Binafsi sio wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za Injili wakishavaa mawingi, weka dawa kwenye nywele, tinda nyuso, vaa nguo zinazofanana na kuonesha maungo, vaa,suruali na mwanaume pia akiwa hivyo huwa siwaangaliagi wala sikilizaga nyimbo na mahubiri yao. Yaani waimbaji au wahubiri hata wakijikatakata siwasikilizi..Kama kweli ameokoka kwa nini atoe kitu alichokiumba Mungu hana tofauti na wanao enda kurekebisha shepu au wanaojichubua ngozi.
Mleta mada najua uko ma mashaka meng sana.
Pindi nlipokuwa namtafuta bwana sikuwa na mtizamo kama wako. Nlikuwa najichanganya kote kote nasikiliza neno ila sasa najua neno la kweli liko wapi na ni baada ya kujifunza kwa weng kwa kuwasikiliza na kusikiliza masomo na mahubiri yao.
Kuhusu sadaka mkuu usijewaza hilo. Sadaka hata kwa mganga inatolewa na Mungu wako mpe sadaka tena iliyo bora.
MAombi bila sadaka utakesha kuomba
Na iwe hivyo.Mungu anaonekana wazi hatafutwi
Mungu yuko kote
Yule mama shaboka ni mnafiki. Anatafuta umaarufu afanye biashara. Mimi niligundua alipokuwa anatukanana na watu kwenye face book page yake kisa wamechallenge. Bado ana utoto fulani.Hello.
Msije kusema na wasema watumishi wa bwana.
Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua.
Kuna rafiki yangu mmoja amenishauri niende kusali kwa Rose&Nick SHABOKA.
sasa nimefuatilia mahubiri yao mtandaoni naona kama muda mwingi wanahubiri mambo ya mahusiano tu.
Kanisa lake vimejaa vibinti vinavaa vimini balaaa.
Na ma single mother wengi wanaotafuta ndoa za muujiza.
Wakuu najiuliza niende kusali?
Je kuna lingine nisilolijua kuhusiana na huduma yao ya kitume.
Ukishakuwa public figure kubali criticismNa hiki ndicho alichokikusudia mleta mada. Apate taarifa Kama hizi na umbea mwingine wa kuwachafua wahusika ili asikie burudani.
Watu weusi hatupendi ku-mind our own business.
Kuna mwingine anaitwa Genta Nini sijui kila jumapili anamwanzishia thread mwamposa.
Tuna Shida Sana !!
Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Acha uongo Ukristo wa kweli haichafuki Bali matapeli ndio wanaochafukaNaona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Asshole
Nalijuaa 🤣🤣🤣Nliwahi shawishiwa na mtu nihudhurie kanisa lipo kinondoni.pastor wao ni mnigeria..nlokutana nayo humo nkasema kazi ipo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuajee dearNliwahi shawishiwa na mtu nihudhurie kanisa lipo kinondoni.pastor wao ni mnigeria..nlokutana nayo humo nkasema kazi ipo!
Nimeelezea chini yake pale [emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuajee dear
Ningeshangaa ikiwa hakuna dalali kama huyu humu jamvini.Mke wangu anasali hilo kanisa. Nisikilize mimi, kama unataka kukua kiimani nenda kasali pale. Hawana longo longo na wanakupa za uso, ukizingua unaaambiwa wewe hamna pekecha pekecha mimi naona kabisa wife kakua kiakili na kiroho baada ya kusali pale ni kanisa zuri na wanajielewa. Pili sio wachungaji wanaowaza sadaka mbele, walivokuwa wanaanza kujenga kanisa walitoa zaidi ya kupokea which is weird, wamegawa nafaka kanisani kwao wamelea yatima yani ni watu wawili ambao hawana famba famba, jitanidi sikiliza mahubiri yao mtandaoni ata kwa wiki alafu utanielewa
NimeonaaaNimeelezea chini yake pale [emoji115]
Usiende hapo nenda kasali kanisa eagt city center kwa mchungaji katunzi,hapo ni mahali sahihi sanasana niaminiHello.
Msije kusema na wasema watumishi wa bwana.
Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua.
Kuna rafiki yangu mmoja amenishauri niende kusali kwa Rose&Nick SHABOKA.
sasa nimefuatilia mahubiri yao mtandaoni naona kama muda mwingi wanahubiri mambo ya mahusiano tu.
Kanisa lake vimejaa vibinti vinavaa vimini balaaa.
Na ma single mother wengi wanaotafuta ndoa za muujiza.
Wakuu najiuliza niende kusali?
Je kuna lingine nisilolijua kuhusiana na huduma yao ya kitume.
Hakuna kitu kigumu kama unafiki...unacheka huku unaliaHao ni moja ya watumishi wa Mungu ambao ni wanafiki.....wanahubiri ili kupata sadaka na sio kuyaishi mahubiri yao......
Mke wake na yeye mwenyewe ni wanafiki wa maneno na matendo yao......