HoiyeeeeeeeNazi hoyeeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HoiyeeeeeeeNazi hoyeeeee.
Duh...kaka we una PhD.am looking up to u ..navotamani kuwa jiwe ai...Nimekuelewa mkuu hii kanuni naitumia sana yaan mie sasa sipo kwenye naz wala firigisi mie ni jiwe jiwe tuuu nje ngum ndan ngum ukileta za kuleta tupaa kuleee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sinaga jam na mapenz landa hapo badae naeza kuwa kanazi kwa mbaaaali ila sio maini kabisaaaa[emoji23]
Sijawaita mieNa mpenzi wangu...!
Amen, thanks for the compliment.... Usijikaze kisabuni hadi ukarudi kwa muumba kizembe zembe, tafuta sub kwanza ndio umuache huyo unaemuita ng'ombe 😄Asante,...naendelea kupoa MDOGO MDOGO.anyways ewe Salt...nimekua jf for long but sikuwahi kubwa na account. Nimekua nasoma post zako and unaongeaga ukweli mwingi ujue.am yo big fun and leo kucomment on wat I said its an honour my dia.wewe sio timu ila una mashabiki and Mimi ni mmoja wao.long live EVELYN Salt.umeni inspire kiukweli kua Nazi....hii NGOMBE yangu nimefuta namba ata akipiga sipokei.kwani iko nini?naumia ila ushaniambia niwe Nazi....unazi tu
Ilitokea tuna wewe mkuu ulijichanganya ilikuaje ukapenda ng'ombe mkuu?
We ni mwanaume??? Nmeshtuka kidogo nianguke siku zote najua we she....Umenikumbusha enzi hizooo nilizama kwa manzi mmoja hivi, basi alijiona Queen, pozi, maringo, viburi daah navumilia tu (nilikua maini, lol)
Gheto alikua anakuja fresh tu, tuna spend (alikua good on bed, damn!) basi akitoka hapo simu hazipokelewi mara hapatikani nikaona huu ubwege ufike mwisho sasa,
siku moja tu nilichukua maamuzi magumu na sikurudi nyuma, akaanza kusumbuka yeye nikawa firigisi, lol
Tangu niwe na huyu Mxhosa nimekua maini tena, kwenye mahusiano hua naangalia sana Heshima, nadhan mkiheshimiana mengine yatakua mteremko tu.
Amen, thanks for the compliment.... Usijikaze kisabuni hadi ukarudi kwa muumba kizembe zembe, tafuta sub kwanza ndio umuache huyo unaemuita ng'ombe [emoji1]
Yeah tafuta sub ujiweke kwanza moyo utulie ndo umpige chini, make hapo moyo unahang tehHahaha eti sub
Sub zipo.hii NGOMBE nilikua nimeipendekeza ikuwe mama ya watoto.icho ndo kinauma.na imekua 2yrs in a row...aki God knows I triedYeah tafuta sub ujiweke kwanza moyo utulie ndo umpige chini, make hapo moyo unahang teh
Inaonyesha umeteseka katika haya mambo sana!, sasa dhahiri umesha kuwa Suguhahahahah nimeipenda hiyo mm nataka niwe jabali kabisa manake hawa viumbe wakujifanya tumetoka ubavuni mwao huwa hawaishiwag vitimbwi...... usipokua kauzu wanakupeleka mpera mpera sana...
Nimependa tu ROHO YA NYAU!Roho ngumu ndio, ukiwa mlaini sana utateseka yatakupeleka puta yakufanye zombi. Moyo upondeke, ujione haufai uyachukie mapenzi wakati ni makitu matamu tu. Chagua kua nazi (nje ngumu ndani laini) au firigisi (nje laini ndani ngumu) ukiwa maini umekwisha.
Kwenye mapenzi ukiwa na moyo laini sana utateseka, ukiangalia watu wanaoteswa ni watu wenye mioyo laini, wenye mapenzi, unyenyekevu nk yani mtu moyo laini hadi akikosewa anaomba msamaha yeye. Ndugu zangu wa kiumeni roho ngumu sijui mmemuuzia nani hadi siku hizi mapenzi yanawaliza kama watoto hamkuaga hivi eti!!
Enzi hizo nikiwa sijachagua kuwa Nazi, jamaa mmoja alinipeleka puta alininyoosha, namzimia mbaya nae anajua anazimiwa basi simu nimtafute mie nikichuna anachuna, akiwa na kiu ndo anicheki kwa yale makopa nikiitwa natamani kupaa naona gari itanichelewesha. Pozi zikazidi mara simu asipokee uuuh sikomi napiga tu napiga tu mwisho nkajiona fala. Namba yake fyeka, picha msg na kila kitu fyekelea mbali nikauchuna japo naugulia siku inaisha ila kwa tabu oooh.
Wiki tatu zikakata wote kimya, najifanya Nazi nje mgumu ila huku ndani naugua, mara akaibuka na "hi" yani hi tu ikanitia nyegeee nyegezi mapenzi jamani mmmh nikakaushaa zikapita siku kadhaa ikaingia simu namba ngeni sio za Tz inaita mara mbili naicheki tu ya tatu nikapokea "mambo" kumbe ni yeye nikajifanya simjui "poa we nani", najibu kikauzu sauti ya kike nikaiacha kabatini mie flani kajitambulisha, huku moyo umejaa furaha ila najibu kawaida "okay ahsante" akaguna naona alikua haamini akajichetua nimesafiri nikirudi nitakucheki nami "ok" na simu nikakata utadhani nimepiga mie nikasikia rahaa makopa kopa nayaona. Nikawa narudi kwa ile namba naicheki tu nasmile sipigi wala nini.
Kesho yake akaanza upya I miss you much bla bla nikamjibu me too anashukuruuu ooh thanks, much thanks, nkajisemea pambafff kumbe kupendana unajua ila ule ulaini wangu ndo unakupa kiburi tukaanza kupendana tena ila moyo mlaini nikaudelete bora niugulie huko pembeni ila muda huo naweka roho ya nyau.
Nikamkumbuka jamaa yangu anavoliaga na mapenzi, mlaini hadi anaboa utadhani sio mwanaume. Ni vile tu kwenye mapenzi ya watu inatakiwa kuwa na ushauri neutral nisijekua mchawi kalaba hapo baade, mke nae kishamjua jamaa laini basi anamfanyia mapicha picha kosa afanye yeye na bado aombwe msamaha. Jamaa akinipa story anajitutumua yule mwanamke atanikoma nami nampoza kiuongo uongo jamani mapenzi uvumilivu kumbe namjua mwanaume maini tu hana lolote ataenda kuomba msamaha. Ukiona zengwe zinazidi punguza ulaini
Angalizo, za kuambiwa changanya na zako kabla hujaamua kuwa Nazi au firigisi angalia na mtu wako yukoje usijejifanya mgumu akapeperuka. Usikute alikua anakutafutia sababu umejifanya mgumu kumbe ndo umejikatia tiketi.
Alamsik
Tatizo lenu mnaishi na wasichana katika mahusiano hafu nyie hamuwapi assuarance ya kuwaoa, hapo ukipata kifaa kingine yeye unampiga teke, hafu unakuta na yeye alikuwa akiwaringia waoaji nao wameshapata wengine.Haya ndo maisha nayoishi nkitext asipojibu ndo kimya kinaendelea mpaka atafute namna yakunijibu
Kuna siku nlishawahi muita geto akazingua blabla nyingi , nkafuata namuuliza tatizo nini? Hana jibu la maana anakumbushia makosa ambayo yalishapitaga na alishanisamehe, nlipoona haeleweki nkasepa zangu kiroho safi yaani sijambebeleza, nafika geto nusu saa nyingi nashangaa mlango unangongwa,
Kichwa cha chini kinamsumbua mnyime uone kama atakufuata tena, yaani mwambie tuendelee kuwa wapenzi tu ila mzigo hapana uone kama hatapita hivi, au ukifika wakati wakupeana mzungushe kama alikuwa hakupendi hata mwezi hautaisha atakuonesha ukweli ila kama anakupenda kweli ataenda kula wengine lakini hasepi moja kwa moja atakuwa na muda na ww
Ndo ninachomwambia huyo kwamba akizungusha tu lazima asepeHayo mapenzi ya kuringishiana ni vijana wa umri wa below 22 yrs, Nitongoze dem ameshainjikwa misumari ya kutosha hafu naye anizungushe kuhusu papuchi namuacha.
Fasta tu yaani umri wa kubembeleza kupewa tunda ushapitaNdo ninachomwambia huyo kwamba akizungusha tu lazima asepe