yes hako kamji katamu kwakweli..niliwahi kaa hapo Miami..pana vibeHaka kamji ni kazuri sana for sure..hakana makelele kama ya Dar,Mwanza au ARUSHA.
So like niko hapa since juzi but sina kampani ya kueleweka.
Kama kuna mwana MMU wa kike yuko iringa na she needs to have drink jioni ya leo akuje hapa miami club tuhave funny.
Asante
Zingatia rough rider, namba zipo juu uko.Haka kamji ni kazuri sana for sure..hakana makelele kama ya Dar,Mwanza au ARUSHA.
So like niko hapa since juzi but sina kampani ya kueleweka.
Kama kuna mwana MMU wa kike yuko iringa na she needs to have drink jioni ya leo akuje hapa miami club tuhave funny.
Asante
Kijana anataka kufungiwa luku au aungwe kwenye gridi ya taifa πMafinga kuna umeme wa kutosha usije kanyaga wayaa
Nenda ukanywe bia za bure wewe ukishiba unarudishwa kwenuAkuu
MMU ndio nini?Kama kuna mwana MMU wa kike yuko iringa na she needs to have drink jioni ya leo akuje hapa miami club tuhave funny.
Asante
Baada ya hapo ni mwendo wa kula karanga kwa Amri, non stop ππ. Grid ya Taifa isikie tu Aise π«π«Kijana anataka kufungiwa luku au aungwe kwenye gridi ya taifa π
AkuuNenda ukanywe bia za bure wewe ukishiba unarudishwa kwenu
Huyu si ni mwamba au!!!Nenda ukanywe bia za bure wewe ukishiba unarudishwa kwenu