Kwekitui
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 1,070
- 1,083
Mie wa kwanza...
Nilipitia maisha magumu sana nilivyomaliza chuo
Lakini huwezi amini kuna siku nilitafuta PC yangu usiku nikaanza ku update CV yangu nakumbuka ilikuwa kuanzia saa 5 za usiku hata usingizi sikuwa nao ...
Ilivyofika saa 8 usiku nikachukua udhu nikasimama kwenye nkeka na kuanza kumlilia Allah hadi saa 11 Alfajiri nikawahi wa kwanza mskitini nikapiga rakaa 2 za kabla ya sala ya Alfajiri au Subhi.
Finally nilikaa 02 tu nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ameagizwa anipe nafasi kwenye kampuni moja ya minara ya simu hapa nchini...
Mganga tena mwaminifu ni Allah pekee achana na hao wengine ni watafuta rizki kama viumbe wa Allah wengine.
Nilipitia maisha magumu sana nilivyomaliza chuo
Lakini huwezi amini kuna siku nilitafuta PC yangu usiku nikaanza ku update CV yangu nakumbuka ilikuwa kuanzia saa 5 za usiku hata usingizi sikuwa nao ...
Ilivyofika saa 8 usiku nikachukua udhu nikasimama kwenye nkeka na kuanza kumlilia Allah hadi saa 11 Alfajiri nikawahi wa kwanza mskitini nikapiga rakaa 2 za kabla ya sala ya Alfajiri au Subhi.
Finally nilikaa 02 tu nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ameagizwa anipe nafasi kwenye kampuni moja ya minara ya simu hapa nchini...
Mganga tena mwaminifu ni Allah pekee achana na hao wengine ni watafuta rizki kama viumbe wa Allah wengine.