Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Unapoona mganga anatoa pesa yake mfukoni kwenda kuchapisha mabango ya matangazo ambayo kayazungusha mji mzima kwenye nguzo ili apate wateja utagundua dhana ya mganga kumfanya mtu afanikiwe kwa ndumba ni uwongo na utapeli
Wewe unataka utimiziwe kwa namna gani? Mungu afanyi kazi kwa namna ya unavyotaka wewe huna mamlaka nae. Iwe unaona kwako wewe ni mabaya au mazuri yote mungu ameshayakadiria.Sasa kwa nini ana ruhusu kuombwa ikiwa anajua hawezi timiza. Unaaminisha ata mabaya pia Mungu anayapa kibali?
Mkuu uchawi upo ,,Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi?
Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu bahati zetu huko.
Asante
Jamaa yako kakosa uvumili na tamaa, pia hana shukurani wangapi wanasota mtaani na wanatamani kuingia jeshini na nafasi hawapati ukiachilia mbali tu kupata cheo. Ukishaanza mambo ya ushirikina huwaga hayaishii hapo na kadri unavyotaka vikubwa zaidi na gharama/kafara zake ndo zinazidi kuwa kubwa.Kuna jamaa yetu ni ustadhi kasota sana kitaa,kila mishe anayogusa haitiki.
Lastly akaamua kuingia jeshini,nako akawa anaona wenzake alioingia nao wanampita tu vyeo ilihali nae alikuwa na degree tena ya uhandisi wa mawasiliano, akaona isiwe tabu, akazama zake hapo Bagamoyo sijui kwa mtaalamu gani,hajakaa hata mwezi zikaja nafasi za cadet nae jina lake limo.saivi tunavyozungumza ni captain wa jeshi na keshaenda mission mbili nje ya nchi.kwa kifupi maisha super kwa sasa.
Juzi kati tena kuna jamaa yetu yuko tra akawa anatusimulia mkasa wake,anasema alipigwa zengwe kazini kwao,na huo msala ilikua atemeshwe kazi kabisa,anasema akazama huko chalinze ndani ndani sijui kuna boda boda gani alimpeleka huko,akakutana hadi na mawaziri huko wameenda kuroga ili Hangaya asiwatumbue kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri aliyofanya hivi karibuni.Mkuu uchawi upo ,,
Usimalize maneno..
Hapo ulipo kama sio kurogwa na wachawi pengine ungekuwa waziri fulani wa Tanzania..
Kuna watu wamerogwa na hawajijuwi.
Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi?
Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu bahati zetu huko.
Asante
Mbona kuna watu wanaomba Mungu kabla ya safari na wanapata ajari na wengine kufa. Maombi yao yali
Nani amekataa usiamini Ndugu?. Amini unachokiamini hakuna anayekufosi uamini au usiamini the choice is yours.Hata wabudha..wahindi..waarabu..wayahudi..wakristo..na waasili..Ndio huyo huyo...so acha watu waamini wanachoamini..
Hua nashangaa sana watu kama wewe.
#MaendeleoHayanaChama
Uchawi upo Sana mkuu.Juzi kati tena kuna jamaa yetu yuko tra akawa anatusimulia mkasa wake,anasema alipigwa zengwe kazini kwao,na huo msala ilikua atemeshwe kazi kabisa,anasema akazama huko chalinze ndani ndani sijui kuna boda boda gani alimpeleka huko,akakutana hadi na mawaziri huko wameenda kuroga ili Hangaya asiwatumbue kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri aliyofanya hivi karibuni.
Jamaa wa tra anasema issue yake imezimwa tayari na anaendelea na kazi kama kawaida.
Haya mambo yapo
Yapo na Mungu pia yupo. Mkuu una jichimbia kaburi tu mwenyewe kwenda kwa hawa watuJuzi kati tena kuna jamaa yetu yuko tra akawa anatusimulia mkasa wake,anasema alipigwa zengwe kazini kwao,na huo msala ilikua atemeshwe kazi kabisa,anasema akazama huko chalinze ndani ndani sijui kuna boda boda gani alimpeleka huko,akakutana hadi na mawaziri huko wameenda kuroga ili Hangaya asiwatumbue kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri aliyofanya hivi karibuni.
Jamaa wa tra anasema issue yake imezimwa tayari na anaendelea na kazi kama kawaida.
Haya mambo yapo
Simiyu napitia wapi lamadi ama.Njoo Simiyu huku,uje na nywele za Albino kilo 10 tu,Mkuu..Ni kupeleke kwa mtaalamu.
Mweee!! hizo dawa anachumia matako yako?? mtu ashinde porini kutwa kucha wawe uje uchukue dawa kiubwete tu?? pimbaf!? kaa ivoivo hutake nipe changu!! upate chako hutaki usinisumbue mie kaa ivoivo!!!Ngoja nakuja mkuu. Ila sitaki yule anayeomba hela. Malipo ni baada ya kufanikiwa.
Pia kumbuka ili iyo ifanye kazi ni Imani yako tu. Twaweza pewa wote Ila isifanye kazi kwako kwangu ikafanya
Nyie ndo Michawi haswaa tunawajua kwa mienendo yenu!!! mnawaroga sasa!! sasa mnajifanya eti hamjui!! ukisha mtaja Mungu tu!! baaasi sikia Paulo mwenyewe pamoja na kuwa na Mungu tit for tat!! Alirogwa mchana kweupeeeeee!!!apo na Mungu pia yupo. Mkuu una jichimbia kaburi tu mwenyewe kwenda kwa hawa watu
Mbona umetoa povu ivyo mkuu. Nadhani Sasa your mind has relaxed a bit.Mweee!! hizo dawa anachumia matako yako?? mtu ashinde porini kutwa kucha wawe uje uchukue dawa kiubwete tu?? pimbaf!? kaa ivoivo hutake nipe changu!! upate chako hutaki usinisumbue mie kaa ivoivo!!!
inawezekana ulisharogwa, na kupigwa laana kitambooo!! na lishangazi lako lile rirefuuu, sasa unataka kuturoga na sisi!! watu mnamikosi ya kudumu mnataka kufa na waganga acheni izo!
Mkuu wew relux tu!! milo mitatu ni hand to mouth siyo maisha hayo!!! huduma za kiafya lazima ije kwa gharama sababu ipo kwa gharamaaa!! lipa!! km unavo sema ni wasaniii ni sawa sikatai!!Mbona umetoa povu ivyo mkuu. Nadhani Sasa your mind has relaxed a bit.
Kumbuka huwa ni huduma na sio biashara. Utadhani ni wewe mwenyewe. Wala sinayo laana Niko poa nashukuru Allah naipata Milo mitatu na silipi bili nyingi Sana.
Sema hao jamaa zako huwa ni wasanii
Ebanaee hapo umepatia! Iko hivi mtu akilogwa hajijui kabisa..mpaka mtu àje akustue kwamba hapa kuna walakiniMkuu uchawi upo ,,
Usimalize maneno..
Hapo ulipo kama sio kurogwa na wachawi pengine ungekuwa waziri fulani wa Tanzania..
Kuna watu wamerogwa na hawajijuwi.
Mtu anajuaje ana nyota ya mafanikio au ya msoto?Mkuu wew relux tu!! milo mitatu ni hand to mouth siyo maisha hayo!!! huduma za kiafya lazima ije kwa gharama sababu ipo kwa gharamaaa!! lipa!! km unavo sema ni wasaniii ni sawa sikatai!!
chakufanya mbona rahisi tu!!.... achana nao!! ukarogwe vizuri ukome!!
Akili ikikukaa sawa ndo utajua uongo wa Mganga ndo nafuu ya mgonjwa wako!!!...wachawi wana akili sana kuliko unavodhania...km nyota lako ni mfu walipeleke wapi???!! hawaitaki!!. hata uombe kurogwa hawataki!!..wanataka wale wenye nyota za mafanikio tu!!
unaweza usiwe na laana lkn huna nyota ya mafanikio kuna watu wana nyota za kutumwa tumwa tuuu maisha yao yoote!...kuwa wakulima wa jembe la mkono tu mpka wanakufa ivoivo!
dunia ina meng hii jmnMtu anajuaje ana nyota ya mafanikio au ya msoto?
Kuna jamaa anaitwa Tajiri Kichwa,ndo Nilikuwa namjibu na sio kwamba ninakuhubiria.Wewe mlokole..nenda kaanzishe uzi wako..uite waumini ndio uanze kuwahubiria ukisanye na sadaka huko..huu uzi sio wako.
Unlesaa kama uko na uzoefu wa kushare nasi kuhusiana na waganga wa kienyeji..mana walokole wengi mmejificha kwenye ulokole kumbe kwa waganga mnatimba kama kawa.
#MaendeleoHayanaChama