Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
Daaah aseeeeeeeDuh... Hali ikiendelea kuwa ngumu hivi graduate wengi watajifunza ulozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah aseeeeeeeDuh... Hali ikiendelea kuwa ngumu hivi graduate wengi watajifunza ulozi
connection naomba kaka maisha ya kitaa yameninyooshaHaya mambo yapo kuna jamaa angu alitafta kazi mda mrefu bila mafanikio interview nyingi lakini wapi, kuna siku tulienda kwa babu mmoja, alimpa dawa moja ivi ilikua kama unga akamwambia siku akienda kwenye interview, aweke ile dawa chini ya ulimi afu asiongee chochote mpaka wale wanao mpigisha interview waanze wao kuongea. Wakianza tu ameze ile dawa ndo aongee, akafanya hivo alifaulu ule usaili akapata kazi mpaka saiv maisha yake yemesimama hatari Kiukweli aya mambo yapo
Connection ni Yesu. Wewe unaonaje?connection naomba kaka maisha ya kitaa yameninyoosha
Omba MUNGU kijana, Achana na Waganga wa kienyeji.
Mungu Baba. Muumba mbingu na nchi alfa na omega. Yeye ambae yupo
Bro wako ni jambaziMkuu.umenikumbusha kuna kipindi bro wangu alikua na kesi ya roberry..tukaenda huko morogoro kwa mtaalamu..at the beginning bro alikua kapigwa 30 yrs..surprisingly bro akachomoka kwenye rufaa kama babu alivyotuahidi.
Mkuu ni mda uyo mzee sidhani kama bado yupo ilikua 2017Tupeko connection mkuu
Sawa,lkn tunapomuomba MUNGU kutusaidia ktk jambo fulani huwa tunaruhusu pia Mapenzi yake kutimizwa, Sasa yanapotokea hayo haina maana kuwa MUNGU hakuweza kutunusuru au hatupendi,bali wakati mwingine huruhusu hayo kwaajili ya Sifa na Utukufu wake.Mbona kuna watu wanaomba Mungu kabla ya safari na wanapata ajari na wengine kufa. Maombi yao yalisaidia nini.
Hata wabudha..wahindi..waarabu..wayahudi..wakristo..na waasili..Ndio huyo huyo...so acha watu waamini wanachoamini..Mungu Baba. Muumba mbingu na nchi alfa na omega. Yeye ambae yupo
Wewe mlokole..nenda kaanzishe uzi wako..uite waumini ndio uanze kuwahubiria ukisanye na sadaka huko..huu uzi sio wako.Sawa,lkn tunapomuomba MUNGU kutusaidia ktk jambo fulani huwa tunaruhusu pia Mapenzi yake kutimizwa, Sasa yanapotokea hayo haina maana kuwa MUNGU hakuweza kutunusuru au hatupendi,bali wakati mwingine huruhusu hayo kwaajili ya Sifa na Utukufu wake.
Sawa,lkn tunapomuomba MUNGU kutusaidia ktk jambo fulani huwa tunaruhusu pia Mapenzi yake kutimizwa, Sasa yanapotokea hayo haina maana kuwa MUNGU hakuweza kutunusuru au hatupendi,bali wakati mwingine huruhusu hayo kwaajili ya Sifa na Utukufu wake.
Hakuna linalo mshinda Mungu kwahiyo Sio kila unaloliomba kwa Mungu basi ni lazima litimie vile unavyotaka wewe Mungu anajua lililobora na heri kwako hata kama wewe utaliona nibaya au halijakupendezaKama anajua yeye kwa mapenzi yake hawezi kukinga na ajari kwa nini ana ruhusu tumuombe
Hakuna linalo mshinda Mungu kwahiyo Sio kila unaloliomba kwa Mungu basi ni lazima litimie vile unavyotaka wewe Mungu anajua lililobora na heri kwako hata kama wewe utaliona nibaya au halijakupendeza
NdiyoBro wako ni jambazi
Kuna jamaa yetu ni ustadhi kasota sana kitaa,kila mishe anayogusa haitiki.Hakuna linalo mshinda Mungu kwahiyo Sio kila unaloliomba kwa Mungu basi ni lazima litimie vile unavyotaka wewe Mungu anajua lililobora na heri kwako hata kama wewe utaliona nibaya au halijakupendeza
Njoo Simiyu huku,uje na nywele za Albino kilo 10 tu,Mkuu..Ni kupeleke kwa mtaalamu.Ngoja nakuja mkuu. Ila sitaki yule anayeomba hela. Malipo ni baada ya kufanikiwa.
Pia kumbuka ili iyo ifanye kazi ni Imani yako tu. Twaweza pewa wote Ila isifanye kazi kwako kwangu ikafanya