Kuna muda unatamani kwenda kuroga kwa mganga ili nipate chaneli za pesa

Kuna muda unatamani kwenda kuroga kwa mganga ili nipate chaneli za pesa

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
Eh bwana wakuu chaneli za pesa ni ngumu sana kuna muda mambo yanabana moka unatamani hata ungekua una imani ya kishirikina ukaroge ilimradi na mm nipate chaneli za pesa wazee mambo hayaendi ukiangalia vijana wenzetu wanafanya mambo ya maendeleo sisi tunakomaa kupambana lakini inakua ni kama tunawafanyia kazi watu wengine aisee tutakua saidia fundi mpaka lini?

Lakini tuna imani iko siku lakini dah mambo sio kabsa Unakaa unajiuliza hili swali lakn hupati majibu unajaribu kutafta chaneli lakini nako ni ngumu aisee inaumiza sana Kuna muda unatamani ubeti lakn unaona ni kupoteza muda maana unaweza weka odd 1 na bado ukaliwa yaan dah
 
ebhana wakuu chaneli za pesa ni ngumu sana kuna muda mambo yanabana moka unatamani hata ungekua una imani ya kishirikina ukaroge ilimradi na mm nipate chaneli za pesa wazee...
Kemea kabisa... hiyo roho ya kukata tamaa na kuona njia ni moja ya kuroga ni ya kishetani. Utajikuta umeingia kwenye mtego wa kuua ndugu zako upate utajiri kumbe ndio unazidi kuangamia.

Walioua wazazi wao walianzaga hivyo hivyo. Waza tofauti ukimtegemea Mungu. Jitume njia itaonekana tu.. anzia na kidogo ulichonacho.
 
Ukiona uchungu unazidi basi kuna fursa inakuita badala ya kulalamika mitandaoni embu jifungie katika chumba chako cha ndani umuulize Mungu wako kwa imani yako.

Ni wapi anataka kukupeleka.

Kuna fursa gani huioni.

Nadhani inaweza kuwa msaada zaidi na kukupa amani moyoni.
 
Kemea kabisa... hiyo roho ya kukata tamaa na kuona njia ni moja ya kuroga ni ya kishetani. Utajikuta umeingia kwenye mtego wa kuua ndugu zako upate utajiri kumbe ndio unazidi kuangamia...
Kweli mkuu siwez kwenda kwa mganga ika tu naamini iko siku mambo yatakua poa lakini ndo unabaki kujiuliza mpka lini na hasa ss familia za kimaskini unakuta bado wazazi wanakuangalia ww yaan mtu ndo kwanz una miaka 20-25 halafu wazazi wanakuangalia ww uwasaidie mkuu inaumiza sna apo hujakutana na changamoto za ujana
 
Ukiona uchungu unazidi basi kuna fursa inakuita badala ya kulalamika mitandaoni embu jifungie katika chumba chako cha ndani umuulize Mungu wako kwa imani yako...
Tunaamini iko hvo dadaangu lakn changamoto ni nyngi sana hasa ss tunaotokea kweny familia za chini kuna mda mambo yanakataa kila unapojarbu kutafta chaneli lkn unagonga mwamba kuna muda unamlilia mungu lkn hujibiw tunaamini wakat wa kujibiwa haujafka ila chngmoto ni nyng sister acha tu
 
Bahati mbaya hela haikai kwenye huruma na upendo, hela hukaa kwenye ukatili unyama na kila aina ya uovu, hela bila ya damu jasho na kila aina ya harassment ni ngumu sana kuipata.
Kwaiyo ww unataka kunambia umejiung na pesa za kumwaga damu..?
 
Back
Top Bottom