Kuna mwenye undani wa ROSE & NICK SHABOKA?

Kuna mwenye undani wa ROSE & NICK SHABOKA?

Binafsi sina shida na Rose! Wakati mwingine focus kwenye kile unachoweza kupata kwake badala ya kutafakari maisha yake.

Nafikiri huko mitandaoni kungekuwa na wadada kumi kama yeye kuna wadada wengi wangebadilika.

Binafsi sifungwi nimsikilize nani akihubiri maana hutafuta kile kitachonijenga wakati mwingine hata shekhe. Siwezi kufunga akili yangu kuwa nitasikiliza akihubiri Padre wa Kanisa Katoliki tu! Kibinadamu wote sisi si lolote ni dhaifu. Kikubwa tuangilie pale mwenzako alipo na nguvu sio alipo dhaifu.
 
Mleta mada najua uko ma mashaka meng sana.

Pindi nlipokuwa namtafuta bwana sikuwa na mtizamo kama wako. Nlikuwa najichanganya kote kote nasikiliza neno ila sasa najua neno la kweli liko wapi na ni baada ya kujifunza kwa weng kwa kuwasikiliza na kusikiliza masomo na mahubiri yao.

Kuhusu sadaka mkuu usijewaza hilo. Sadaka hata kwa mganga inatolewa na Mungu wako mpe sadaka tena iliyo bora.
MAombi bila sadaka utakesha kuomba
 
Kama kweli ameokoka kwa nini atoe kitu alichokiumba Mungu hana tofauti na wanao enda kurekebisha shepu au wanaojichubua ngozi.
Binafsi sio wachungaji tu hata waimbaji wa nyimbo za Injili wakishavaa mawingi, weka dawa kwenye nywele, tinda nyuso, vaa nguo zinazofanana na kuonesha maungo, vaa,suruali na mwanaume pia akiwa hivyo huwa siwaangaliagi wala sikilizaga nyimbo na mahubiri yao. Yaani waimbaji au wahubiri hata wakijikatakata siwasikilizi..
 
Mleta mada najua uko ma mashaka meng sana.

Pindi nlipokuwa namtafuta bwana sikuwa na mtizamo kama wako. Nlikuwa najichanganya kote kote nasikiliza neno ila sasa najua neno la kweli liko wapi na ni baada ya kujifunza kwa weng kwa kuwasikiliza na kusikiliza masomo na mahubiri yao.

Kuhusu sadaka mkuu usijewaza hilo. Sadaka hata kwa mganga inatolewa na Mungu wako mpe sadaka tena iliyo bora.
MAombi bila sadaka utakesha kuomba

Mungu anaonekana wazi hatafutwi
Mungu yuko kote
 
Kanisa lake bora Angeliita ladies church...yaani ukiangalia like na comments hata ziwe elfu moja huwezi kuta mwanaume ...wanawake waliopitia changamoto za mahusiano ndio kanisani lao...na anawapatia kweli na maneno...haya makanisani unajiuliza hivi hawa ni motivation speakers au wanahubiri injili....makanisa yanayokwenda na trend ya dunia ni hatari....
 
Hello.

Msije kusema na wasema watumishi wa bwana.

Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua.

Kuna rafiki yangu mmoja amenishauri niende kusali kwa Rose&Nick SHABOKA.

sasa nimefuatilia mahubiri yao mtandaoni naona kama muda mwingi wanahubiri mambo ya mahusiano tu.

Kanisa lake vimejaa vibinti vinavaa vimini balaaa.

Na ma single mother wengi wanaotafuta ndoa za muujiza.

Wakuu najiuliza niende kusali?

Je kuna lingine nisilolijua kuhusiana na huduma yao ya kitume.
Yule mama shaboka ni mnafiki. Anatafuta umaarufu afanye biashara. Mimi niligundua alipokuwa anatukanana na watu kwenye face book page yake kisa wamechallenge. Bado ana utoto fulani.
 
Na hiki ndicho alichokikusudia mleta mada. Apate taarifa Kama hizi na umbea mwingine wa kuwachafua wahusika ili asikie burudani.

Watu weusi hatupendi ku-mind our own business.

Kuna mwingine anaitwa Genta Nini sijui kila jumapili anamwanzishia thread mwamposa.

Tuna Shida Sana !!
Ukishakuwa public figure kubali criticism
 
Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.

Kesho kwa mwingine .

Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.

Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.

Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.

Kesho kwa mwingine .

Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.

Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.

Asshole
Acha uongo Ukristo wa kweli haichafuki Bali matapeli ndio wanaochafuka
 
Mke wangu anasali hilo kanisa. Nisikilize mimi, kama unataka kukua kiimani nenda kasali pale. Hawana longo longo na wanakupa za uso, ukizingua unaaambiwa wewe hamna pekecha pekecha mimi naona kabisa wife kakua kiakili na kiroho baada ya kusali pale ni kanisa zuri na wanajielewa. Pili sio wachungaji wanaowaza sadaka mbele, walivokuwa wanaanza kujenga kanisa walitoa zaidi ya kupokea which is weird, wamegawa nafaka kanisani kwao wamelea yatima yani ni watu wawili ambao hawana famba famba, jitanidi sikiliza mahubiri yao mtandaoni ata kwa wiki alafu utanielewa
Ningeshangaa ikiwa hakuna dalali kama huyu humu jamvini.
 
Hello.

Msije kusema na wasema watumishi wa bwana.

Ila Tupo hapa kwa ajiri ya kujenga na jf ni sehemu pekee mtu anaweza kupata picha ya mambo ya watu wengi wasioyajua.

Kuna rafiki yangu mmoja amenishauri niende kusali kwa Rose&Nick SHABOKA.

sasa nimefuatilia mahubiri yao mtandaoni naona kama muda mwingi wanahubiri mambo ya mahusiano tu.

Kanisa lake vimejaa vibinti vinavaa vimini balaaa.

Na ma single mother wengi wanaotafuta ndoa za muujiza.

Wakuu najiuliza niende kusali?

Je kuna lingine nisilolijua kuhusiana na huduma yao ya kitume.
Usiende hapo nenda kasali kanisa eagt city center kwa mchungaji katunzi,hapo ni mahali sahihi sanasana niamini
 
Hao ni moja ya watumishi wa Mungu ambao ni wanafiki.....wanahubiri ili kupata sadaka na sio kuyaishi mahubiri yao......

Mke wake na yeye mwenyewe ni wanafiki wa maneno na matendo yao......
Hakuna kitu kigumu kama unafiki...unacheka huku unalia
I can't jamani
 
Back
Top Bottom