Kuna mwana CCM atagombea Urais mwaka 2025 dhidi ya Samia Suluhu?

Kuna mwana CCM atagombea Urais mwaka 2025 dhidi ya Samia Suluhu?

CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Yupo mchora miamba🏃🏃
 
ccm halisi
Unaiongelea ile iliyoshakufa?
skeleton-head-less.gif
 
Ati mwana CCM achukue form hajipendi ? Hiii
 
CCM ina wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?
Akitokea mtu wa hivyo, huyo atakuwa sio mwana CCM, ni mfano CCM!. Hiyo fomu atachukulia wapi wakati inatolewa fomu moja tuu?.
P
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
HAMIS KIGWANGALAH au PHD MSUKUMA
 
Rais Samia ana wasiwasi sana kuhusu watu ambao wana mipango ya kuwa rais hapo baadaye. Kwa hiyo hawa watu wanaonekana kama maadui.

Kwa hiyo waziri ambaye anatamani kuwa rais baadaye, yeye ni mhalifu. Lakini rais anatokana na mawaziri. Waziri na mtu mwingine yoyore wana haki ya kuwania urais. Lakini Rais Samia atasema,"Wengine wana hamu ya kuwa rais,nitawaondoa katika Cabinet yangu ili wapate nafadi ya kujiandaa kuwa rais."

I am writing this by way of observation not by way of criticism.
Sasa Cabinet inachelewa kutangazwa,fikiria hii inavyochochea majungu. Inachochea majungu,inaleta suspense. Do this thing and get it over with.

Ni kama wakati George Bush alipopendekezwa kuwa CIA Chief. Watu wakaanza kusema,tusimpe uongozi wa CIA. Kwani hatumjui huyu George Bush? Anatamani kuwa rais baadaye.

Ni lazima aahidi kwamba akiwa CIA Chief,baadaye hatawania urais. George Bush akasema Kama akitaka kuwa rais siku nyingine, Katiba haimkatazi. Sasa wanataka aahidi kitu gani? Na ilivyokuwa:akawa mkuu wa CIA na baadaye akawa rais.
 
Rais Samia ana wasiwasi sana kuhusu watu ambao wana mipango ya kuwa rais hapo baadaye. Kwa hiyo hawa watu wanaonekana kama maadui.

Kwa hiyo waziri ambaye anatamani kuwa rais baadaye, yeye ni mhalifu. Lakini rais anatokana na mawaziri. Waziri na mtu mwingine yoyore wana haki ya kuwania urais. Lakini Rais Samia atasema,"Wengine wana hamu ya kuwa rais,nitawaondoa katika Cabinet yangu ili wapate nafadi ya kujiandaa kuwa rais."

I am writing this by way of observation not by way of criticism.
Sasa Cabinet inachelewa kutangazwa,fikiria hii inavyochochea majungu. Inachochea majungu,inaleta suspense. Do this thing and get it over with.

Ni kama wakati George Bush alipopendekezwa kuwa CIA Chief. Watu wakaanza kusema,tusimpe uongozi wa CIA. Kwani hatumjui huyu George Bush? Anatamani kuwa rais baadaye.

Ni lazima aahidi kwamba akiwa CIA Chief,baadaye hatawania urais. George Bush akasema Kama akitaka kuwa rais siku nyingine, Katiba haimkatazi. Sasa wanataka aahidi kitu gani? Na ilivyokuwa:akawa mkuu wa CIA na baadaye akawa rais.
Ni vema zikawa zinaletwa hoja kuliko kuleta hisia. Unataka tujadili nini?
 
Mi sielewi kwanini huyo mama anajisumbua. Hawi rais tena beyond huu urithi alioupata. Haihusiani na nani kawa waziri wapi, ila yeye kama yeye hapati chochote ziaidi ya kumalizia hadi 2025.
 
Rais Samia ana wasiwasi sana kuhusu watu ambao wana mipango ya kuwa rais hapo baadaye. Kwa hiyo hawa watu wanaonekana kama maadui.

Kwa hiyo waziri ambaye anatamani kuwa rais baadaye, yeye ni mhalifu. Lakini rais anatokana na mawaziri. Waziri na mtu mwingine yoyore wana haki ya kuwania urais. Lakini Rais Samia atasema,"Wengine wana hamu ya kuwa rais,nitawaondoa katika Cabinet yangu ili wapate nafadi ya kujiandaa kuwa rais."

I am writing this by way of observation not by way of criticism.
Sasa Cabinet inachelewa kutangazwa,fikiria hii inavyochochea majungu. Inachochea majungu,inaleta suspense. Do this thing and get it over with.

Ni kama wakati George Bush alipopendekezwa kuwa CIA Chief. Watu wakaanza kusema,tusimpe uongozi wa CIA. Kwani hatumjui huyu George Bush? Anatamani kuwa rais baadaye.

Ni lazima aahidi kwamba akiwa CIA Chief,baadaye hatawania urais. George Bush akasema Kama akitaka kuwa rais siku nyingine, Katiba haimkatazi. Sasa wanataka aahidi kitu gani? Na ilivyokuwa:akawa mkuu wa CIA na baadaye akawa rais.
Unamaanisha waliosema litachapishwa Jina moja zilikuwa blaa blaa?
 
Mgaambo wanaruka na kukanyagana, tena kinyama.
Mfumuko wa bei hautamuacha Rais Samia Suluhu salama isipokuwa Kama ataudhibiti kabla ya 2024.

Walioshiba shibe za fedha akina Hussein Bashe hawana habari na maisha ya kila cku ya wananchi wa kawaida bali wanajitokeza na kauli za KEBEHI na KEJELI kwa wananchi kuwa wakulima wauze mazao yao wanavyotaka kwa sababu sio mali ya serikali. Kila bepari anajiamulia bei ya kuuza mchele, unga wa ugali, unga wa ngano, maharage, mafuta ya kula na kila aina ya chakula kinachotumiwa na mwananchi wa kawaida.


Mkate mkate mkate mkate NARUDIA mkate wa kila siku ndyo AMANI na USALAMA wa nchi. Wananchi hawali kauli za KEBEHI za udaktari wa uchumi wa akina Mwigulu Nchemba kwa kujificha kwenye mgongo wa Rais Samia wa UJENZI wa madarasa elfu 8 kwa BILIONI 160.
 
Mi sielewi kwanini huyo mama anajisumbua. Hawi rais tena beyond huu urithi alioupata. Haihusiani na nani kawa waziri wapi, ila yeye kama yeye hapati chochote ziaidi ya kumalizia hadi 2025.
Hivi unijua nguvu ua Rais chini ya katiba ai unjifanya hujui?
 
CCM inasema ina wanachama zaidi ya milioni kumi (10,000,000) nchi nzima. Kati ya hayo mamilioni ya wanachama yupo ambaye anaona Samia Suluhu hatoshi kwenye Urais, hivyo mwaka 2025 atachukua fomu kuchuana naye ndani ya CCM?

Au watu wote hao ndani ya CCM wanaona Samia Suluhu amekamilika kwenye urais wake alioupata kwa mujibu wa Katiba na si kwa kugombea??

Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
Binafsi ninachotaka kuona ni Samia 2025 akizunguka mikoani na wagombea wengine kupata sahihi za wanaccm kufuatana na katiba ya chama kuchguliwa kama mgombea urais. Kama hataweza kupitia tanuru la huo mchujo basi asigombee aache ukumbi kwa wengine.
Wanaccm walimchagua magufuli kua mgombea urais wa jamhuri hawakumchagua Samia kua mgombea mwenza isipokua wanajua hakua chaguo la magufuli.
Ikiwa zoezi la kuteuliwa mgombea litawekewa mizengwe kumpendelea samia kua mgombea pekee ndani ya chama hakika kutakua na mpasuko na huenda samia akatupiwa virago kama rais wa jamhuri na ndio ikawa ccm kuondolewa madarakani.
 
CCM ni chama cha kidemokrasia. Pamoja kuwa na tamaduni zake za kumwachia rais kumaliza miaka yake 10 ila CCM haijawahi vunja katiba yake kwa kuwazuia wanachama kutumia haki yao ya kikatiba kutaka kuomba nafasi ya kupitishwa kuwa mgombea urais hata kabla ya Rais aliyeko hajamaliza miaka yake 10. Mwaka 2010 Mh Shibuda alitangaza nia yake ya kutaka urais wakati Rais Jakaya ndo alikuwa kamaliza miaka mitano tu. Ingawa baadae Shibuda alijitoa lakini ndani ya CCM kila kitu kiliendelea kama kawaida bila tatizo.

Hicho ulichokiuliza hakiwezekani kabisa kutokea ndani ya CHADEMA hasa nafasi ya mwenyekiti. Waliowahi kutaka hiyo nafasi ya uenyekiti walikiona cha moto. Mh Sumaye alipotangaza nia yake ya kutaka kuwa mwenyekiti alitishwa kwa kuambiwa "kamanda sumu haionjwi". Zitto Kabwe alitimuliwa kabisa uanachama. Hayati Chacha Wangwe alazwe mahali pema. Kwenye nafasi ya urais ndo balaa... mwenyekiti bila kujali katiba ya chama chao huwa anaamua ku-import mgombea toka CCM. mwenyewe anadai ni "kubadili gia angani".
 
🐒🐒🐒
 
Mi sielewi kwanini huyo mama anajisumbua. Hawi rais tena beyond huu urithi alioupata. Haihusiani na nani kawa waziri wapi, ila yeye kama yeye hapati chochote ziaidi ya kumalizia hadi 2025.
Naomba mungu iwe hivyo. Binafsi simuamini. Kiitikadi namuona ni bepari.
 
Back
Top Bottom