Kuna mwamba alirudia Form II mara 8 katika shule nne tofauti na zote akafeli

Kuna mwamba alirudia Form II mara 8 katika shule nne tofauti na zote akafeli

Huyo hadi nimemwonea huruma. Kuna mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CHADEMA kutoka kaskazini.. nikiwa darasa la 3 yeye yuko la 7.

Nae pia kasotea sana ku-risiti kidato cha nne kwasababu wakati niko kidato cha nne bado alikuwa anarudia mtihani. Shukrani kwa kigogo wa CHADEMA aliyemsaidia kuingia kwenye siasa hadi kupenya kwenyw viti maalum ingawa wenyewe wanamwita Covid19 kwa sasa.
Kama namjua vile
 
Huyu mwamba alikuwa anafahamika sana kwa kupata mitihani ya form two iliyovuja na alikuwa anaipata ile yenyewe, alikuwa na moyo wa kuwapiga pindi wenzake na kuwakaririsha majibu, akiingia kwenye chumba cha mtihani anafeli kwa kishindo, yaani F zote, wenzake wanafaulu.
Wee jamaa ni phaller sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Kwamba mama kaona mabomba yana mduara unaofanana kama 0 ambayo ndio akili ya jamaa... mara akafeli kwa kishindo... hahahahahahaha ha [emoji1787] [emoji38]
 
Huyu mwamba alikuwa anafahamika sana kwa kupata mitihani ya form two iliyovuja na alikuwa anaipata ile yenyewe,

Mwenyewe anaamini NECTA walikuwa na kisa naye.
Mwenye ile picha ya Obama anakunywa chai naiomba mara moja
 
Huyo hadi nimemwonea huruma. Kuna mbunge wa viti maalum kwa tiketi ya CHADEMA kutoka kaskazini.. nikiwa darasa la 3 yeye yuko la 7.

Nae pia kasotea sana ku-risiti kidato cha nne kwasababu wakati niko kidato cha nne bado alikuwa anarudia mtihani. Shukrani kwa kigogo wa CHADEMA aliyemsaidia kuingia kwenye siasa hadi kupenya kwenyw viti maalum ingawa wenyewe wanamwita Covid19 kwa sasa.
Hahahaaa
 
Mwenye ile picha ya Obama anakunywa chai naiomba mara moja
Mkuu unaweza usiamini lakini kwa waliokuwa dom enzi hizo hasa wanafunzi walikuwa wanampata huyo mwamba alikuwa anaishi mitaa ya Mlezi na alijulikana kwa umahiri wa kuvujisha paper.
 
Back
Top Bottom