Kuna mtu kachana na kiwembe cover la pikipiki yangu nimetafakari bila majibu

Kuna mtu kachana na kiwembe cover la pikipiki yangu nimetafakari bila majibu

Tunakukumbusha usijiachie sana.
Sisi binadamu wa hapa mtaani kwako usidhani tunafurahia sana maendeleo yako.
 
Kama unammudu, bc pambana nae hakuna kumuachia mungu
 
Daah Bongo kwa kukwamishana sana muhuni anaenda kuchana boda ya mtu harafu anasepa tu ndio furaha yake...angekua TRA huyo ndio hao wanaongeza Tozo kila kukicha au kuongeza Kodi ya Magari hata chakavu tusiweze kulipia..
 
Back
Top Bottom