Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

Shauri yako, MUNGU anakusikia,na kuna siku atakuuliza.Kama kweli MUNGU wetu angekuwa katili kadiri ya maneno yako mimi na wewe tusingekuwepo hadi sasa hivi tukiwa tunachati; MUNGU wetu ni mwenye huruma na upendo mwingi ndio maana anatusamehe pamoja na kwamba tunamkosea sana na mara nyingi.
Yaani unanionekana jinsi gani ulivyokuwa unafuata imani ya dini sababu ya uoga. Kwahiyo kwavile naishi ndio kithibitisho cha Mungu kuwa huruma? Kwahiyo ndugu zangu na marafiki zangu waliokufa, na watu wengine waliokufa ni matokeo ya Mungu kutowaonea huruma? Kiumbe yupi ambaye atapata huruma ya milele ya Mungu, maana sifa ya kiumbe hai yeyote ni pamoja na kufa. Kuna watoto wanazaliwa na pia wanakufa, huruma ya Mungu inakuwaga wapi?
 
Mtu anajuaje ana nyota ya mafanikio au ya msoto?
hatusui kwa lolote lile!!....wenzake wanajisongesha lkn yeye..yuko palepale.....mfano umesoma na mwinyi na majibu ya mitihani ukampatia...lkn hakutmbui ....au hata akikupa ulaji unaharibu....anakuweka benchi ikulu ndogo upokee wageni ule bure....lkn pia huchomoki wenzako wanapitia hapohapo wanatusua lkn wewe mweee!!.....ndo kwaaanza na mke anakukimbia bila kujutia. Ajili ya msoto wako huo....hayaaa hajachoka umeoewa shavu kakae ubalozini huko....loool!! Ndo kwaaanza pablo escobar anakushirikisha madawa ya kulevya.....wa kwanza kukamatwa weye.....tayari umeharibu. ...sasa tukufanyeje???
 
hatusui kwa lolote lile!!....wenzake wanajisongesha lkn yeye..yuko palepale.....mfano umesoma na mwinyi na majibu ya mitihani ukampatia...lkn hakutmbui ....au hata akikupa ulaji unaharibu....anakuweka benchi ikulu ndogo upokee wageni ule bure....lkn pia huchomoki wenzako wanapitia hapohapo wanatusua lkn wewe mweee!!.....ndo kwaaanza na mke anakukimbia bila kujutia. Ajili ya msoto wako huo....hayaaa hajachoka umeoewa shavu kakae ubalozini huko....loool!! Ndo kwaaanza pablo escobar anakushirikisha madawa ya kulevya.....wa kwanza kukamatwa weye.....tayari umeharibu. ...sasa tukufanyeje???
Hahahaha sasa ukiroga unaweza legeza msoto au kama haipo haipo tu?
 
Nyie ndo Michawi haswaa tunawajua kwa mienendo yenu!!! mnawaroga sasa!! sasa mnajifanya eti hamjui!! ukisha mtaja Mungu tu!! baaasi sikia Paulo mwenyewe pamoja na kuwa na Mungu tit for tat!! Alirogwa mchana kweupeeeeee!!!

na lile chawi gwiji Ba-yesu!!.........Enyi wagalatia ni nani aliye warogaaaa??....... Musa alirogwa na wachawi wa Misri pamoja na kuongea na Mungu hivi!!!! weye ni nani usirogwe?? wacha unafiki wa kishamba ewe mchawi wa karne tunawajua!!!!......
Kakushauri ushauri wenye manufaa ya milele.Badala ya kujipa muda utafakari umeona kumfokea ndio jambo muhimu kwako. Ushauri aliokupa una thamani kuliko vyote unavyomiliki. Sio lazima uamini kwa kusikia,subiri uone kwa macho yako mwenyewe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mbona kuna watu wanaomba Mungu kabla ya safari na wanapata ajari na wengine kufa. Maombi yao yalisaidia nini.
Usilolijua ni kwamba kuna watu wapo kwa ajili ya kumtumia Mungu tu lakini hawapo tayari kumtumikia. Mimi hata nikinong'ona jambo Mungu ananitendea vile vile. Hapindishi

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Yaani unanionekana jinsi gani ulivyokuwa unafuata imani ya dini sababu ya uoga. Kwahiyo kwavile naishi ndio kithibitisho cha Mungu kuwa huruma? Kwahiyo ndugu zangu na marafiki zangu waliokufa, na watu wengine waliokufa ni matokeo ya Mungu kutowaonea huruma? Kiumbe yupi ambaye atapata huruma ya milele ya Mungu, maana sifa ya kiumbe hai yeyote ni pamoja na kufa. Kuna watoto wanazaliwa na pia wanakufa, huruma ya Mungu inakuwaga wapi?
Kuna watu wanahurumiwa sana na Mungu lakini wao hawajihurumii kabisa hivyo kujikaanga wenyewe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Kakushauri ushauri wenye manufaa ya milele.Badala ya kujipa muda utafakari umeona kumfokea ndio jambo muhimu kwako. Ushauri aliokupa una thamani kuliko vyote unavyomiliki. Sio lazima uamini kwa kusikia,subiri uone kwa macho yako mwenyewe.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
ningefoka hata wewe /yeye....asinge/usinge vumilia! Kujibu kitu hapa...hapo hujaniona na mamisuli yangu haya. Eti Ninafoka..je ungeniona???....tatizo lenu wengi humu ni kulelewa na tuvibibi mwanaume ukikunja sura sababu ya hela mingi....ke huyooo!! unaachika mbio kosa eti me kanuna leo!! Anataka kunila.....hapa umeona maandishi tu umesha lia eti nafoka...wewe dada wewe!!! Hivi ungekutana na afande Manyilizu...afande Wawa....kule 823Jkt si ungekunya wewe! Ungeacha jeshi! Kabla hajakugusa....acheni ulele mama!! Jibu kwa hoja! JKT IRUDI naona mimbuzi inazidi...ole wenu niwe Rais nakwambia Bongo woooote mlio kimbia jeshi mtapiga kwata kwa makalio....haijalishi umezeeka kiasi gani.
 
ningefoka hata wewe /yeye....asinge/usinge vumilia! Kujibu kitu hapa...hapo hujaniona na mamisuli yangu haya. Eti Ninafoka..je ungeniona???....tatizo lenu wengi humu ni kulelewa na tuvibibi mwanaume ukikunja sura sababu ya hela mingi....ke huyooo!! unaachika mbio kosa eti me kanuna leo!! Anataka kunila.....hapa umeona maandishi tu umesha lia eti nafoka...wewe dada wewe!!! Hivi ungekutana na afande Manyilizu...afande Wawa....kule 823Jkt si ungekunya wewe! Ungeacha jeshi! Kabla hajakugusa....acheni ulele mama!! Jibu kwa hoja! JKT IRUDI naona mimbuzi inazidi...ole wenu niwe Rais nakwambia Bongo woooote mlio kimbia jeshi mtapiga kwata kwa makalio....haijalishi umezeeka kiasi gani.
Hata Mungu ukitaka unaweza kumtishia hiyo misuli. Muda una sauti kali na nzito zaidi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Hahahaha sasa ukiroga unaweza legeza msoto au kama haipo haipo tu?
haaaaa!! Yaaani mkuu hapo kure kwetu tuna ita "orofya!!
Yaani sawa na yai viza!!! Hata ufanyeje halitoi kifaranga...faida pekee ni kulila mapema tu.
 
Hata Mungu ukitaka unaweza kumtishia hiyo misuli. Muda una sauti kali na nzito zaidi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Mkuu uko sahihi kabisa!!! hako ka mungu kako kazungu hako!! Siyo tu nitakatisha kwa misuli yangu miziri hii....bali nakachapa bakora barabara!! Kanakuja kukuonyesha alama za mboko....na kusisitiza lile jamaa siyo kabisa.....ndo nilivyo!!...muda wenu na sauti zenu hizo hazinihusu mie....mzisikilize vizuri....tena huyo mtoa hizo sauti mwambie kabisa hizi ni anga nyingine apeleke hizo sauti zake kuzimu huko ndo wanasikilizaga masauti ya hovyo....upo??
 
Mkuu uko sahihi kabisa!!! hako ka mungu kako kazungu hako!! Siyo tu nitakatisha kwa misuli yangu miziri hii....bali nakachapa bakora barabara!! Kanakuja kukuonyesha alama za mboko....na kusisitiza lile jamaa siyo kabisa.....ndo nilivyo!!...muda wenu na sauti zenu hizo hazinihusu mie....mzisikilize vizuri....tena huyo mtoa hizo sauti mwambie kabisa hizi ni anga nyingine apeleke hizo sauti zake kuzimu huko ndo wanasikilizaga masauti ya hovyo....upo??
Safi kabisa. Na ukimchapa atalia sana. Kisha wewe utaibuka kidedea. Hongera baunsa wa dunia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Safi kabisa. Na ukimchapa atalia sana. Kisha wewe utaibuka kidedea. Hongera baunsa wa dunia.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Yeees!!kumbe unanijua?? Ila umefanya maksudi wewe?? safi sana....endelea ivoivo kunitambua!! na onyo usirudie tena... kunijaribu jaribu make imeandikwa utaumia... Na.usimjaribu Bwana.....
 
Kuna siku nliambiwa nina nuksi sana na ndio maana kila mtu anakupakazia ww ofisini. Hivyo nikaenda kwa Tawile. Baada ya kueleza kwa kina na ulinganifu tawile kwa umakini akaniambia "Pole sana mwanangu,hii dunia ina mambo mengi sana na nyie vijana mnapuuziaga. Ww umetupiwa jini wa chuki na mkata nyota hivyo itabidi ulete Kuku jogoo mwekundu na hela elf 30 kwa ajiri ya kutengeneza dawa" mwanaume niliondoka huku nikijisemea sasa wabaya wangu wataisoma namba.
Siku ya siku kwa kweli kuku mwekundu pure mlishindwa kumpata na nikaona bora nirejee tena kwa tawile ili nimwambie ili nimlete mwenye rangi nyekundu ila sickle zake ni nyeusi. Nilipofika nikakuta kuna wamama wawili na mabinti watatu wapo nje na ndani kuna mtu anahudumiwa. Palikuwa na tambara jeupe lenye maandishi mekundu na lilitutenganisha cc na mganga. Walichokuwa wanaongea niliweza kusikia na maelezo yaleyale niliyopewa mm yaani jini na alete kuku mwekundu na elf 30.
Katika ile foleni hadi mtu wa nne maelezo na maelekezo yaleyale. Hahaha nikajifanya kama naenda nje kuongea na simu ila nilipotoka nje nikarudi jumla home.
Ni usanii tu na siri hii naitoa hapa na sikuwahi kumwambia hata tetea wangu.
Sijawahi kuamini waganga tokea hapo na hawa kuku hawa watatushitakia kwa Mungu maana ndio wanaongoza kupelekwa kwa mganga.
NB: kuku akipelekwa kwa mganga hafugwi.
 
Back
Top Bottom