Kuna mwana CCM atagombea Urais mwaka 2025 dhidi ya Samia Suluhu?

Kuna mwana CCM atagombea Urais mwaka 2025 dhidi ya Samia Suluhu?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili aridhi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Atakayejaribu atashughuliwa hadi achakae
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili aridhi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Badala ya kujiuliza kuhusu Mbowe (mwenyekiti wa kudumu) wewe unang'ang'ana na Samia. Hapo ndipo unapokosea kamanda.
 
Badala ya kujiuliza kuhusu Mbowe (mwenyekiti wa kudumu) wewe unang'ang'ana na Samia. Hapo ndipo unapokosea kamanda.
CCM ni chama cha kudumu? Maana huwa mnasema mtatawala milele.

Sijui hata hiyo milele kama mnaijua. Mnapenda sana kukufuru MUNGU na yeye huwa anashughulika nanyi chap kwa haraka.
 
Haeleweki vipi. Nenda kigoma huko uone maendeleo yanavyoprlekwa kwa kasi. Au we huwa humwelewagi anapoleta maendeleo? Unataka aachane na maendeleo ili useme amefanya kitu au. Nenda kgm leo majaenerator yamezimwa na ni full grid ya taifa. Mabarabara mpaka vijijini. Mwaga huu lazima mmeze ndoano
Wana ccm wapo wengi wanaosubiri fomu za kugombea zitolewe nyingi.
Kwa kifupi maza hatoshi na haeleweki na kuna dalili anayeongoza ni mwingine asiyejulikana isitoshe dini yetu hainiruhusu
 
CCM ni chama cha kudumu? Maana huwa mnasema mtatawala milele.

Sijui hata hiyo milele kama mnaijua. Mnapenda sana kukufuru MUNGU na yeye huwa anashughulika nanyi chap kwa haraka.
Unakuwa kama utopolo. Yaani wamepigwa kule Sudan wao wanaanza kumlaumu Mwamnyeto badala ya kujiangalia wapi wamejikwaa.
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Ebu rudia tena! Nini?
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Hakuna mwenye ubavu huo! Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Jaribio la aliyepo kulazimisha lipitishwe JINA lake pekee halina tofauti na jaribio la Uncle kufuta upinzani na kuextend ukomo wa 10 years ulikuwa ukivunja katiba.

Nashauri baada ya Kutupa KATIBA mpya,

apumzike akalee wajukuu.

Tutamkumbuka sana.
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Fomu zenyewe za mgombea kwa nafasi ya urais zipo kwa ajili mtu mmoja tu, sasa huyo mtia nia mwingine ambaye atataka kujitosa katika kinyang'anyiro ndani ya CCM atazipata nyingine wapi!?

Kwa utamaduni uliopo ndani CCM, nafasi ya urais haishindanishwi kwa mtu aliyeongoza kwa muhula wake wa kwanza. Na hivi ndivyo Rais SSH atakuwa na sifa hiyo ya kuishika nafasi hiyo kuanzia pale JPM alipoaga dunia akiwa bado yupo madarakani.
 
Back
Top Bottom