econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Acha ujinga Tanzania ilianza 2015?. Unawajua wazee waliopambania uhuru wa Tanzania. Punguza unafiki.Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.