Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

Kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana kwa kutumia waganga wa jadi?

Mie wa kwanza...
Nilipitia maisha magumu sana nilivyomaliza chuo

Lakini huwezi amini kuna siku nilitafuta PC yangu usiku nikaanza ku update CV yangu nakumbuka ilikuwa kuanzia saa 5 za usiku hata usingizi sikuwa nao ...

Ilivyofika saa 8 usiku nikachukua udhu nikasimama kwenye nkeka na kuanza kumlilia Allah hadi saa 11 Alfajiri nikawahi wa kwanza mskitini nikapiga rakaa 2 za kabla ya sala ya Alfajiri au Subhi.

Finally nilikaa 02 tu nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ameagizwa anipe nafasi kwenye kampuni moja ya minara ya simu hapa nchini...


Mganga tena mwaminifu ni Allah pekee achana na hao wengine ni watafuta rizki kama viumbe wa Allah wengine.
 
Mie wa kwanza...
Nilipitia maisha magumu sana nilivyomaliza chuo

Lakini huwezi amini kuna siku nilitafuta PC yangu usiku nikaanza ku update CV yangu nakumbuka ilikuwa kuanzia saa 5 za usiku hata usingizi sikuwa nao ...

Ilivyofika saa 8 usiku nikachukua udhu nikasimama kwenye nkeka na kuanza kumlilia Allah hadi saa 11 Alfajiri nikawahi wa kwanza mskitini nikapiga rakaa 2 za kabla ya sala ya Alfajiri au Subhi.

Finally nilikaa 02 tu nikapigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ameagizwa anipe nafasi kwenye kampuni moja ya minara ya simu hapa nchini...


Mganga tena mwaminifu ni Allah pekee achana na hao wengine ni watafuta rizki kama viumbe wa Allah wengine.
Tumesema wafia dini za kuletewe anzisheni uzi wenu..mbona mnapenda kuingilia nyuzi za mambo ya kiasili..viherehere tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Achana na waganga matapeli wa dar hao.

Njoo huku kwetu morogoro nikupeleke kwa wataalamu huko ifakara ndani ndani.

Vijana msione watu ni mawaziri mkadhani ni bahati, ile ni kazi ya ndumba
Mhhh mkuu ifakara Kuna waganga tangu lini labda ilonga
 
Ukiamini "maisha ni mchezo" hata waganga wa kweli wapo. Sitakutajia majina ila watu wengi waliofanikuwa wamepitia kwa kalumanzila.
 
Nina shuhuda mbili ambazo sometimes huwa zinanipa msukumo wa kuamini haya mambo.

Kipindi cha Mzee Kikwete kuna waziri mmoja nilikutana naye kwa mganga wa jadi. Mimi nilikuwa na tatizo la kiafya ingawa nilipigwa tu hela zangu maana baadae sana ikaja kugundulika ni TB wakati yye alisisitiza nimepigwa msumari .

Sasa yule muheshimiwa alikuwa mbunge hivyo alikuwa anautaka uwaziri . Yule mtaalamu akamwambia utaupata bila shida na kweli bwana mkeka wa mawaziri ulivyotoka tu jamaa akapewa wizara nyeti sana sitoitaja watu mtaunganisha dot.

Ya pili kuna shemeji yangu ni mjeda wa kuvaa combat alikuwa na msala huku bara hivyo alitakiwa kuhamishiwa visiwani Zanzibar . Akaenda kwao kurekebisha michongo matokeo yake amepelekwa Dar badala ya Zenji. Na yeye alikuwa hataki kwenda zenji.

Hivyo mkuu usidharau nguvu za kitamaduni. Ila mimi nahisi zinakupa majibu chanya iwapo utakuwa na imani nayo tofauti na hapo utakuwa kama mimi tu.
 
inategemeana na imani Yako mkuu ngoja niongee from my experience Kun mwaka wakati nip college nilshawah umwa sana hadi nikastop kusoma kabsa Kila hospital nayozunguka wanakwambia wew unauvimbe Kwa tumboni zunguka muhimbili kweupe zunguka aghakhan kweupe zunguka TMJ kweupe Kuna hospital moja ya wahindi nikaenda pale fire wakanifanyia full check majibu waliyonipa wakanambia ugonjwa wako unaelekea kuwahi kama cancer apo ndio nivyo give up nikamini huu mwaka navuta aseee mm mwenyewe nilkubali narejea Kwa sir God assume nilkua na kilo kama 64 nilidrop hadi 40 ivi ila Kun mshikaji wangu nilisoma naye advance mbeya aliyawh kuja nicheki hom akanikuta nimechoka afu nimegiveup kabsa yy alikuwa mtu wa njombe akanambia mwanangu ngoja tujarbu na miti shamba mm Kun mzee nitakupeleka ukajarbu yupo njombe labda unaweza Pona mm nikakubari mwamba tukatoka hom had njombe aseee fik Kwa huyo mzee picha linaanza tumefka tumekuta Kuna foleni ila mzee Yuko fasta ikafka zamu yangu mzee akafanya mamb yak anajua mwenyewe akanambia dogo ungechelewa kidogo tu ungekua Bai Bai akanambia ila upo kwangu utapona na itakuchukua mda kidogo unahitaji uwe mvumilvu na mwenye imani afu sjahitaji hela Yako kwanza nakutiba afu utanilipa badae ukikaa vizur siku ya kwanza tu alinipa dawa Kam tatu alinipa dawa kwaajili ya kuback kumbukumbu kichwani manaa niliumwa sana hadi nikawa nasahau ovyo dawa yenyewe ni alovera Poli mbili alinipa dawa ya kukata chakula nilkua Nikilala chakula kinapanda hadi mdomoni kinatoka hadi puani afu akanipa na dawa ya kusafisha tumbo aseee nilitapika hadi nilkua nagalala chini noma sana ishu kubwa ilikua kutibu donda lilopo ndani ya tumbo aseee mzee nilipgwa miti shamba had.nikapona kabsa japo ilinichukua kama two years ivi kukaaaa sawa kitu kilichikuwa kinanishangaza dawa nyingi nilzo kuwa napewa ilikua nachuma mwenyewe tena Kwa mdomo au mguu wa kulia au alikuwa anatumwa mtoto mdogo ndio ananichumia asee hakuna ndugu yangu Wala nani ni mim au mtoto mdogo na dawa nyingi unachuma Kwa mdomo
asa nikija kweny hao wanaotafuta Kaz ndio walikua weng balaaa na biashara usiseme wenye mikesi usiseme wengine wanampigia simu kabsa mzee njoo Moshi njoo kariakoo njoo Tanga njoo Moro Yani hatuli sehemu moja in short mm nilipona kabsa hadi nimekua kibonge nafanya mazoezi ya kupunguza uzito tu nimekua tukunyema nakumbka badaae wakat nimepona alinipa dawa ya nguvu za kiume roho hiyo dawa ilikua niktumia. ilikua inanguvu sana asee kama huna demu unaweza baka had niliacha kutumia asee pia aliwah nipa kitu moja inaitwa dawa ya bahati akanambia hii utakuwa unanuia kitu unachotoka mm nikanuiza nataka mademu ebwana siwez rudia tena ule ujinga mm nilzan utani mademm walikua wananisamisha wenyewe kaka naomba namba yak mara wengine kaka umeoa mara wengine naomba uwe rafki angu asee kitu Cha ajabu Kuna kadem kaliwah nifwata nyuma nyuma toka kariakoo hadi hom bila mm mwenyewe kujua asee nilishangaa kitu kingne yan Ile dawa nilkua nikiweka chini ya sakafu nakuta sisimizi wamajea hatari yan hujui hata walikotokea ikabidi nipigie simu Kwa mzee kumueleza Hali ilivyo akanambia bad kidogo tu utasumbuliwa na majini manaa hiyo dawa mda unavyozidi kwenda inazidi kuwa na nguvu itengue ipungue nguvu kabsa ukitoka kushiriki kabla hujaoga ishike kweli kabsa niliyofanya ivyo nikaona usumbufu sipati asee hapa Dunia dawa zipo tuache utani stori yangu ndefu sana siwez maliza Leo Wala kesho
Ulimlipa Million ngapi
 
inategemeana na imani Yako mkuu ngoja niongee from my experience Kun mwaka wakati nip college nilshawah umwa sana hadi nikastop kusoma kabsa Kila hospital nayozunguka wanakwambia wew unauvimbe Kwa tumboni zunguka muhimbili kweupe zunguka aghakhan kweupe zunguka TMJ kweupe Kuna hospital moja ya wahindi nikaenda pale fire wakanifanyia full check majibu waliyonipa wakanambia ugonjwa wako unaelekea kuwahi kama cancer apo ndio nivyo give up nikamini huu mwaka navuta aseee mm mwenyewe nilkubali narejea Kwa sir God assume nilkua na kilo kama 64 nilidrop hadi 40 ivi ila Kun mshikaji wangu nilisoma naye advance mbeya aliyawh kuja nicheki hom akanikuta nimechoka afu nimegiveup kabsa yy alikuwa mtu wa njombe akanambia mwanangu ngoja tujarbu na miti shamba mm Kun mzee nitakupeleka ukajarbu yupo njombe labda unaweza Pona mm nikakubari mwamba tukatoka hom had njombe aseee fik Kwa huyo mzee picha linaanza tumefka tumekuta Kuna foleni ila mzee Yuko fasta ikafka zamu yangu mzee akafanya mamb yak anajua mwenyewe akanambia dogo ungechelewa kidogo tu ungekua Bai Bai akanambia ila upo kwangu utapona na itakuchukua mda kidogo unahitaji uwe mvumilvu na mwenye imani afu sjahitaji hela Yako kwanza nakutiba afu utanilipa badae ukikaa vizur siku ya kwanza tu alinipa dawa Kam tatu alinipa dawa kwaajili ya kuback kumbukumbu kichwani manaa niliumwa sana hadi nikawa nasahau ovyo dawa yenyewe ni alovera Poli mbili alinipa dawa ya kukata chakula nilkua Nikilala chakula kinapanda hadi mdomoni kinatoka hadi puani afu akanipa na dawa ya kusafisha tumbo aseee nilitapika hadi nilkua nagalala chini noma sana ishu kubwa ilikua kutibu donda lilopo ndani ya tumbo aseee mzee nilipgwa miti shamba had.nikapona kabsa japo ilinichukua kama two years ivi kukaaaa sawa kitu kilichikuwa kinanishangaza dawa nyingi nilzo kuwa napewa ilikua nachuma mwenyewe tena Kwa mdomo au mguu wa kulia au alikuwa anatumwa mtoto mdogo ndio ananichumia asee hakuna ndugu yangu Wala nani ni mim au mtoto mdogo na dawa nyingi unachuma Kwa mdomo
asa nikija kweny hao wanaotafuta Kaz ndio walikua weng balaaa na biashara usiseme wenye mikesi usiseme wengine wanampigia simu kabsa mzee njoo Moshi njoo kariakoo njoo Tanga njoo Moro Yani hatuli sehemu moja in short mm nilipona kabsa hadi nimekua kibonge nafanya mazoezi ya kupunguza uzito tu nimekua tukunyema nakumbka badaae wakat nimepona alinipa dawa ya nguvu za kiume roho hiyo dawa ilikua niktumia. ilikua inanguvu sana asee kama huna demu unaweza baka had niliacha kutumia asee pia aliwah nipa kitu moja inaitwa dawa ya bahati akanambia hii utakuwa unanuia kitu unachotoka mm nikanuiza nataka mademu ebwana siwez rudia tena ule ujinga mm nilzan utani mademm walikua wananisamisha wenyewe kaka naomba namba yak mara wengine kaka umeoa mara wengine naomba uwe rafki angu asee kitu Cha ajabu Kuna kadem kaliwah nifwata nyuma nyuma toka kariakoo hadi hom bila mm mwenyewe kujua asee nilishangaa kitu kingne yan Ile dawa nilkua nikiweka chini ya sakafu nakuta sisimizi wamajea hatari yan hujui hata walikotokea ikabidi nipigie simu Kwa mzee kumueleza Hali ilivyo akanambia bad kidogo tu utasumbuliwa na majini manaa hiyo dawa mda unavyozidi kwenda inazidi kuwa na nguvu itengue ipungue nguvu kabsa ukitoka kushiriki kabla hujaoga ishike kweli kabsa niliyofanya ivyo nikaona usumbufu sipati asee hapa Dunia dawa zipo tuache utani stori yangu ndefu sana siwez maliza Leo Wala kesho
Endelea na story Bro
 
Haya mambo yapo kuna jamaa angu alitafta kazi mda mrefu bila mafanikio interview nyingi lakini wapi, kuna siku tulienda kwa babu mmoja, alimpa dawa moja ivi ilikua kama unga akamwambia siku akienda kwenye interview, aweke ile dawa chini ya ulimi afu asiongee chochote mpaka wale wanao mpigisha interview waanze wao kuongea. Wakianza tu ameze ile dawa ndo aongee, akafanya hivo alifaulu ule usaili akapata kazi mpaka saiv maisha yake yemesimama hatari Kiukweli aya mambo yapo
 
Unapoona mganga anatoa pesa yake mfukoni kwenda kuchapisha mabango ya matangazo ambayo kayazungusha mji mzima kwenye nguzo ili apate wateja utagundua dhana ya mganga kumfanya mtu afanikiwe kwa ndumba ni uwongo na utapeli
Umeona eenhh?!!!.Upo sahihi kabisa.
 
Achana na waganga matapeli wa dar hao.

Njoo huku kwetu morogoro nikupeleke kwa wataalamu huko ifakara ndani ndani.

Vijana msione watu ni mawaziri mkadhani ni bahati, ile ni kazi ya ndumba
Hamna lolote
 
Mkuu.umenikumbusha kuna kipindi bro wangu alikua na kesi ya roberry..tukaenda huko morogoro kwa mtaalamu..at the beginning bro alikua kapigwa 30 yrs..surprisingly bro akachomoka kwenye rufaa kama babu alivyotuahidi.
Ni MUNGU tu ndo aliwasaidia na wala sio huyo mzee.
 
Ndugu yangu kuna mganga yupo wilaya ya Geita kata ya Bukori yule mzee anaitwa mzee Kalinga Myano yule mzee niuhakika naona Anatibu watu wazito wazito Kutokana nakuwa yupo Busy anamtoto wake Nae Yuko Vzuri sana ukitaka mawasiliano ya Mwanae Ninayo Funga safari nenda nauli 40k ama 45k Utakuja kunishukuru ndugu yangu
Wewe utakuwa kibaraka wake au agent unataka upate ulaji na wewe.
 
Haya mambo yapo kuna jamaa angu alitafta kazi mda mrefu bila mafanikio interview nyingi lakini wapi, kuna siku tulienda kwa babu mmoja, alimpa dawa moja ivi ilikua kama unga akamwambia siku akienda kwenye interview, aweke ile dawa chini ya ulimi afu asiongee chochote mpaka wale wanao mpigisha interview waanze wao kuongea. Wakianza tu ameze ile dawa ndo aongee, akafanya hivo alifaulu ule usaili akapata kazi mpaka saiv maisha yake yemesimama hatari Kiukweli aya mambo yapo
Tupeko connection mkuu
 
Back
Top Bottom