Kuna mwenye undani wa ROSE & NICK SHABOKA?

Inasikitisha sana
 
Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.

Kesho kwa mwingine .

Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.

Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.

Asshole
 
Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.

Kesho kwa mwingine .

Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.

Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.

Asshole
Wewe kichwa.

Mimi siko kuupinga ukristo mm ni mkiristo tena nimeokoka.

Nipo hapa Kujenga na Kusaidia katika maisha ya imani.

Nani amesema watumishi wa Mungu hawaongelewi.
 
Kuna binti rafiki wa mbaali anasali pale, sisemi sana
 
GENTAMYCINE aka gemu chenja, karismatiki, fela poti wa nyumbani huyu...🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…