Kuna mtu nafahamu kiasi gani cha pesa kimetumika kufanya Land Rover Festival ya Arusha?

Kuna mtu nafahamu kiasi gani cha pesa kimetumika kufanya Land Rover Festival ya Arusha?

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Mafuta, matengenezo, matangazo,posho na n.k kwa magari zaidi ya 1000 huu pesa inawashwa kibiriti kisa tu ni kunshindana na wajerumani waliona uchumi mkubwa zaidi Ulaya na wanaosadia bajeti yetu ya kitaifa.

USSR
 
Nadhani Washiriki wanajigharamia wenyewe kwa haitakuwa gharama kubwa... Sema tuu kama kutakuwa na usumbufu wa watumiaji wengine wa barabara ndio itakiwa indirect cost...
 
Mafuta , matengenezo, matangazo,posho na n.k kwa magari zaidi ya 1000 huu pesa inawashwa kibiriti kisa tu ni kunshindana na wajerumani waliona uchumi mkubwa zaidi ulaya na wanaosadia bajeti yetu ya kitaifa

USSR
huwa sipo upande wa bashite hata afanyeje, ila katika hili amenifurahisha. It doesn't matter kiasi gani kimetumika, hata kama kimetoka serikalini au kwa wafadhili au watu wenyewe wamejitegemea, cha muhimu ni kwamba event aliyoifanya ni bora sana na anatakiwa kupongezwa.
 
Mafuta, matengenezo, matangazo,posho na n.k kwa magari zaidi ya 1000 huu pesa inawashwa kibiriti kisa tu ni kunshindana na wajerumani waliona uchumi mkubwa zaidi Ulaya na wanaosadia bajeti yetu ya kitaifa.

USSR
Ambae hana pesa ni wewe, punguza malalamiko acha wenye class zao wafanye show. Hao ndio wana drive uchumi wa jiji
 
Muda mwingine chadema hua akili zao bana , makonda kawapita kwenye ubunifu maana kampeni zenu zote baada ya slaa hakuna iliyofanikiwa , makonda ana matatizo yake lakini kwenye hilo kapiga bao mchana kweupe
Fuatilia huyo mleta uzi huwa ni wa chama gani. Au ni mambo migambo wanaruka na kukanyagana?
 
Mafuta, matengenezo, matangazo,posho na n.k kwa magari zaidi ya 1000 huu pesa inawashwa kibiriti kisa tu ni kunshindana na wajerumani waliona uchumi mkubwa zaidi Ulaya na wanaosadia bajeti yetu ya kitaifa.

USSR
Lucas hayupo?
 
Wamejipeleka wenyewe kwa kausha damu. Muda si mrefu utasikia vilio.
 
huyo jamaa ni full idiot na zero patriotism, fikiria hiyo nguvu angeitumia tu hata tu ku promote kahawa inayolimww tanzagiza iwe siku ya unywaji kahawa watu wanywe kahawa ya tanzagiza, ingesaidia uchumi wa nchi kwa kiasi gani? ingesaidia wakulima wa kahawa kwa kiasi gani? lkn anakwenda ku promote land rover ambapo hakuna hata kiwanda cha kusupply chochote land rover, kwa kifupi anatumia tanzagiza taxpayers money ku promote foreign companies, hakuna usaliti zaidi ya huu …
 
Kuna muda mwingine ukiwa na wivu sana unajipunguzia muda wa kuishi duniani.

Hadi umeandika uzi umefuatilia kama ni cha kipuuzi ungeacha tu kikupite
 
Mafuta, matengenezo, matangazo,posho na n.k kwa magari zaidi ya 1000 huu pesa inawashwa kibiriti kisa tu ni kunshindana na wajerumani waliona uchumi mkubwa zaidi Ulaya na wanaosadia bajeti yetu ya kitaifa.

USSR
Hayo maigizo yatakuwa yametafuna zaidi ya milioni 500, nje tu ya Arusha pale Monduli hakuna maji, barabara, madawati, madawa n.k
 
Back
Top Bottom