Hii imekaaje ukimuondosha huyo HG unafagia uwanja/kupika/kudeki mwenyewe au inakuwaje mambo ya house keeping hapo home?Hongera kwa hilooo!mi nimeleta house girl juzi kwa kua wako madarasa ya mithani wote Ila mwakani dada anaondoka watakua boarding wengine std 5 mziki ule ule una njaa pika mwenyewe
Nilimuacha paleMr.Bukuku..
Sisi tulikua na Mwalimu wa Physics anaitwa Mr.Sophyline
Mi mwenyewe nasoma nowadays na Niko tight Ila enzi Niko tu kazini,mbona nilikua nafanya mwenyewe vyoteHii imekaaje ukimuondosha huyo HG unafagia uwanja/kupika/kudeki mwenyewe au inakuwaje mambo ya house keeping hapo home?
Miaka yotr hiyo nikae ubaoni ili kujifunza namna ya kujifunza.Wewe mzee umeshapiga Masters, unaanza kutuona hatufai
Hahahaja kumbe wamama mabandidu tupo wengi,mm hapa nishapiga simi wakimaliza homework wafanye usafi chumban kwao wafunge na neti kabisaa wapulize dawa,wamwagilie bustan wengne wakasafishe njee wakimaliza saa12 jioni wawe bafuni kuogaa,,mtoto mzembe kwangu atakimbiaHongera kwa hilooo!mi nimeleta house girl juzi kwa kua wako madarasa ya mithani wote Ila mwakani dada anaondoka watakua boarding wengine std 5 mziki ule ule una njaa pika mwenyewe
Kwanza siwezi Lea mtoto wa mtu maana ntaambiwa namtesa hawa kina junia junia hawa kwangu noo!Hahahaja kumbe wamama mabandidu tupo wengi,mm hapa nishapiga simi wakimaliza homework wafanye usafi chumban kwao wafunge na neti kabisaa wapulize dawa,wamwagilie bustan wengne wakasafishe njee wakimaliza saa12 jioni wawe bafuni kuogaa,,mtoto mzembe kwangu atakimbia
[emoji23][emoji23][emoji23]Mafanikio MO
Yupo dogo mmoja anaendesha clearing & forwarding kibingwa sasa. Na wana meli ndogo zinazo shuttle mizigo Dar Zanzibar!
Yupo communications manager Fulani alikuwa migodini sasa yupo kwenye mafuta!
Yupo Waziri wa Stima!
Wapo watu Gates foundation!
Wapo wengi balozi nyingi Tu!
Mafanikio yapo! Ila ukimuangalia Le Mutuz, hupeleki mtoto nje!
Lakini kaupata udaktari au sivyo?Kuna mtoto alienda China akiwa na maadili yote akarudi bangi mtu...
Alafu wa kike...
Kipindi cha mgomo wa madaktari alikuwa jina la juu kabisa...
Kama mtoto ataharibika UDOM basi anahitaji maombi huyoMitoto mijinga inaharibika hata Udom tu hapo, achilia mbali UDSM.
Wangemuacha ajiue tu, ili wamzike waone kaburi kuliko kwenda huko mazima.Yaani mtihani. Kuna ile mtoto unafanya machafu vile upo mbali na wazazi ila ukirudi nyumbani upo kama kondoo lakini yeye hakuficha chochote kuanzia mavazi nywele yan ovyo ovyo. Mtoto anarudi utasema kuna msiba nyumban kumbe mtoto katoka canada. Tunasubir arudi tena sijui atakuja na hali gani kwani baada ya kuambiwa atabaki tz alitishia kujiua hvyo imebidi arudishwe huko akapotee mazima