Kuna mwana MMU wa kike yuko Iringa Mjini aje hapa Miami pub?

Mafinga kuna umeme wa kutosha usije kanyaga wayaa
In case hajaamini.....


Sema hii thread ukisoma hamu zote zinakata
 
"Tumeishi na watu ambao wanaotembea na umeme lakini bado nyumbani walikosa luku"...kaimba Kontawa
 
Acha kuteseka. Hizo pisi za Miami mbona ziko standard sana. Malizana nazo mambo yasiwe mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…