Kuna mtu bado anamlinganisha Hayati Magufuli na Marais wa nchi yetu tangu Tanganyika na sasa Tanzania?

Kuna mtu bado anamlinganisha Hayati Magufuli na Marais wa nchi yetu tangu Tanganyika na sasa Tanzania?

Taifa hili bado linahitaji ukombozi wa kifikra na kushinda vita dhidi ya ubinafsi ndipo tutakapo pata maendeleo ya kweli
 
Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Bado tunahitaji Rais kama JPM.

Mungu ibariki Tanzania.
Jiwe anapaswa kufukuliwa na kuadhibiwa kwa viboko maana ameua wengi, ameteka wengi, amepora wengi na amewapiga risasi watu wengi .
 
Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Bado tunahitaji Rais kama JPM.

Mungu ibariki Tanzania.
JPM yuko kuzimu harudi tena duniani. Acheni uwendawazimu. Hatuhitaji binadamu mshamba, mbaguzi, katili, muuaji km huyop mfu wenu kuwa kiongozi mkubwa nchi hii. Never, never and never again.
 
Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Bado tunahitaji Rais kama JPM.

Mungu ibariki Tanzania.

Ni kweli kabsaa atakumbukwa after 30yrs later, alikuwa mwanamapinduz wa kweli. Hata Thomas Sankara wakti anauwawa alibezwa, media zikawa corrupt wakamchafua sana ila baada ya miaka 30 akakumbukwa kwa makubwa aliyowatendea wana Bukinabe. Wanamapinduzi hawafi wanapumzika roho zao zinaishi
 
Kifo chake ni big loss kwa taifa, bado napata wakati mgumu sana kuamini tutakuja kupata rais kama jpm. He was different. Naona marais kama yeye kwa africa ni kagame, alikywepi ghadaffi sijui wengine
kifo chake faida kubwa sana nchi hii sahivi twahishi maisha halisi yaisyo na vitsho, uonevu, ubaguzi wala uuaji. Tunamshukuru sana Mungu kuamua ugomvi. Km vipi mfuate alipo we nyau
 
Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Bado tunahitaji Rais kama JPM.

Mungu ibariki Tanzania.
Mtu ameficha mabilioni nje, amepoteza na kuuwa wananchi, ameleta ukabila nk leo unasema alikuwa anawapenda watanzania, kweli?!
 
JPM apewe tu maua yake hata kama hayupo.
 
JPM yuko kuzimu harudi tena duniani. Acheni uwendawazimu. Hatuhitaji binadamu mshamba, mbaguzi, katili, muuaji km huyop mfu wenu kuwa kiongozi mkubwa nchi hii. Never, never and never again.
Tunalinganisha tu ndugu. Povu jingi sana.
 
Tunapokuwa tunazungumzia Magufuli, ni sawa na kugusia rasilimali adhimu kuliko zote hapa Tanzania na duniani!
 
Dr Magufuli was a true African hero, though he has left us in body, his spirit will live on through many Tanzanians he loved and who loved him so deeply.
 
Ila aliipenda zaidi CHATO, kuliko Tanzania nyingine yoyote.

Haizuiwi kupenda nyumbani, lakini iwe ni kwa uwiano na kutumia akili vyema.
 
Tunapokuwa tunazungumzia Magufuli, ni sawa na kugusia rasilimali adhimu kuliko zote hapa Tanzania na duniani!
Hakika. Hii nchi JPM aliiona mbali sana. Watu wachache sana wangefanya mambo aliyo yafanya.
 
Dr Magufuli was a true African hero, though he has left us in body, his spirit will live on through many Tanzanians he loved and who loved him so deeply.
A son of Africa. I have been to many Africa Countries - they all know Magufuli. His death is believed to involve westerners.
 
See
20230604_011237.jpg
 
Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.

Bado tunahitaji Rais kama JPM.

Mungu ibariki Tanzania.
Kila rais alifanya vizuri kwa wakati wake
 
Back
Top Bottom