Kuna mwamba alirudia Form II mara 8 katika shule nne tofauti na zote akafeli

Kama namjua vile
 
Wee jamaa ni phaller sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kwamba mama kaona mabomba yana mduara unaofanana kama 0 ambayo ndio akili ya jamaa... mara akafeli kwa kishindo... hahahahahahaha ha [emoji1787] [emoji38]
 
Huyu mwamba alikuwa anafahamika sana kwa kupata mitihani ya form two iliyovuja na alikuwa anaipata ile yenyewe,

Mwenyewe anaamini NECTA walikuwa na kisa naye.
Mwenye ile picha ya Obama anakunywa chai naiomba mara moja
 
Hahahaaa
 
Mwenye ile picha ya Obama anakunywa chai naiomba mara moja
Mkuu unaweza usiamini lakini kwa waliokuwa dom enzi hizo hasa wanafunzi walikuwa wanampata huyo mwamba alikuwa anaishi mitaa ya Mlezi na alijulikana kwa umahiri wa kuvujisha paper.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…