pretta360
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 632
- 1,005
[emoji3][emoji3]Mimi nikishamuona mwanamke ni mtinda nyusi huwa najua kabisa hofu ya Mungu hana na hawezi kunihubilia nikamuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Mimi nikishamuona mwanamke ni mtinda nyusi huwa najua kabisa hofu ya Mungu hana na hawezi kunihubilia nikamuelewa
Baby Christians mtatandikwa na hawa ma chalartan mpaka mshike adabu. Bibilia inasema tuzichinguze hizo roho kama kweli zinatokana na Mungu au la pia imeongeza kusema msiwe kama watoto wachanga msitupwe huku na kule na kuchukuliwa na kila upepo kwa HILA za watu.Hawa manabii, mitume, wachungaji, waalimu fake watakokota wengi kuzimu yamkini hata wateule. Shika ulichonacho, asije mtume akaitwaa taji yako.Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Asshole
Nliwahi shawishiwa na mtu nihudhurie kanisa lipo kinondoni.pastor wao ni mnigeria..nlokutana nayo humo nkasema kazi ipo!
Unaongea kama mlinzi wa madhabahu ya new day church.Na hiki ndicho alichokikusudia mleta mada. Apate taarifa Kama hizi na umbea mwingine wa kuwachafua wahusika ili asikie burudani.
Watu weusi hatupendi ku-mind our own business.
Kuna mwingine anaitwa Genta Nini sijui kila jumapili anamwanzishia thread mwamposa.
Tuna Shida Sana !!
🤣🤣🤣🤣Kwani ni dhambi kutinda nyusi?au Kwa vile huyu anatinda ki 90's?Mimi nikishamuona mwanamke ni mtinda nyusi huwa najua kabisa hofu ya Mungu hana na hawezi kunihubilia nikamuelewa
Mambo mama mchungaji1 Petr 2:2
"Kama watoto wachanga waliozaliwa Sasa,yatamanini maziwa ya akili yasiyoghoshiwa Ili Kwa hayo mpate kuukulia wokovu"
😍😍😍😍shalom shalomMambo mama mchungaji
Kama kweli ameokoka kwa nini atoe kitu alichokiumba Mungu hana tofauti na wanao enda kurekebisha shepu au wanaojichubua ngozi.🤣🤣🤣🤣Kwani ni dhambi kutinda nyusi?au Kwa vile huyu anatinda ki 90's?
Nahitaji huduma yako mama mchungaji😍😍😍😍shalom shalom
Kwenye ukristo Kuna sheria zinazotuongoza mienendo mbalimbali,,,hili la nyusi halipo..Kama kweli ameokoka kwa nini atoe kitu alichokiumba Mungu hana tofauti na wanao enda kurekebisha shepu au wanaojichubua ngozi.
Aisee kumbe hata mkitengeneza shepu hamna dhambi au hamkosoi umbaji wa MunguKwenye ukristo Kuna sheria zinazotuongoza mienendo mbalimbali,,,hili la nyusi halipo..
Eeeh hamna sehemu imekatazwa,tunaongozwa na neno sie....Tuna Amri kuu kumi....na miongozo mbalimbali,ukichonga shepu we mbinguni unaingia bila tatizo,labda matumizi ya hiyo shepu ndio yatakukwamishaAisee kumbe hata mkitengeneza shepu hamna dhambi au hamkosoi umbaji wa Mungu
Nimekuelewa mpendwa upande wenu tofauti na kwetu hii imeandikwa ni dhambi kubwa.Eeeh hamna sehemu imekatazwa,tunaongozwa na neno sie....Tuna Amri kuu kumi....na miongozo mbalimbali,ukichonga shepu we mbinguni unaingia bila tatizo,labda matumizi ya hiyo shepu ndio yatakukwamisha
Huko upande wenu mambo ya kuchonga shepu yalishatabiriwa?Nimekuelewa mpendwa upande wenu tofauti na kwetu hii imeandikwa ni dhambi kubwa.
Huko upande wenu mambo ya kuchonga shepu yalishatabiriwa?
Huko upande wenu mambo ya kuchonga shepu yalishatabiriwa?
Ameuliza Kwa uzuri tu Mkuu mbona povu,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Naona jana umeanza kwa Pastor Kapola. Leo umeamkia kwa Rose Shaboka.
Kesho kwa mwingine .
Listen, you are just an idiot. Lengo lako la kuwachafua Wakristo litagonga mwamba.
Huna unachokitafuta. Ni upuuzi tu na agenda zako za kipuuzi.
Asshole
Mke wangu anasali hilo kanisa. Nisikilize mimi, kama unataka kukua kiimani nenda kasali pale. Hawana longo longo na wanakupa za uso, ukizingua unaaambiwa wewe hamna pekecha pekecha mimi naona kabisa wife kakua kiakili na kiroho baada ya kusali pale ni kanisa zuri na wanajielewa. Pili sio wachungaji wanaowaza sadaka mbele, walivokuwa wanaanza kujenga kanisa walitoa zaidi ya kupokea which is weird, wamegawa nafaka kanisani kwao wamelea yatima yani ni watu wawili ambao hawana famba famba, jitanidi sikiliza mahubiri yao mtandaoni ata kwa wiki alafu utanielewa