Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mkuu,Huo utaratibu upo nchi nyingi. Kenya upo. Hata Obama pia alipewa nyumba.
Usichokijua kingine ni kwamba Raisi mstaafu bongo hii anapewa monthly 80% his pensionable salary.
Anapewa entertainment allowance. Two personal secretaries, Four messengers, office space, two drivers, moja wake mwingine mke wake.
Home workers to 34 including dobi, mtu wa bustani, full medical cover, full furnished office inatengewa pesa ya uchakavu kila mwaka.
Raisi mstaafu anapewa gari nne sio moja, Mwinyi anawake wawili kila mmoja anapewa gari na mpambe and other perks including Mafuta, vipuri na matengenezo under tax payers expenses.
Unapoambiwa keki ya taifa uwe unajua ni ya wateule.
Hiyo habari ya Obama kupewa nyumba una source gani?
Wamarekani mambo yao wanaweka mtandaoni. Sheria yao ya mafao ya marais wastaafu hii hapa, haijataja nyumba.