Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

Kuna Wakati Maisha yanakua Magumu, Yaani Mpaka Unawaza ata Kwenda kwa Waganga. Hivi Njia Sahihi Nikufanya Nini Maana Hata Mimi Apa Nahitaji Kazi Sana. Ila Namuamini MUNGU Sija Mkatia Tamaa. Msaada jamani Nipo Serious kwa kweli.
 
100% na unaweza kuingia hata bila oral. Nina watu wawili nawajua wametoboa kwenye ile interview yenu ya ......M.O, trust me.
 
Njia Rahisi ya kupata mganga wa kweli
Nenda kijijini huko mbali, ukishuka mwambie dereva bodaboda yoyote akupeleke kwa mtaalamu maarufu. Utafika.

Fika Kijiji chochote mbali huko sumbawanga au mbaya na kigoma fikia Guest kaa siku mbili zoeana na muhudumu muulize mganga maarufu yupo wapi utapata

Achana na waganga wa dar es salaam

Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya ulozi yapo wakuu, kuna msukuma mmoja nilikuwa nafanya naye kazi yy Kila ikifika mwezi wa 12 anasingizia miguu inamuuma anaomba ruhusu kazin anaenda kwao huko shinyanga akirud anakuja na midawa tele mingine unakuta ikifika usiku anachanganya kwenye ndoo ya maji Lita 20 anaogea, huwez amin Sasa hivi ndio bosi pale eneo wakat anakuja alikuwa kapuku tu
 
Mawezaje kwenda kwa mganga alfu babdae Tena niende kanisani Tena nakula sacramentari
 
Mawezaje kwenda kwa mganga alfu babdae Tena niende kanisani Tena nakula sacramentari
Mkuu ndo maisha yalivyo hata huyo anayekuongoza kanisani unaweza kutana naye huko kwa maganga ,haya mambo hayana formula
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]noma sana....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye maisha kama wewe ni wa kiume usipende sana mtelemko utaponza sehemu zako za kukalia sababu ya njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…