Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaMwandiko wako/hiki ulichokiandika Unaonyesha jibu unalo tayari,ila unachotaka ni kusikia negative comments kutoka kwa wachangiaji ili uulidhishe moyo wako zaidi.
Wabongo tunapenda kusikia na kusimulia taarifa mbaya za wenzetu,tuna safari ndefu sana.
Itakufaa nini kupata pisi kali zote duniani na kuipoteza nafsi yako ?Nenda mkuu; unaweza kuibuka na pisi kali kutoka huko.
Ahh next time naenda kufanya tour hapo church kwake
Wakristu original hawachafukiNaona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Asshole
Wewe kichwa.Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Asshole
Hapana mkuu
Anacho niboa anatinda sana sigi(nyusi)kiasi anaonekana kama shangingi aliyeshindikana😬
Vipi mtoto mzuri?DUh..
Poa kaka mzuriVipi mtoto mzuri?
Anacho niboa anatinda sana sigi(nyusi)kiasi anaonekana kama shangingi aliyeshindikana[emoji51]
Kuna binti rafiki wa mbaali anasali pale, sisemi sanaYaani hapo kwa shaboka wamejaa mabinti ambao wameumizwa sana na mahusiano, yule ni mtumishi wa kweli wa bwana ila delivery yake ya sermon imejikita zaidi na kuongelea experience na mawazo yake binafsi kutokana na uelewa wake wa mahusiano ya kimapenzi.
In short, i am not judging lakini ana sermon mbovu na haribifu sana kwa kizazi cha leo. She once said wamama wakiwa nyumbani wakae sitting room na night dress tu kwa wanaume zao regardless ya uwepo wa watoto, i then knew kwamba something was wrong somewhere.
And to add more, wengi wanasema she once had a very disasterful relationship, so maybe past trauma ndo zinamfanya awe na sermon za ajabu, Na wadada wanaoumizwa wanampenda sana maana wanaona ni kama survivor hivi wa mambo ya ajabu wanayopitia. Psychologically anawa exploit if you come to think of it. Anyways, sio kanisa sahihi kwa mtu anayejielewa kwenda kusali.
GENTAMYCINE aka gemu chenja, karismatiki, fela poti wa nyumbani huyu...🤣Na hiki ndicho alichokikusudia mleta mada. Apate taarifa Kama hizi na umbea mwingine wa kuwachafua wahusika ili asikie burudani.
Watu weusi hatupendi ku-mind our own business.
Kuna mwingine anaitwa Genta Nini sijui kila jumapili anamwanzishia thread mwamposa.
Tuna Shida Sana !!