye acc yangu ya utt
Kumbe tena kuna kusubiria siku 3 ili hela iingie kwenye bank?
Sijui utaratibu wa bond fund ukoje. Mimi niko liquid na huwa natoa ndani ya siku tatu za kazi hela inakuwa imeingia.
 
Milion 10 upate laki kwa mwezi? What kind of business is this?
nilijua ni mimi tu nuiliesonya na kutema mate chini,yani 10M nipate LAKI 1 kwa mwezi hivi hawa maraia akili zipo sawa kweli kweli?

Mtaji wa 10M uhakika wa kupata not less ya 3m-5m kwa mwezi hapo kama utafanya biashara mwenyewe,Nyie wajuba mnaotaka kuwekeza Hebu njooni wekezeni kwangu,Mnipe hizo 10m mimi badala ya Laki kwa Mwezi nitawapa 1M kwa mwezi.

Sasa mchague wenyewe kunifaidisha mtanzania mwenzenu au hao wanyonyaji wenu,Mimi nakupa 1m imenyoooka na at anytime ukitaka mtaji wako wote wa 10M nakupa kama ulivyo no blah blah blah.

Huko UTT sasa naona ni kimbilio la wavivu wa kufikiri na waliokimbia lile somo Adui kwa watanzania (numbers),Acheni biashara Kichaa UTT ni upumbavu kama mihela yote hiyo mnapewa Laki kwa mwezi.

Watu wanakunja laki kwa siku nyie mnasubiri mpka mwisho wa mwezi,yewooomiiiiiiii Nyie maraia hebu shtukeni basiiiiiiiii
 
nilijua ni mimi tu nuiliesonya na kutema mate chini,yani 10M nipate LAKI 1 kwa mwezi hivi hawa maraia akili zipo sawa kweli kweli?

Mtaji wa 10M uhakika wa kupata not less ya 3m-5m kwa mwezi hapo kama utafanya biashara mwenyewe,Nyie wajuba mnaotaka kuwekeza Hebu njooni wekezeni kwangu,Mnipe hizo 10m mimi badala ya Laki kwa Mwezi nitawapa 1M kwa mwezi.

Sasa mchague wenyewe kunifaidisha mtanzania mwenzenu au hao wanyonyaji wenu,Mimi nakupa 1m imenyoooka na at anytime ukitaka mtaji wako wote wa 10M nakupa kama ulivyo no blah blah blah.

Huko UTT sasa naona ni kimbilio la wavivu wa kufikiri na waliokimbia lile somo Adui kwa watanzania (numbers),Acheni biashara Kichaa UTT ni upumbavu kama mihela yote hiyo mnapewa Laki kwa mwezi.

Watu wanakunja laki kwa siku nyie mnasubiri mpka mwisho wa mwezi,yewooomiiiiiiii Nyie maraia hebu shtukeni basiiiiiiiii
Sawa nadhani kila mtu na mipango yake, mimi nimewekeza 400m kwa bond fund na nakula around 4m kila mwezi kwa maana kwa mwaka ni 48m kwangu naona sawa tuuu maana hapa mi nikufanya mazoezi na kula vzr huku nikipata mshahara huo 4m nikiwa home sasa nipate nini tena
 
nilijua ni mimi tu nuiliesonya na kutema mate chini,yani 10M nipate LAKI 1 kwa mwezi hivi hawa maraia akili zipo sawa kweli kweli?

Mtaji wa 10M uhakika wa kupata not less ya 3m-5m kwa mwezi hapo kama utafanya biashara mwenyewe,Nyie wajuba mnaotaka kuwekeza Hebu njooni wekezeni kwangu,Mnipe hizo 10m mimi badala ya Laki kwa Mwezi nitawapa 1M kwa mwezi.

Sasa mchague wenyewe kunifaidisha mtanzania mwenzenu au hao wanyonyaji wenu,Mimi nakupa 1m imenyoooka na at anytime ukitaka mtaji wako wote wa 10M nakupa kama ulivyo no blah blah blah.

Huko UTT sasa naona ni kimbilio la wavivu wa kufikiri na waliokimbia lile somo Adui kwa watanzania (numbers),Acheni biashara Kichaa UTT ni upumbavu kama mihela yote hiyo mnapewa Laki kwa mwezi.

Watu wanakunja laki kwa siku nyie mnasubiri mpka mwisho wa mwezi,yewooomiiiiiiii Nyie maraia hebu shtukeni basiiiiiiiii
Huwa napenda post zako mkuu. Unaweza kueleza unafanyaje kutengeneza 3m kutoka 10m kwa mwezi? Nikikuelewa nitakupatia kwa kuanzia 10m nione kama utaweza kufanikisha kama unavyoandika 1m kwa mwezi.
 
Huwa napenda post zako mkuu. Unaweza kueleza unafanyaje kutengeneza 3m kutoka 10m kwa mwezi? Nikikuelewa nitakupatia kwa kuanzia 10m nione kama utaweza kufanikisha kama unavyoandika 1m kwa mwezi.
Simple and Clear Mkuu, mimi siwezi kwambia nitafanya nini na hiyo 10M ninachotaka ni uje PM tupange unakuja lini ofisini tuongee kiofisi,Nitakutembeza kwenye ofisi yangu 1 tu ambayo ndio naenda itupia hiyo 10m yako

halafu utaona kifuatacho nini BOSS,kuwa huru sijawahi karibisha hata member 1 ofisini kwangu ila ukiwa tayari unataka kuwekeza kwangu nataka nikukaribishe ofisini nikueleze kwa mdomo,achana na hizi makala ninazoandika humu JF wewe nataka nikupe makala za face to face live to live.

Halafu utaamua mwenyewe uko radhi kunipa hiyo 10m kwa 1m kila mwezi au utaendelea na 10m kwa laki kila mwezi.
 
Simple and Clear Mkuu, mimi siwezi kwambia nitafanya nini na hiyo 10M ninachotaka ni uje PM tupange unakuja lini ofisini tuongee kiofisi,Nitakutembeza kwenye ofisi yangu 1 tu ambayo ndio naenda itupia hiyo 10m yako

halafu utaona kifuatacho nini BOSS,kuwa huru sijawahi karibisha hata member 1 ofisini kwangu ila ukiwa tayari unataka kuwekeza kwangu nataka nikukaribishe ofisini nikueleze kwa mdomo,achana na hizi makala ninazoandika humu JF wewe nataka nikupe makala za face to face live to live.

Halafu utaamua mwenyewe uko radhi kunipa hiyo 10m kwa 1m kila mwezi au utaendelea na 10m kwa laki kila mwezi.
..mkuu acha maneno mengi weka hapa jinsi hiyo 10m capital inavyokupa 3-5m per month...ingekuwa rahisi hivyo basi ndugu yetu ungechukua mkopo bank na kuwarudishia ndani ya miezi mitatu.!
 
..mkuu acha maneno mengi weka hapa jinsi hiyo 10m capital inavyokupa 3-5m per month...ingekuwa rahisi hivyo basi ndugu yetu ungechukua mkopo bank na kuwarudishia ndani ya miezi mitatu.!
Kama huwezi pata 3 to 5m kwenye 10m ni wewe,akili yako imelalia upande huo usio ona.. Kusema nini afanye kwenye huo mtaji uamuzi ni wangu wala sio lazima na ningekua nataka kumwambia afanye ningefungua UZI niseme.

na kwanini niseme wakati zipo thread humu zinazoongelea biashara za kufanya kuanzia Laki 1 mpk mamilioni ya pesa? Zote hujaziona au hajaziona mpaka nirudie kusema na mimi?

Kama unahisi biashara ni mtaji tu,jichanganye kakope BANK halafu usubirie faida ya 3m to 5m kama CONTROLA anavyoandika hapa.

UTT mnavyowapa hayo mahela yenu kwa mwezi wanawapa LAKI 1 mnawaulizaga wanaenda fanyia nini hadi wawape nyie laki 1?

Au kisa kaandika CONTROLA ndio maswali maswali mengiii? sikia mzee unataka kuwekeza kwangu WEKEZA subiri pesa yako mwisho wa mwezi,Hutaki HULAZIMISHWI pesa yako hupangiwi na Mtu chagua mwenyewe,Just simple.
 
ingekuwa rahisi hivyo basi ndugu yetu ungechukua mkopo bank na kuwarudishia ndani ya miezi mitatu.!
Unahisi kukopa ni raha sana eh? we unaonyesha unapenda sana mikopo,Mkuu nasumbuliwa na hao unawaita mabank kila siku nikakope lakini sitaki.

Natumiwa msg,napigiwa simu na riba zao tamu tamu wananichombeza lakini sishawishiki kukopa bank,najua ninachokifanya. Usinilazimishe nikakope hata kama nahisi biashara ni 100% sure profit.

Nipo kwenye biashara miaka ya kutosha najua ninachokiandika BOSS,acha kukopa bank kwa faida yako wewe na familia yako.Nimemaliza.
 
Unahisi kukopa ni raha sana eh? we unaonyesha unapenda sana mikopo,Mkuu nasumbuliwa na hao unawaita mabank kila siku nikakope lakini sitaki.

Natumiwa msg,napigiwa simu na riba zao tamu tamu wananichombeza lakini sishawishiki kukopa bank,najua ninachokifanya. Usinilazimishe nikakope hata kama nahisi biashara ni 100% sure profit.

Nipo kwenye biashara miaka ya kutosha najua ninachokiandika BOSS,acha kukopa bank kwa faida yako wewe na familia yako.Nimemaliza.
hahahah sawa mkuu..ila ndio kwa mara ya kwanza namsikia mfanyabiashara makini anaogopa kukopa bank...so wakina Mo, Bakhresa, late Mengi wote wanakosea sana kukopa bank..na banks zile kabisa maana hazina msaada kwenye kukopesha?
 
nilijua ni mimi tu nuiliesonya na kutema mate chini,yani 10M nipate LAKI 1 kwa mwezi hivi hawa maraia akili zipo sawa kweli kweli?

Mtaji wa 10M uhakika wa kupata not less ya 3m-5m kwa mwezi hapo kama utafanya biashara mwenyewe,Nyie wajuba mnaotaka kuwekeza Hebu njooni wekezeni kwangu,Mnipe hizo 10m mimi badala ya Laki kwa Mwezi nitawapa 1M kwa mwezi.

Sasa mchague wenyewe kunifaidisha mtanzania mwenzenu au hao wanyonyaji wenu,Mimi nakupa 1m imenyoooka na at anytime ukitaka mtaji wako wote wa 10M nakupa kama ulivyo no blah blah blah.

Huko UTT sasa naona ni kimbilio la wavivu wa kufikiri na waliokimbia lile somo Adui kwa watanzania (numbers),Acheni biashara Kichaa UTT ni upumbavu kama mihela yote hiyo mnapewa Laki kwa mwezi.

Watu wanakunja laki kwa siku nyie mnasubiri mpka mwisho wa mwezi,yewooomiiiiiiii Nyie maraia hebu shtukeni basiiiiiiiii
Intelligent investors wengi wamewekeza kwenye bonds na mutual funds. Mutual funds kuna compound interest na vipande vinakuwa thamani. Passive income ndio mpango mzima kwa sasa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
hahahah sawa mkuu..ila ndio kwa mara ya kwanza namsikia mfanyabiashara makini anaogopa kukopa bank...so wakina Mo, Bakhresa, late Mengi wote wanakosea sana kukopa bank..na banks zile kabisa maana hazina msaada kwenye kukopesha?
Mkuu bank tunakopa vizuri ila sio kwa Riba wanazotaka wao,mfanyabiashara kama Bakhresa bank zote wanatamani wamkopeshe tena riba ajipangie mwenyewe.

Ukiwa mfanyabiashara level hizo wewe ndio unapanga riba unawambia,mnakaa mezani wanakubembeleza tuongeze kidogo kuna 1 2 3,nk unajifkiria kisha unawambia sawa ntawapa % flani..

wanakupa mkopo maisha yanaendelea,ila level tulizopo sasa hivi RIBA tunapangiwa na bank,yani wao ndio wanakwambia tunataka riba kias flan,unataka wanakupa hutaki pita vile..

Mimi sijafikia level za kuwaendesha mabank,najua Muda utafika nitaweza waendesha hapo ndio nitaanza kukopa sasa,Kina MO kina Bakhresa na wengine uwajuao hawaendeshwi na mabank wao ndio wanayaendesha hayo mabank, ndio mana wengi wao hawatumii bank za TZ wanaweka pesa bank za nnje huko,bongo wanaweka za miradi tu.

Kuna utofauti mkubwa ukikopa wewe bank na akikopa MO, ukiwa ktk level za MO mkopo n mzuri sana maana haukuendeshi bali unauendesha wewe,Bank si kwa kila mtu mkuu, dagaa wote wanaoweka pesa bank ndio wanaofanya bank zina run higher.

Kina Bakhresa wanapewa mikopo bila hata RIBA mzee wanaombwa tu waweke pesa bank,wakitaka mkopo hata wa bilions wanapewa Free, wewe JE umefika huko walipo wao?
 
Mkuu bank tunakopa vizuri ila sio kwa Riba wanazotaka wao,mfanyabiashara kama Bakhresa bank zote wanatamani wamkopeshe tena riba ajipangie mwenyewe.

Ukiwa mfanyabiashara level hizo wewe ndio unapanga riba unawambia,mnakaa mezani wanakubembeleza tuongeze kidogo kuna 1 2 3,nk unajifkiria kisha unawambia sawa ntawapa % flani..

wanakupa mkopo maisha yanaendelea,ila level tulizopo sasa hivi RIBA tunapangiwa na bank,yani wao ndio wanakwambia tunataka riba kias flan,unataka wanakupa hutaki pita vile..

Mimi sijafikia level za kuwaendesha mabank,najua Muda utafika nitaweza waendesha hapo ndio nitaanza kukopa sasa,Kina MO kina Bakhresa na wengine uwajuao hawaendeshwi na mabank wao ndio wanayaendesha hayo mabank, ndio mana wengi wao hawatumii bank za TZ wanaweka pesa bank za nnje huko,bongo wanaweka za miradi tu.

Kuna utofauti mkubwa ukikopa wewe bank na akikopa MO, ukiwa ktk level za MO mkopo n mzuri sana maana haukuendeshi bali unauendesha wewe,Bank si kwa kila mtu mkuu, dagaa wote wanaoweka pesa bank ndio wanaofanya bank zina run higher.

Kina Bakhresa wanapewa mikopo bila hata RIBA mzee wanaombwa tu waweke pesa bank,wakitaka mkopo hata wa bilions wanapewa Free, wewe JE umefika huko walipo wao?
kumbuka na hayo yote usemayo kina MO,BAKHERESA na matajiri wengine wamo pia kwenye biashara za bonds
 
kumbuka na hayo yote usemayo kina MO,BAKHERESA na matajiri wengine wamo pia kwenye biashara za bonds
Mkuu wao kuwepo huko hakunifanyi mimi niwepo,ni haki yao pia

Mimi binafsi yangu siwezi fanya hiyo biashara ya bonds "kwa sasa"

sijajua huko mbeleni,ila kwa akili zangu za sasa hivi ni Hapana,pesa zangu

naweza zizalisha kwa njia nyingi tu ambazo moyo wangu umeridhia hata zikipotea kuptia njia hizo nitakua na Amani.
 
Mkuu wao kuwepo huko hakunifanyi mimi niwepo,ni haki yao pia

Mimi binafsi yangu siwezi fanya hiyo biashara ya bonds "kwa sasa"

sijajua huko mbeleni,ila kwa akili zangu za sasa hivi ni Hapana,pesa zangu

naweza zizalisha kwa njia nyingi tu ambazo moyo wangu umeridhia hata zikipotea kuptia njia hizo nitakua na Amani.
Good reply!
 
Simple and Clear Mkuu, mimi siwezi kwambia nitafanya nini na hiyo 10M ninachotaka ni uje PM tupange unakuja lini ofisini tuongee kiofisi,Nitakutembeza kwenye ofisi yangu 1 tu ambayo ndio naenda itupia hiyo 10m yako

halafu utaona kifuatacho nini BOSS,kuwa huru sijawahi karibisha hata member 1 ofisini kwangu ila ukiwa tayari unataka kuwekeza kwangu nataka nikukaribishe ofisini nikueleze kwa mdomo,achana na hizi makala ninazoandika humu JF wewe nataka nikupe makala za face to face live to live.

Halafu utaamua mwenyewe uko radhi kunipa hiyo 10m kwa 1m kila mwezi au utaendelea na 10m kwa laki kila mwezi.
Watanzania waaminifu ni wachache sana. toka enzi za mababu!
 
Mkuu wao kuwepo huko hakunifanyi mimi niwepo,ni haki yao pia

Mimi binafsi yangu siwezi fanya hiyo biashara ya bonds "kwa sasa"

sijajua huko mbeleni,ila kwa akili zangu za sasa hivi ni Hapana,pesa zangu

naweza zizalisha kwa njia nyingi tu ambazo moyo wangu umeridhia hata zikipotea kuptia njia hizo nitakua na Amani.

Iko hivi, wewe ukiona kukopa bank ni ujuha, wako wanaona inawasaidia kusukumia mambo Yao.

Wewe kama unamuda na uwezo wa kuzalisha 3M-5M Kwa mwezi Kwa mtaji wa 10M, wapo wengi tu Wana hizo 10M wameziweka bank au UTT na wanaridhika na faida ndogo wanayoipata huku pesa zao ziko salama na hawana muda wakusimamia uwekezaji.

Hapo kuhusu matajiri kukopa bila ribs pitia Tena vyanzo vyako.

Mwisho wa siku Kila mtu anaenda na vile anavyoona inamnufaisha.

Jitihada ya mtu anaepata 3-5M Kwa mwenzao na 100k kutoka 10M zinatofautiana sana. Kila mmoja anapima nafasi yake ikoje na anataka nini, hakuna haja ya kubeza wengine.
 
Back
Top Bottom