Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwahy huyu alikuwa fundi wa kesi tu au??Mkuu.umenikumbusha kuna kipindi bro wangu alikua na kesi ya roberry..tukaenda huko morogoro kwa mtaalamu..at the beginning bro alikua kapigwa 30 yrs..surprisingly bro akachomoka kwenye rufaa kama babu alivyotuahidi.
Mkuu.kwa kweli kwa kipindi kile sikutaka kujua huyo babu kama alikua anadeal na kesi tu au na tiba zingine sababu issue ya bro ilikua inatuumiza vichwa kama familia.ila nachokumbuka kulikua na foleni ya watu kila mtu akiwa na shida yake,imagine sisi tulikaa siku mbili mpaka kuhudumiwa.na uzuri wa yule mzee huchukui hata mia yako,anakuambia nenda ukifanikiwa shida yako ndio urudi kutoa shukrani yako,bro siku hiyo ameachiwa huru na mahakama kuu kanda ya Dar, hakutaka hata kupoteza muda tukapitia ubungo tukaenda moro kumshukuru huyo mzee.tiba yake ilikua ni risasi na njiwa,nakumbuka alituchukua mpaka mlimani na gobore lenye risasi moja akampa bro wetu mwingine aipige hiyo risasi kuelekea uelekeo wa dar ambako ndiko rufaa ilipokua inasikilizwa,kisha akamchukua njiwa kamnenea maneno sijui ya lugha gani nae akamuachia kuelekea uelekeo wa dar,akatuambia ndugu yenu atatoka.Mkuu kwahy huyu alikuwa fundi wa kesi tu au??
Duh.kazi kweli kweliMkuu.kwa kweli kwa kipindi kile sikutaka kujua huyo babu kama alikua anadeal na kesi tu au na tiba zingine sababu issue ya bro ilikua inatuumiza vichwa kama familia.ila nachokumbuka kulikua na foleni ya watu kila mtu akiwa na shida yake,imagine sisi tulikaa siku mbili mpaka kuhudumiwa.na uzuri wa yule mzee huchukui hata mia yako,anakuambia nenda ukifanikiwa shida yako ndio urudi kutoa shukrani yako,bro siku hiyo ameachiwa huru na mahakama kuu kanda ya Dar, hakutaka hata kupoteza muda tukapitia ubungo tukaenda moro kumshukuru huyo mzee.tiba yake ilikua ni risasi na njiwa,nakumbuka alituchukua mpaka mlimani na gobore lenye risasi moja akampa bro wetu mwingine aipige hiyo risasi kuelekea uelekeo wa dar ambako ndiko rufaa ilipokua inasikilizwa,kisha akamchukua njiwa kamnenea maneno sijui ya lugha gani nae akamuachia kuelekea uelekeo wa dar,akatuambia ndugu yenu atatoka.
Haya mambo mkuu yasikie tu kwa watu,sisi ilibidi tutafute njia mbadala kwa sababu mawakili wa serikali walikua wanataka 15m ndio waweze kuchezesha ili bro ashinde rufaa,sisi kama familia tumejichanga tukapata only 5m tumewabembeleza jamaa wamekataa kabisa.basi ndio tukakutana na mdau mmoja akatuwahisha huko kwa fundi ambako pamoja na kila kitu tulitumia laki 3 tu.
Ndugu yangu kuna mganga yupo wilaya ya Geita kata ya Bukori yule mzee anaitwa mzee Kalinga Myano yule mzee niuhakika naona Anatibu watu wazito wazito Kutokana nakuwa yupo Busy anamtoto wake Nae Yuko Vzuri sana ukitaka mawasiliano ya Mwanae Ninayo Funga safari nenda nauli 40k ama 45k Utakuja kunishukuru ndugu yangu
Viongozi wa serikali ndo vinara wa hayo mamboSoon ulozi utashika kasi,vijana wataona huko ndiyo sehemu sahihi yakutobolea maisha!
Kwa maana hyo nyinyi sas na familia yenu Ni washirikina au siyo bhna ..katu hamuwezi kuacha hyo tabiaMkuu.kwa kweli kwa kipindi kile sikutaka kujua huyo babu kama alikua anadeal na kesi tu au na tiba zingine sababu issue ya bro ilikua inatuumiza vichwa kama familia.ila nachokumbuka kulikua na foleni ya watu kila mtu akiwa na shida yake,imagine sisi tulikaa siku mbili mpaka kuhudumiwa.na uzuri wa yule mzee huchukui hata mia yako,anakuambia nenda ukifanikiwa shida yako ndio urudi kutoa shukrani yako,bro siku hiyo ameachiwa huru na mahakama kuu kanda ya Dar, hakutaka hata kupoteza muda tukapitia ubungo tukaenda moro kumshukuru huyo mzee.tiba yake ilikua ni risasi na njiwa,nakumbuka alituchukua mpaka mlimani na gobore lenye risasi moja akampa bro wetu mwingine aipige hiyo risasi kuelekea uelekeo wa dar ambako ndiko rufaa ilipokua inasikilizwa,kisha akamchukua njiwa kamnenea maneno sijui ya lugha gani nae akamuachia kuelekea uelekeo wa dar,akatuambia ndugu yenu atatoka.
Haya mambo mkuu yasikie tu kwa watu,sisi ilibidi tutafute njia mbadala kwa sababu mawakili wa serikali walikua wanataka 15m ndio waweze kuchezesha ili bro ashinde rufaa,sisi kama familia tumejichanga tukapata only 5m tumewabembeleza jamaa wamekataa kabisa.basi ndio tukakutana na mdau mmoja akatuwahisha huko kwa fundi ambako pamoja na kila kitu tulitumia laki 3 tu.
Kinachofanyika sio kupata kazi bali kuilinda hiyo kazi , Ni sawa tu na utajiri unaweza ku hussle ukapata mpunga wako bila ndumba lakini kuulinda ubaki utazihitaji hizo nguvuAchana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi?
Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu bahati zetu huko.
Asante
Achana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi?
Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu bahati zetu huko.
Asante
😀Nadhani Doto Biteko anamtumia huyo
Badala ya kupata kazi utapata mkosi hawa waganga hawafaiAchana na hizi kazi za kwenye vijikampuni uchwara vya wachina au wahindi.
Nauliza kuna mtu amewahi kupata kazi ya maana either serikalini au kwenye makampuni ya kimagharibi na NGO kwa nguvu za witch doctors a.k.a waganga wa jadi?
Kama yupo ebu aje hapa atoe ushuhuda wake ili na sisi tukajaribu bahati zetu huko.
Asante
Acha ubishi dogo..kama huamini ninwewe..ili haya mambo yapo na yanafanya kazi..endelea ku receive hapo kwa mwamposa..Kwa maana hyo nyinyi sas na familia yenu Ni washirikina au siyo bhna ..katu hamuwezi kuacha hyo tabia
Sizani Kam Ni uchawi ulifanyika Ni mawakili waliona tu kuwa hawna ushaidi wa kutoshaaa
Sabaya naee tusubirj hukumu yake akishinda ya rufaa tuseme uchawi
I receive I receive ..kjn Yule mjinga San mambo ya familia unaweka mtandaoni eti tulienda kwa mganga atusaidie Kaka yetu aliekuwa jambaz zugu ..sas Yule jamaa ameacha ujambazi au ndio amenda kuzimikwa dawa kuiba bila kuonekana unakosea Sana bwan mdgo hayo mamb Ni Siri acha siku mmletewe maiti ndio mtajuwa mgaanga aliwadanganya temporarilyAcha ubishi dogo..kama huamini ninwewe..ili haya mambo yapo na yanafanya kazi..endelea ku receive hapo kwa mwamposa..
#MaendeleoHayanaChama
Nimesem futa hi andiko haraka sna mambo ya familia unayanika mtandaoni kweli eti alikuwa na kez za ujambazi mkamtafuta mgangaMkuu.kwa kweli kwa kipindi kile sikutaka kujua huyo babu kama alikua anadeal na kesi tu au na tiba zingine sababu issue ya bro ilikua inatuumiza vichwa kama familia.ila nachokumbuka kulikua na foleni ya watu kila mtu akiwa na shida yake,imagine sisi tulikaa siku mbili mpaka kuhudumiwa.na uzuri wa yule mzee huchukui hata mia yako,anakuambia nenda ukifanikiwa shida yako ndio urudi kutoa shukrani yako,bro siku hiyo ameachiwa huru na mahakama kuu kanda ya Dar, hakutaka hata kupoteza muda tukapitia ubungo tukaenda moro kumshukuru huyo mzee.tiba yake ilikua ni risasi na njiwa,nakumbuka alituchukua mpaka mlimani na gobore lenye risasi moja akampa bro wetu mwingine aipige hiyo risasi kuelekea uelekeo wa dar ambako ndiko rufaa ilipokua inasikilizwa,kisha akamchukua njiwa kamnenea maneno sijui ya lugha gani nae akamuachia kuelekea uelekeo wa dar,akatuambia ndugu yenu atatoka.
Haya mambo mkuu yasikie tu kwa watu,sisi ilibidi tutafute njia mbadala kwa sababu mawakili wa serikali walikua wanataka 15m ndio waweze kuchezesha ili bro ashinde rufaa,sisi kama familia tumejichanga tukapata only 5m tumewabembeleza jamaa wamekataa kabisa.basi ndio tukakutana na mdau mmoja akatuwahisha huko kwa fundi ambako pamoja na kila kitu tulitumia laki 3 tu.
Madereva wengi Ni washirikina wazuri tu ndio maan baadhi wanapata ajali za kufikiria kutoana na maruweruweStory hii nimeshuhudia live.
Wakati nipo dogo ndio nmemaliza 4m4..kulikua na bro wangu alipataga majanga sana..kwanza alikua dereva wa daladala..alipataga majanga kwa ajali kubwa..kisha kuja kuugua ugonjwa ambao hospitali zote alizoenda vipimo vyote hakuonekana na ugonjwa..ila aka elekezwa kwa mtaalam mmoja huko shinyanga vijijini.
Huyo mtaalamu alifanya macjekeche yake..jama alikuja kupona akarudi kwenye reli na kuendelea na mapambano ya maisha.
Ingawa jamaa alikua na familia kipindi narudi kitaani nikamkuta kachoka sana na life hana mbele wala nyumba..life la kuungaunga..anaomba kazi hapati mind you jamaa alikua dereva na leseni ipo...ila kila akiomba kazi hapati akipata ni dei waka.
Sikumoja akaniita nimwandikie barua ya kuomba kazi..kahama viwandani huko...nikamwandikia kisha akaniamba dogo kesho jiandae unisindikize mahali..
Basi kesho yake asbh na mapema nikamsindikiza mpka vijijini ndani ndani huko..kufika pale kaniambia dogo maisha ni kujipanga tunasali pia tuna pambana na upande wa pili.
Basi akafanyiwa mafekeche na mtaalamu wake..mida ya jioni tukaondoka kurudi home..kesho yake akachukua barua akatuma.
Hakukaa wiki..bhna akapata ile kazi.
Jamaa alipiga kazi..kajenga nw maisha safi tu.
Huo ndio ushuhuda wangu wa haraka haraka..ni mengi tu niliyoona.
Walokole na wafia dini za kuletewa watapinga..brainwashed creatures hawa..hawajua kua babu zetu walikua na uwezo wa kuzui au kuomba mvua ikanyesha..kama wanabisha waende kushuhudia miujiza ya kina mwanamalundi...
Dini asili zipo na zinafanya kazi kubwa.
#MaendeleoHayanaChama