Kuna mtu kachana na kiwembe cover la pikipiki yangu nimetafakari bila majibu

Kuna mtu kachana na kiwembe cover la pikipiki yangu nimetafakari bila majibu

antanarivo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2018
Posts
450
Reaction score
883
Sijajua ni nani lakini hili jambo limeniumiza sana yaani mtu kaja na kiwembe sehemu niliyokuwa nimepaki pikipiki yangu kachana cover la pikipiki yangu.

Sijui nimwachie mungu au nifanye ubayaubaya yaani hapa sielewi kinachoniuma sio kuharibu cover langu ila nachowaza huyu mtu ana lengo gani?
 
Sijajua ni nani lakini hili jambo limeniumiza sana yaani mtu kaja na kiwembe sehemu niliyokuwa nimepaki pikipiki yangu kachana cover la pikipiki yangu sijui nimwachie mungu au nifanye ubayaubaya yaani hapa sielewi kinachoniuma sio kuharibu cover langu ila nachowaza huyu mtu ana lengo Gani?
Huyo anasumbuliwa na roho mbaya, wivu na ujinga mbali na umaskini
 
Sijajua ni nani lakini hili jambo limeniumiza sana yaani mtu kaja na kiwembe sehemu niliyokuwa nimepaki pikipiki yangu kachana cover la pikipiki yangu sijui nimwachie mungu au nifanye ubayaubaya yaani hapa sielewi kinachoniuma sio kuharibu cover langu ila nachowaza huyu mtu ana lengo Gani?
Unamuachiaje Mungu? Huyo mtu katumwa na Mungu, fanya unachoweza kumbaini aliyefanya huo ujinga kisha dili nae. Usiwe mnyonge kupitiliza aisee, maisha hayako hivyo na uache falsafa za kumuachia Mungu
 
Kuna fundi computer kanidhulumu pc yangu kauza na kanipa mbovu nimempa live nitamtamfuta mtaani kwake nimfnyie jambo hata kumpasua na panga au nimpore simu na kumvimbisha kichwa wa machinga complex sitamuacha ... Must augulie.. simuachii Mungu adui naemuweza la manina
 
Mkuu ushauri wangu usifanye maamuzi yeyote mabaya, Mungu anamiguvu sana na ananjia zake za kutupima sisi wanadamu una weza kuwa mtego huo [emoji23] sali sana mshukuru Mungu kwa kukupa uhai mpaka leo hii una pumua na kula vizuri tu.

Mambo mengine kama hayo una potezea tu una mwachia Mungu mwenyewe amalizane nayo. Tafuta pesa nenda ka repair cover la boda yako.
 
Sijajua ni nani lakini hili jambo limeniumiza sana yaani mtu kaja na kiwembe sehemu niliyokuwa nimepaki pikipiki yangu kachana cover la pikipiki yangu sijui nimwachie mungu au nifanye ubayaubaya yaani hapa sielewi kinachoniuma sio kuharibu cover langu ila nachowaza huyu mtu ana lengo Gani?
nadhani ni pete ya urembo au key holder ya yule bidada abiria wako wa mwisho wakati anashuka ni kama alikwaruza hivi
 
Back
Top Bottom