Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kumuomba inabaki pale pale kwasababu yeye ndie Muweza wa yote,hata Uhai wetu upo mikononi mwake.Kama anajua yeye kwa mapenzi yake hawezi kukinga na ajari kwa nini ana ruhusu tumuombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumuomba inabaki pale pale kwasababu yeye ndie Muweza wa yote,hata Uhai wetu upo mikononi mwake.Kama anajua yeye kwa mapenzi yake hawezi kukinga na ajari kwa nini ana ruhusu tumuombe
Already relaxed sir. Anything elseMweee!! hizo dawa anachumia matako yako?? mtu ashinde porini kutwa kucha wawe uje uchukue dawa kiubwete tu?? pimbaf!? kaa ivoivo hutake nipe changu!! upate chako hutaki usinisumbue mie kaa ivoivo!!!
inawezekana ulisharogwa, na kupigwa laana kitambooo!! na lishangazi lako lile rirefuuu, sasa unataka kuturoga na sisi!! watu mnamikosi ya kudumu mnataka kufa na waganga acheni izo!
Hakika mkuuEbanaee hapo umepatia! Iko hivi mtu akilogwa hajijui kabisa..mpaka mtu àje akustue kwamba hapa kuna walakini
Unaorogwa sio mfumo, ni wale wanaokufanyia usaili😄😄😄😄Hakuna kitu kama hicho kazi una apply kupitia portal au email je utaroga mfumo wa computer?
Sio mchezo ndugu, hadi watu wanafikiria kuroga😄😄😄Ajira zimekuwa ngumu Sana.
😄😄😄😄Duh... Hali ikiendelea kuwa ngumu hivi graduate wengi watajifunza ulozi
Ila tatizo ni connectionSio mchezo ndugu, hadi watu wanafikiria kuroga😄😄😄
Usikufuru mkuu.Mbona kuna watu wanaomba Mungu kabla ya safari na wanapata ajari na wengine kufa. Maombi yao yalisaidia nini.
Usikufuru mkuu.
Life gumu dada anguYani watu wamefikia kuwa wachawi kwa ajili ya kazi!!!
Eeeh mwenyezi Mungu niepushe 🙏
Mbona hii ni same hata kwenye dini za kuletewe..lazima usali sana..ushike sheria sana...utoe sadaka na zaka sana...ili ubarikiwe.Jamaa yako kakosa uvumili na tamaa, pia hana shukurani wangapi wanasota mtaani na wanatamani kuingia jeshini na nafasi hawapati ukiachilia mbali tu kupata cheo. Ukishaanza mambo ya ushirikina huwaga hayaishii hapo na kadri unavyotaka vikubwa zaidi na gharama/kafara zake ndo zinazidi kuwa kubwa.
Mbona wewe unaamini kwamba wanaoamini mengine wako gizani..wewe unauhakika upo kwenye nuru..tusichoshane bhna..kaa na imani yako hakuna mtu aliyeomba umletee dini yako.Nani amekataa usiamini Ndugu?. Amini unachokiamini hakuna anayekufosi uamini au usiamini the choice is yours.
Ila cha muhimu ni wewe kufikishiwa kweli ufwate usifwate it's none of no one bussiness. Jukumu kubwa ni wewe kufikishiwa hiyo kwelii
# ukiwa Gizani umezungukwa na giza kuona nuru ni tabu sana
# ipo kweli itakayokuweka huru
# kabla hujamshangaa mwingine jishangae wewe mwenyewe kwanza kwakua bado uko gizani
Vyema..ukaanzisha uzi wako sio kuingilia nyuzi za watu.Yapo na Mungu pia yupo. Mkuu una jichimbia kaburi tu mwenyewe kwenda kwa hawa watu
anyway wanachokifanya hawa waganga ni hivi, let say una tatizo la kikaz umeenda kutoa hela tatizo linaisha kwa muda tu na anacheza na mindset yako baada ya mda vitu vinarudi pale pale. Na worst zaidi anacheza na sehem nyingine ya maisha yako au anakupa balaa lingine ili usiache kwenda
Wewe ni kwenda kwake na kuendelee kutoa hela until uwe broke kabsaa
Aisee Mungu anafanya ukatili ili apate sifa! Stori za vitabuni aisee zinachekesha sana muda mwingine.Sawa,lkn tunapomuomba MUNGU kutusaidia ktk jambo fulani huwa tunaruhusu pia Mapenzi yake kutimizwa, Sasa yanapotokea hayo haina maana kuwa MUNGU hakuweza kutunusuru au hatupendi,bali wakati mwingine huruhusu hayo kwaajili ya Sifa na Utukufu wake.
Shauri yako, MUNGU anakusikia,na kuna siku atakuuliza.Kama kweli MUNGU wetu angekuwa katili kadiri ya maneno yako mimi na wewe tusingekuwepo hadi sasa hivi tukiwa tunachati; MUNGU wetu ni mwenye huruma na upendo mwingi ndio maana anatusamehe pamoja na kwamba tunamkosea sana na mara nyingi.Aisee Mungu anafanya ukatili ili apate sifa! Stori za vitabuni aisee zinachekesha sana muda mwingine.
Siku ukikua utaelewaYani watu wamefikia kuwa wachawi kwa ajili ya kazi!!!
Eeeh mwenyezi Mungu niepushe [emoji120]