Kuna Mzungu Mmoja anaishi kota za SUA Sokoine Campus Kilimo Street, anawaingilia wanaume kinyume na maumbile na jamii SUA inajua miaka mingi

Bila Jamii kuwa na awareness, basi kesho ya Vijana wetu itakuwa mbaya hakika.

Ndiyo maana kulikuwa na Msemo miaka ya zamani kuwa Mtoto wa mwenzio ni Mtoto wako.

Hivyo jamii ikiwa na collective responsibility, hakutakuwa na hayo mambo kabisa.

Tuungane kukemea hivyo vitendo
 
Serikali imeamua kufanya mradi ambao mataifa yaliyoendelea unaofanywa na makampuni binafsi na kupigwa vita na serikali zao.

Tumeangukia mtego hatarishi. Kuna mambo serikali na hata viongozi wake hawapaswi kushabikia au kujihusisha navyo. Ni basi tu weledi 0.
 
Hapa Zanzibar vijana wanakuwa ndogo kama kawa mpaka limekua Jambo la kawaida tu
 
Tayari viongozi mashoga wapo, walimu, madaktari, na nishashuhudia! Haya walio kwenye vyombo vya ulinzi na usalama nao wamo, mfano rahisi ni yule kijana wa Znz na matrafiki michele mpaka hapa bara tunao.

Bado kwenye ndondi na soka tu... eeh! Mungu wangu 😔😔😔🙌🏾🙏🏾
 
Wewe choko acha kuniita mimi bwana,mm sio bwana yako,acha kujilengesha,unajitoa ufahamu sio? Wagalatia wenzako wakiona mada inahusu mwarabu hua wanaingiza udini moja kwa moja,punguza kujitoa ufahamu.

Sawa nenda kaolewe uarabuni maana kila mada lazima uingize mabwana zako waarabu.
 
Mungu atusaidie kwa kweli 🙏🙏
 

Shida ni kwamba wakiachwa tatizo litazidi kuongozeka!
Baadae wataanza movement za kudai haki na pia kudai ndoa za jinsia moja zihalalishwe kama ilivyo kwa nchi za magharibi
 
Acha wapelekewe moto tu si tamaa zao wenyewe.
Mwisho wa siku kama hawabakwi na hawatumii nyero za wenzao basi na waendelee tu.
 

Hiyo misemo ya zamani asante kwa kutukumbushia ila zamani ni tofauti na sasa ndio maana sasa hivi kuna maendeleo ya technologia (udigitali) Mtoto wa mwenzio sasa hivi si mtoto wako tena maana ni mkubwa mwenzio tena bila wewe kumjua kama ni mkubwa anajieleza kwa vitendo ili ujue kama ni mkubwa mwenzio kwaiyo ni nguvu kwa nadharia iyo uliyoisema kujithibitisha kwa sasa ndio maana we just mind our business na wao wa do the same akili kumkichwa kwa sasa
 
Wewe umejuaje, maana ni jambo linafanyika kwa siri chumbani. Au na wewe umesikia?, Au tayari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…