Kuna mtu humu ndani alishafanikiwa kupata uhamisho kupitia ESS. Je utumishi huchukua muda gani kuapprove?

Msaada jamani. Sasa hivi kila kitu ni kupitia Esss.

Mimi niliomba uhamisho. Na maombi yapo utumishi yanasubiri approl. Je huwa yanachukua muda gani?

Mimi Mwl muuza Kangala
Hakuna watu wenye wazandiki kama watumishi wa utumishi OR,kazi kubwa ni kukwamisha uhamisho,na huu mfumo umeanzishwa kuzuia watu kuhama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…