Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
In case hajaamini.....Mafinga kuna umeme wa kutosha usije kanyaga wayaa
Poti haina haja ya kutaja nafasi yako ktk jamii,utauliwa bure.Ndio inanihudumia hapa..muulize anamjua afande?
aeeh am the winner"Tumeishi na watu ambao wanaotembea na umeme lakini bado nyumbani walikosa luku"...kaimba Kontawa
Kitonga kwenye Kona shwaaaa🤣🤣🤣Wakijitokeza wawili naomba namba ya mmoja
Sabrina huyo atakua..ni ana tako sio la nchi hiiYupo mmoja hapo ana matarcle sijui anaitwa samira kama si salma.
Hile nundu ni tamu ila pachupachu
Na mtendaji ukiwa ni wewe, ukipunguza kiherehere utafika mbali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakua umetendwa si bure.
Ha haaaa 🤣🤣🤣Miami, tatizo la hiyo pub ni harufu yachoo plus jiko liko njia ya choo
Pm ipi hiyombona nilimfata pm kmya kimya aseeee nilikunywaaaaa
Acha kuteseka. Hizo pisi za Miami mbona ziko standard sana. Malizana nazo mambo yasiwe mengiHaka kamji ni kazuri sana for sure..hakana makelele kama ya Dar,Mwanza au ARUSHA.
So like niko hapa since juzi but sina kampani ya kueleweka.
Kama kuna mwana MMU wa kike yuko iringa na she needs to have drink jioni ya leo akuje hapa miami club tuhave funny.
Asante
ya kunong'onezana hiiPm ipi hiyo