Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Genta a.k.a Miss CharismaticGENTAMYCINE aka gemu chenja, karismatiki, fela poti wa nyumbani huyu...[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genta a.k.a Miss CharismaticGENTAMYCINE aka gemu chenja, karismatiki, fela poti wa nyumbani huyu...[emoji1787]
Mimi nikishamuona mwanamke ni mtinda nyusi huwa najua kabisa hofu ya Mungu hana na hawezi kunihubilia nikamuelewa[emoji23][emoji23]ananikumbushaga mama yangu alivyokuwa anatinda nyusi miaka ya mwanzoni.
Umeokoka kwenda wapi wewe kijana ?Wewe kichwa.
Mimi siko kuupinga ukristo mm ni mkiristo tena nimeokoka.
Nipo hapa Kujenga na Kusaidia katika maisha ya imani.
Nani amesema watumishi wa Mungu hawaongelewi.
Umeokoka kwenda wapi wewe kijana ?
Acha ubabaishaji
Tuor ni takataka gani wewe jamaaKanisa lake lipo wapi nikafanye tuor ya kula kimasihara
Tuor ni takataka gani wewe jamaa
Au ni jina la mumeo wa zamani ?
Nimekupata mzee wa tuor na coment.Punguza makasilko ungekuwa serious kusoma darasan kama unavyo soma coment za jf saiv usingekuwa mzigo kwenu na familia yako [emoji23][emoji23]….Chillax
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]GENTAMYCINE aka gemu chenja, karismatiki, fela poti wa nyumbani huyu...[emoji1787]
Nimekupata mzee wa tuor na coment.
Ukisikia paaaah ujue umekupata hiyo.
Tupe experience mkuuNliwahi shawishiwa na mtu nihudhurie kanisa lipo kinondoni.pastor wao ni mnigeria..nlokutana nayo humo nkasema kazi ipo!
Sawa mtoto mdogo mwenye tundu kubwa.Punguza makasiriko joh stress zako sijakusababishia mm [emoji1787][emoji1787] kama umesoma na hauna Ajira relax [emoji23][emoji23]
Nliwahi shawishiwa na mtu nihudhurie kanisa lipo kinondoni.pastor wao ni mnigeria..nlokutana nayo humo nkasema kazi ipo!
Ushers wanavaa ka mabaamedi..vigauni vigupi hadi wanajivuta,suruali zimewabana sana.waimba kwaya unakuta kavaa skin tight na tishrt kubwa,wenginw vimini na skin tight ili ziwastiri mapaja.waumini wana hela balaa..noti zinamwagwa chini sio kwenye kikapu..
Pastor wao sasa..anapiga suti kali,anatembea na kikundi cha watu nyuma yake ikiwemo bidyguards na wapambe..ananukia paerfume ghali,anatembelea bonge la v8 haya matoleo mapya..ni mnaija hajui kiswahili fasaha
Kinondoni mkwajuni..kama unaelekea morroco upande wa kushoto kuna lami inaingia hapoToa location ama jina la kanisa
Show kali hiyo.Ushers wanavaa ka mabaamedi..vigauni vigupi hadi wanajivuta,suruali zimewabana sana.waimba kwaya unakuta kavaa skin tight na tishrt kubwa,wenginw vimini na skin tight ili ziwastiri mapaja.waumini wana hela balaa..noti zinamwagwa chini sio kwenye kikapu..
Pastor wao sasa..anapiga suti kali,anatembea na kikundi cha watu nyuma yake ikiwemo bidyguards na wapambe..ananukia paerfume ghali,anatembelea bonge la v8 haya matoleo mapya..ni mnaija hajui kiswahili fasaha
Sijaelwwa mkuuShow kali hiyo.
[emoji3][emoji3]Anacho niboa anatinda sana sigi(nyusi)kiasi anaonekana kama shangingi aliyeshindikana[emoji51]