Kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?

Kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?

Huo utaratibu upo nchi nyingi. Kenya upo. Hata Obama pia alipewa nyumba.
Usichokijua kingine ni kwamba Raisi mstaafu bongo hii anapewa monthly 80% his pensionable salary.
Anapewa entertainment allowance. Two personal secretaries, Four messengers, office space, two drivers, moja wake mwingine mke wake.
Home workers to 34 including dobi, mtu wa bustani, full medical cover, full furnished office inatengewa pesa ya uchakavu kila mwaka.
Raisi mstaafu anapewa gari nne sio moja, Mwinyi anawake wawili kila mmoja anapewa gari na mpambe and other perks including Mafuta, vipuri na matengenezo under tax payers expenses.

Unapoambiwa keki ya taifa uwe unajua ni ya wateule.
Mkuu,

Hiyo habari ya Obama kupewa nyumba una source gani?

Wamarekani mambo yao wanaweka mtandaoni. Sheria yao ya mafao ya marais wastaafu hii hapa, haijataja nyumba.

 
Mkuu,

Hiyo habari ya Obama kupewa nyumba una source gani?

Wamarekani mambo yao wanaweka mtandaoni. Sheria yao ya mafao ya marais wastaafu hii hapa, haijataja nyumba.

Obama alipomaliza muda wake alipanga nyumba Washington ili awe karibu na mtoto wake ambae alikuwa bado yuko High School. Pension ya Rais wa Marekani inakatwa kodi ni sawa na mshahara wa Cabinet Secretary ( around 180000 Usd wakati wa Rais ni around 400000).

Amandla...
 
Ningependa kujua kama kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?

Na inawapa magari mapya ambayo kila baada ya miaka mitano wanapewa mengine mapya ( sijui tamati ya yale ya awali). Uhuru amepewa nyumba?

Amandla...
Hakuna nchi nyingine yenye upumbavu kama huu hapa duniani isipokuwa nchi hii tu ya kufikirika na yenye viongozi ambao vichwani mwao mmejaa konokono
 
Huo utaratibu upo nchi nyingi. Kenya upo. Hata Obama pia alipewa nyumba.
Usichokijua kingine ni kwamba Raisi mstaafu bongo hii anapewa monthly 80% his pensionable salary.
Anapewa entertainment allowance. Two personal secretaries, Four messengers, office space, two drivers, moja wake mwingine mke wake.
Home workers to 34 including dobi, mtu wa bustani, full medical cover, full furnished office inatengewa pesa ya uchakavu kila mwaka.
Raisi mstaafu anapewa gari nne sio moja, Mwinyi anawake wawili kila mmoja anapewa gari na mpambe and other perks including Mafuta, vipuri na matengenezo under tax payers expenses.

Unapoambiwa keki ya taifa uwe unajua ni ya wateule.
Duh! Hata huko Kenya utaratibu wao ni kama wa kwetu kwenye kila kitu ulichotaja?
 
Ningependa kujua kama kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?

Na inawapa magari mapya ambayo kila baada ya miaka mitano wanapewa mengine mapya ( sijui tamati ya yale ya awali). Uhuru amepewa nyumba?

Amandla...
Kule hawana ujinga huo ni CCM pekee wameweka huu utaratibu wa kijinga
 
Asante MMK. Its been a minute toka tumeonana.
Swali langu ni kwa nini tuwashukuru kwa kuwapa nyumba? Hivi kweli kwa ile posho na marupurupu wanayopewa wanashindwa kujijengea nyumba kama wanaona ina umuhimu? Ni selfishness ya hali ya juu na wigo wa wanaoona nao ni haki yao kujengewa nyumba ya kifahari unapanuka. Mimi nitashangaa sana nikisikia kuwa Rais wetu wa sasa hana nyumba na alikuwa anapanga kabla ya kuwa VP. Kwa nini tunakazania kuwaongezea utajiri watu ambao ni matajiri wa kutupa? Hatuna mahitaji mengine zaidi ya hayo?
Wamarekani marais wanajenga maktaba ambayo inakuwa kumbukumbu yao na inaendeleza mambo ambayo anaona yana umuhimu kwa jamii, k.m. Carter Centre. Wanawarudishia fadhila kwa wananchi waliowapa heshima ya urais. Sisi wanaona kuwa walitutendea favour hivyo tunapaswa kuwashukuru kwa kuwa viongozi wetu. Hii haijakaa vizuri hata kidogo.

Amandla...
Jimmy Carter bado anaishi kwenye nyumba yake aliyoijenga mwaka 1960!

Yeye na mkewe walirudi Plains, Georgia, kwenye nyumba yao baada ya utumishi wao kumalizika.

Ni nyumba ya kawaida kabisa.

IMG_6098.jpeg


Na hivi mshahara wa Rais wa Tanzania ni kiasi gani?
 
Jimmy Carter bado anaishi kwenye nyumba yake aliyoijenga mwaka 1960!

Yeye na mkewe walirudi Plains, Georgia, kwenye nyumba yao baada ya utumishi wao kumalizika.

Ni nyumba ya kawaida kabisa.

View attachment 2924819

Na hivi mshahara wa Rais wa Tanzania ni kiasi gani?
Hawataki kusema. That is the crux of the issue. Sijui kwa nini wanaufanya siri unless mshahara ni so obscene kiasi kuwa wanaogopa reaction za watu. Haya mapesa tunayoambiwa anatoa kila siku inanifanya nihisi hivyo.
Mishahara ya watumishi wote wa umma inatakuwa iwe wazi with no exception. Pamoja na mapato na assets zao zote. Hii itaondoa hisia za conflict of interest na kuwa wanajitajirisha kutokana na nafasi zao.

Amandla...
 
Ningependa kujua kama kuna nchi nyingine ambayo inawajengea/inawapa nyumba viongozi wake wakuu wakitoka madarakani?

Na inawapa magari mapya ambayo kila baada ya miaka mitano wanapewa mengine mapya ( sijui tamati ya yale ya awali). Uhuru amepewa nyumba?

Amandla...
Duh 🙄 !
 
Hawataki kusema. That is the crux of the issue. Sijui kwa nini wanaufanya siri unless mshahara ni so obscene kiasi kuwa wanaogopa reaction za watu. Haya mapesa tunayoambiwa anatoa kila siku inanifanya nihisi hivyo.
Mishahara ya watumishi wote wa umma inatakuwa iwe wazi with no exception. Pamoja na mapato na assets zao zote. Hii itaondoa hisia za conflict of interest na kuwa wanajitajirisha kutokana na nafasi zao.

Amandla...
Ukiingia Google mishahara ya wakubwa wote huko Duniani ipo wazi haifichwi !

Ukweli na Uwazi wa hayati Mkapa uliishia kwenye nini ??!!
Lakini sorry Tunasemaga kila Nchi na sheria zake 🙏🙏 !
 
Ukiingia Google mishahara ya wakubwa wote huko Duniani ipo wazi haifichwi !

Ukweli na Uwazi wa hayati Mkapa uliishia kwenye nini ??!!
Lakini sorry Tunasemaga kila Nchi na sheria zake 🙏🙏 !
Hata Mkapa hakuweka wazi mshahara wake na vyanzo vyake vingine vya fedha!

Amandla...
 
Tz tuna mungu, huyu mungu kitu pekee asichokuwa na access nacho ni kumrudishia mfu pumzi…….

Otherwise vitu vingine vyote anaviweza labda asitake mwenyewe. Turejee kauli ya Ridhiwani, “……isingekuwa busara za Baba yangu….”

Inabaki busara na hekima ya kiongozi husika ili mambo yaende sawa .
 
Back
Top Bottom