Hata yeye anaogopa. Anajua ccm ikifa na ugali wake utakuwa ndio basi tenaMama akifungulia mikutano ya Hadhara ya Siasa atazoa kura za Wapinzani nyingi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata yeye anaogopa. Anajua ccm ikifa na ugali wake utakuwa ndio basi tenaMama akifungulia mikutano ya Hadhara ya Siasa atazoa kura za Wapinzani nyingi sana.
CCM ikitenda HAKI sio rahisi kufa.Hata yeye anaogopa. Anajua ccm ikifa na ugali wake utakuwa ndio basi tena
😅😅😅😅kwamba?
Membe alitikisha kijiti 2020.
Kwani likiletwa la RJMK atafanywa nini? CCM ni chama Cha Kidemokrasia iliyotamalaki.
Ulimsikia Profesa Issa Shivji alivyosema kuhusu tatizo la elimu kwenye nchi yetu? Alisema kuwa tatizo letu kubwa ni watu kuogopa mijadala!!Huu uzi ni miongoni mwa athari za miaka 10 ya Kikwete ya kuendekeza usiasa badala ya kujikita kwenye kazi na uzalishaji mali halisi. Wao waliita kukua kwa demokrasia ila uhalisia ilikuwa ongezeko la vurugu, propaganda na ongezeko la vijana wavivu wanaowaza madaraka ya haraka kupitia uanaharakati. K
Akiguswa Mbowe unakuwa mkalii wewe uchwara.Uwezo wenu ni mdogo sana kiakili. Mbona swali rahisi sana ila la muhimu? Hajauliza kugombea uenyekiti wa chama chenu chakavu kazungumzia u Rais jee mnaona anatosha? Wewe unakuja na ya Mbowe! Kwani Mbowe ni Rais?
Urais ni wa nchi na kila mtu anaweza kuhoji lakini kwenye chama kama hukubaliani na ukionacho unaachana nacho.
Acheni kutumia vichwa kufugia nywele kijana!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Mkuu una macho makali, ha ha haaaa!Huyo bado bwana mdogo hawezi kupewa hata kama Mshua ndio Dereva behind the scene.
Nani kakwambia kuwa kila mtu anatakiwa kuwa mkulima?Njoo tulime huku. Kilimo kinalipa mno, Mhe. Rais kafungua masoko watu wanachangamkia fursa. Hizi hoja zako hazina maana.🙏🙏🙏
Maria sugu unayo!!Akiguswa Mbowe unakuwa mkalii wewe uchwara.
Unajivunjia heshima wewe kibwengo.Maria sugu unayo!!
Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!
Kujivunjia heshima ni kwa kuuliza swali?Unajivunjia heshima wewe kibwengo.
Mimi nitampinga ndani ya chama.CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?
Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??
Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Hakuna shaka samia hatogombea. Achana na chawa kibao hao kina shaka.CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?
Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??
Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
- Jibu ni hapana, kungekuwa na mchakato kama ule wa 2015, uliopelekea kubakiwa na majina matano (5)Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
'Majina matano yaliyopitishwa na Kamati Kuu ni Bernard Membe (Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dk. John Magufuli (Waziri wa Ujenzi) Dk. Asha-Rose Migiro (Waziri wa Katiba na Sheria) January Makamba (Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia) na Balozi Amina Salum Ali (Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Tume ya Umoja wa Afrika kwenye Umoja wa Mataifa, Marekani)'
Chanzo: BBC
Kwa CCM wanaotaka uRais ni mpaka 2030. Atakaye chukua fomu atataka tu kujifanyia publicity.
Hakika
Badala ya kujiuliza kuhusu Mbowe (mwenyekiti wa kudumu) wewe unang'ang'ana na Samia. Hapo ndipo unapokosea kamanda.
Binuka nikubamize.Ukimaliza cku zako unatakiwa kwanza kuoga kabla ya kuja jukwaani