Kuna mwana CCM atagombea Urais mwaka 2025 dhidi ya Samia Suluhu?

Ulimsikia Profesa Issa Shivji alivyosema kuhusu tatizo la elimu kwenye nchi yetu? Alisema kuwa tatizo letu kubwa ni watu kuogopa mijadala!!
 
CCM huwa wanachapisha form moja ya urais halafu wanasema wajumbe wamemkubali na kapita bila kupingwa huku wajumbe wanaokitolea mate kiti wanapigwa mkwara mkali.

Rejea kilichofanyika 2020.
 
Akiguswa Mbowe unakuwa mkalii wewe uchwara.
 
Njoo tulime huku. Kilimo kinalipa mno, Mhe. Rais kafungua masoko watu wanachangamkia fursa. Hizi hoja zako hazina maana.🙏🙏🙏
Nani kakwambia kuwa kila mtu anatakiwa kuwa mkulima?
 
Mimi nitampinga ndani ya chama.
 
Hakuna shaka samia hatogombea. Achana na chawa kibao hao kina shaka.
Samia hatoshi na yeye analifahamu hilo. Ikiwa watataka kumuweka kama mgombea wa ccm bila kuwapa nafasi wana ccm wengine bila shaka chama kitagawika. Samia hakupita tanuru la mchujo kua mgombea wa ccm kwa hivyo hilo lazima kuzingatiwa.
Hata kiitikadi samia hayuko vizuri. Sio mjamaa na anasujudu wamagharibi kitu hakitaweza kutuletea uwezo wa kujitegemea na maendeleo kwa watu wetu.
 
Jee asingeupata Urais wake kwa mujibu wa Katiba, Mwaka 2025 wangemuacha agombee peke yake ili arithi nafasi ya Mwendazake John Magufuli au wangempinga?
- Jibu ni hapana, kungekuwa na mchakato kama ule wa 2015, uliopelekea kubakiwa na majina matano (5)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…