Kuna mwalimu mkuu mmoja yupo njiani muda huu, anaenda kwa bosi kujieleza kwanini hawakufundisha Jumamosi hii

Mtumie meseji,kamishna wa elimu,Dr.Lyabwene Mtahabwa.Ilishakatazwa hiyo hali,itakua afisa elimu,alikua kafuata mchepuko wake(ambaye ni mwalimu),eneo hilo,na anataka kulipwa posho.Hapo afisa elimu kafoji tripu,ale posho.Rejea waraka uliosainiwa na Dr.Mtahabwa,ulikataza kabisa.
 
huo ni ujinga,upumbavu,kwa nini muende jumamosi?Je Kuna posho hiyo juma mosi?Sheria za kazi zinakataa !!!mwambie mwalimu wako afanyeujasiriamali ziku za juma mosi
wanaojitambua hawafanyi huo ujinga wa kufanya KAZI NJE na mda wa KAZI,piga KAZI mda wa kazia tu ukiisha kapige mishe zingine,Kwa hali hii lini walimu tutaendesha. Subaru Forester!????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ajira ni utumwa
Kuzaliwa duniani ni utumwa, haijalishi umejiajili au umeajiliwa. Kuns mtu kaandika hapa, kuna kituo cha mafuta kimefungiwa, kwa kuto uza mafuta kwa siku tatu, wanatakiwa wajieleze, kwa EWURA wasipoeleweka wanafungiwa mazima.
Nadhani pia unaona akina Mwijaku, Baba Levo, Dotto magari kazi wanazofanya kwa wanaume wenzao, muhimu jali unachoingiza.
 
Wakati naleta mada hii nilijua kuwa mahanithi wapo tu hivyo hujanisumbua bado.

Wasikupe pressure hao mkuu. Hao ndiyo wale nyani wanaoshangilia bandari kuuzwa kama wale washangiliao kuchomwa kwa miti porini.
 
Huruma sana.
Bora hawa wa mjini wazazi tunawapiga kampani kwa mtindo wa pesa ya tution na mitihani.
Au na wizara ya elimu na TAMISEMI tuwape DP WORLD
 
Ualimu na waalimu waheshimiwe. Hata Dkt Magunguli alikuwa mwl ila hata hakuwasaidia kabisa hata kidogo, na sasa top 5 wawili ni waalimu ila ndiyo hivyo
 


Ujaelewa, na wala huwezi elewa, hivi unafikiri mimi ningejieleza? Kwani Mwalimu mkuu hana observation ya hali ya wanafunzi wake akaamua wapumzike?
 
Ujaelewa, na wala huwezi elewa, hivi unafikiri mimi ningejieleza? Kwani Mwalimu mkuu hana observation ya hali ya wanafunzi wake akaamua wapumzike?
NImejibu neno, kuajiliwa ni utumwa, utumwa unaanza tu ukizaliwa na kuanza kujitegemea, hivyo hata kwenye sekta binafsi utumwa upo, ndiyo maana mtu unasikia anajieleza, mimi sikupenda kufanya hivi, ila Serikali, watu ama shida imenilazimu kufanya hivi.
 

Sawa. Ni maoni yako lazima yaheshimiwe
 
Binafsi sijawahi kuielewa elimu ya Tanzania kuanzia mifumo yake ya utendaji pamoja na uongozi.

Huwa naona matamko mengi lakini utekelezaji ni ziro kabisa, Kwa mfano huu utaratibu wa kusoma siku za weekend na siku za likizo umetoka wapi?

Kwanini kalenda ya masomo isizingatiwe? Kama kwa mwaka siku za masomo ni 194 kwanini zisifuatwe? Shida ni nini hasa???

Tunatengezeza taifa la hovyo kupita kiasi lililojaa uoga wa kila aina, Yaani viongozi , wazazi na wanafunzi wameshajiaminisha kuwa lazima kusoma muda mwingi eti ndio watafaulu, Huu ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu.

Tuache elimu ya kukariri, tujifunze stadi na ufundi ili tuwe na kizazi imara.

Hii nchi upumbavu ni mwingi sana kwa kweli.
 
Walimu wengine ni sifuri kabisa. Mwalimu mkuu/mkuu wa shule atanipangiaje kazi nje ya siku za kawaida? Nasema atafundisha yeye. Sifanyi kazi ambazo hazipo kwenye azimio la kazi na kwenye andalio la somo, hata akishitaki kwa muajiri huwa sitishiki kwa kuwa nazijua sheria za kazi kulingana na mkataba wa ajira. Sitaki kufanyishwa kazi kiholela na hakuna binadamu mwenzangu wa kuitumia akili yangu vibaya apendavyo. Kama ni kusoma wote tumesoma kila mtu awajibike kwenye kazi zake tuheshimiane.
 
Si walimu wakuu mkiwa kwenye vikao vyenu vya kujipendekeza Kwa Maafisa elimu ndio huwa mnapropose kufundisha hadi Jumapili ili kuongeza ufaulu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahaha ili Kulinda ukuu uendelee kubaki na posho ya madaraka iendelee.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Yaani ni shida mkuu, masomo ya ziada au tuition zinatakiwa kuwa initiative za mwanafunzi mwenyewe kujua kama anayahitaji na atamwomba mzazi amlipie, sasa hii ya kuswaga kila mtoto abaki shule likizo au asome tuition ni kuwanyanyasa hao watoto.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…