Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Kuna nchi ukimpeleka mtoto kusoma chuo utajuta

Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundishe😂😂😂
"Hizo mamy am going to school" wala sio sababu chief...watoto wrtu wengi tu wanasoma hizo shule ila malez ya kuwapenda saanaaaa watoto leo hii ndio shida.

Dakika hii niko jamii forum nachat yf yuko town ila dogo ndio yuko jikon saa hiz anapika ..hapo kashafanya home work na nguo za shule kafua zake n za wadogo zake..na yuko shule hiz hiz za kileo 10 years old...

Malez tu ndio shida..leo mtoto kama vile kesho atabaki yatima...lakin pia tuwaombee sana watoto..malezi ni changamoto sana dunia ya sasa tume dedicate time sana kutafuta pesa tumeacha jukum la msingi...

The traditional african ways of parenting are the best.
 
Mtaani kwangu kuna vijana wawili wamewahi kupitia hilo.

Mmoja alipelekwa malaysia alisoma kama mwaka then chuo akaacha kwenda mpaka akafukuzwa akawa mlevi sanaaa. Wazaz wake walivyogundua wakamrudisha bongo.

Mwengine alipelekwa china nae chuo akumaliza alirudishwa kwa deportation kwa case ya utapeli
Mm mtoto WA mjomba alipelekwa China hajamaliza masomo mjomba analalamika Tu wazazi wengi wanaisigi wanalogwa
 
Sure mkuu..Lea mtoto kama vile humpendi...lea kama vile kesho hutakuwepo wewe atabaki na strangers..

Mpende mtoto lakin usimfanye ajione special priority kwako..mwache awe na time zake huku unamfuatilia kisir sir..
Kumchapa mtoto kila mzazi huws kuna muuma moyoni lakin usiache kumchapa sometimes anapokosea..thiugh isiwe too much akawa mwoga...

Hiz shule za english medium leo hii hazikuz watoto katika namna ya kuwafanya wawe independ japi wanajitahid upande wa academics so jitahid mzazi amirud home iwe kaz kaz...

Hili ili lifanikiwe kwakwel wazaz lazima lenu liwe moja..
Mfano mimi, home hatuna house girl, bas yf anapigisha mzigo madogo mpaka mpaka nasema dah mke wangu utaniulia wanangu ila nasema waache...
My 10 yrs first born girl ndio ana jukum la kuwa pikia wadogo zake wawil kuwsogesha kuosha vyombo na unawaacha wenyew n everything works out fine na tunaish kisasa tu.

Sio rahis..lakin mojawapo ya sababu ya malez duni ni SINGLE PARENTING.
Siyo single parenting,
Tuna ulimbukeni Fulani wa kulea hawa kina Junior
Nikiangalia Mie bila ya wazazi kunicharaza sijui hata kama ningekuwepo nilivvyo hivi!

Na wengi iwe single parenting au duo. Kama mtoto humshepu, humpi majukumu, humuwajibishi at earliest age. Basi ni suala la muda Tu, itakuwa mzigo kwako!

Hongera kwa makuzi, Mkijipanga mkakubaliana mnaweza! Ila mkitegemea beki 3, ni janga!
 
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda

Siyo huko tu, hata Tanzania tu mtoto akitoka kijijini kwenda kusoma UD ambapo hana ndugu wa karibu, mara nyingi wengi wanabweteka na kusombwa na ulimbukeni wa mjini.

Nje ya nchi ndo usiseme kabisaaaaaa. No pori kwasababu hakuna mtu anamind unachokifanya kwa hoja ya kwamba mtu mzima hapangiwi kumbe mengi wanayokutana nayo ni mageni hivyo vijana wana abuse ule uhuru na kuishia kuzama kwenye ulimbukeni mbaya sana.

Wengine wanajiunga na makundi yasiyo faa na haya yote yanaathiri malengo ya safari yao ya elimu.

Out of frustration, na disappointments, wengi huishia kutumia madawa ya kulevya na hata kushindwa kurudi nyumbani kwa aibu au kushindwa kimaisha.

Kumpeleka mtoto kusoma nje kunahitaji maandalizi makubwa kisaikolojia la sivyo ni uwekezaji wenye risk kubwa sana. Japo umri mzuri wa kwenda nje ndo ujana.
 
tatizo haliwez kuwa mtoto kusoma chuo cha nje ya nchi,,,iyo inategemea uyo dogo mwenyewe kama anajielewa au ndovile tena.

nilisoma mkoani shule za uko ndanindani. ile shule ilijaa watoto wengi manunda, wengi wakijinasibu kutoka familia bora na hawa wengi wao walikuwa wa kutoka dar. utakuta dogo ile asbh nyie mnajipanga muingie skuli yy anachomekea anaingia kitaa na hapo unakuta hakuna mzazi wala mlezi wa kufatilia.

wazaz wanatuma ada shuleni lakini unakuta hawafatilii maendeleo ya mtoto shuleni mwisho wa watu hawa unafurahisha sana maana uzuri wa shule haidanganyi.
 
"Hizo mamy am going to school" wala sio sababu chief...watoto wrtu wengi tu wanasoma hizo shule ila malez ya kuwapenda saanaaaa watoto leo hii ndio shida.

Dakika hii niko jamii forum nachat yf yuko town ila dogo ndio yuko jikon saa hiz anapika ..hapo kashafanya home work na nguo za shule kafua zake n za wadogo zake..na yuko shule hiz hiz za kileo 10 years old...

Malez tu ndio shida..leo mtoto kama vile kesho atabaki yatima...lakin pia tuwaombee sana watoto..malezi ni changamoto sana dunia ya sasa tume dedicate time sana kutafuta pesa tumeacha jukum la msingi...

The traditional african ways of parenting are the best.
Ni nzurii mmeweza cz anajifunza maisha

japo m'balance kidogo asije chukia maisha cz kaanza ukubwa mapema

Msisahau bado ni mtoto kukosea hapa na pale isiwe kesi
Hio yuko darasa la 4/5?
 
Kuna mshikaji amepanga juzi kati tu apa kaa miez mitatu ishapita ..nnapokaa Mimi Sasa tumeanza kuzoeana baada ya kuona life langu ..Basi akanifuata mzee kafunguka Yani hajui kitu Zaid ya kupika chai na kuchemsha mayai tu ..anakula vibandani umo ..Ni wale mamy am going to school..
Basi anataka nimfundishe angalau kupika ..nimempanga atafute angalau 150k. Sifanyi kazi za bure labda arudi kwa maza ake akamfundishe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji4][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nothing goes for nothing
 
Kweli kabisa, yani kuna mama mumewe alisomea Russia...

Msomi mzuri tu ila alikuwa tungi mtu...

Figo zikafeli...akaanza kubadilika rangi mwilini

Tushamfukia...

Mama kabaki mjane...
Russia ni habari nyingine mkuu
Vodka zimeharibu vijana wengi Sana waliobahatika kusoma
Huko wengi wazee wa tungi
 
Ni nzurii mmeweza cz anajifunza maisha

japo m'balance kidogo asije chukia maisha cz kaanza ukubwa mapema

Msisahau bado ni mtoto kukosea hapa na pale isiwe kesi
Hio yuko darasa la 4/5?
Very true..kuna muda unawapa uhuru wao kama watoto wafanye yao not all the time unawa tight..yuko class 6.
 
"Hizo mamy am going to school" wala sio sababu chief...watoto wrtu wengi tu wanasoma hizo shule ila malez ya kuwapenda saanaaaa watoto leo hii ndio shida.

Dakika hii niko jamii forum nachat yf yuko town ila dogo ndio yuko jikon saa hiz anapika ..hapo kashafanya home work na nguo za shule kafua zake n za wadogo zake..na yuko shule hiz hiz za kileo 10 years old...

Malez tu ndio shida..leo mtoto kama vile kesho atabaki yatima...lakin pia tuwaombee sana watoto..malezi ni changamoto sana dunia ya sasa tume dedicate time sana kutafuta pesa tumeacha jukum la msingi...

The traditional african ways of parenting are the best.
Hongera kwa hilooo!mi nimeleta house girl juzi kwa kua wako madarasa ya mithani wote Ila mwakani dada anaondoka watakua boarding wengine std 5 mziki ule ule una njaa pika mwenyewe
 
Siyo single parenting,
Tuna ulimbukeni Fulani wa kulea hawa kina Junior
Nikiangalia Mie bila ya wazazi kunicharaza sijui hata kama ningekuwepo nilivvyo hivi!

Na wengi iwe single parenting au duo. Kama mtoto humshepu, humpi majukumu, humuwajibishi at earliest age. Basi ni suala la muda Tu, itakuwa mzigo kwako!

Hongera kwa makuzi, Mkijipanga mkakubaliana mnaweza! Ila mkitegemea beki 3, ni janga!
Ahsante umemaliza,Mimi Kuna siku wanangu mmerudi nakuta hawajaosha vyombo dada yao mkubwa kapika wao wamekaa tu,mda wa chakula Cha usiku kulikua na vifuu nikawaambia hizi kwa leo ndo sahani zenu,huwaga siongei Sanaa nkichoka but actions tu!waliomba radhi na waliosha vyombo usiku halikujitokeza Tena lile tukio!!

Mi sichapi Sanaa Ila vitendo tu!adhabu kuwapunguzia zawadi n.k
 
Yan anatia huruma wazaz wake wamefariki wote yupo tu kwenye mjengo wao masaki hana hili wala lile na wenyewe wapo wawili mwenzake kabaki huko canada. Mwaka jana mama yao alikua kwenye life supporting machine yule wa canada akarudi amekaa wiki akawa anawaambia baba zake wakubwa mama atolewe machine ili afe ye arudi zake canada sasa sijui ni bahati nzuri au mbaya kabla kikao hakijakaa kama atolewe ile machine akafa jioni yake
Labda aliona mama yake anateseka mno
 
Ku
Jamani wana JF kuna malalamiko mengi ya wazazi na wadhamini wanaofadhili watoto kwenda vyuo nchi mbali mbali.

Sio wote wanaokwenda hizo nchi wakafanya vizuri ila wimbi kubwa linapotea sana kwa sababu kilicho wapeleka kusoma kukifata hakipo.

Hizi nchi kama mtoto hashikiki na mda wote anaweza kubadilika kabisa.

Nchi hizi ni USA,CANADA,CHINA NA MALYSIA.

asilimia kubwa watoto wanao kwenda nchi za china na usa ushindwa kusoma na kufanya mengine ambayo ni majuto.

Hili na zungumzia kwa sababu nimeshuhudia watoto wengi waliopelekwa china mwisho wa siku wameacha chuo,matokeo mabovu kwa sababu ya biashara zilizopo huko.
na USA asilimia kubwa watoto ubadilika na kuanza kufanya mambo ya ajabu hata kuacha chuo kuanza kufanya kazi.

Tunajadili na kutoa ushuuda
Kuna jamaa alipelekwa hapo tu Kenya hajatoboa akarudi Arusha
 
Ahsante umemaliza,Mimi Kuna siku wanangu mmerudi nakuta hawajaosha vyombo dada yao mkubwa kapika wao wamekaa tu,mda wa chakula Cha usiku kulikua na vifuu nikawaambia hizi kwa leo ndo sahani zenu,huwaga siongei Sanaa nkichoka but actions tu!waliomba radhi na waliosha vyombo usiku halikujitokeza Tena lile tukio!!

Mi sichapi Sanaa Ila vitendo tu!adhabu kuwapunguzia zawadi n.k
Kuna style nyingi za kulea, zinazoleta matokeo. Mimi nilikuwa mtukutu, bright, hyper Kwa kweli kiboko kilikuwa kinanituliza, nilikuwa nafanya tu wala sifikiriii.

Kiboko kilikuwa kinanifikirizha. Najikuta vinginevyo sifanyi!
Mama ndiyo alikuwa anatoa kibano! Mdingi alikuwa akichimba biti!

Age 10-11, nikawa nimejielewa fimbo za nyumbani zikaisha! Nafikiri na shule kuwa serious
 
Russia sijui kuna nini hata madajtari waliosoma huko ni vituko sana.

Hua inashangaza sana wengi wakienda Russia inakua hivo nawafaham madocta watatu wawil walevi kupindukia alisalimika mmoja tu wakike ndio sio mlevi but wote waligraduate!Kunani Russia? #Msongo wa mawazo, upweke, ubaguzi kupeleka mtu kutumia vilev vikali au nini?
 
Kweli kabisa, yani kuna mama mumewe alisomea Russia...

Msomi mzuri tu ila alikuwa tungi mtu...

Figo zikafeli...akaanza kubadilika rangi mwilini

Tushamfukia...

Mama kabaki mjane...
... wengi walioenda Russia hawajawahi kurudi binadamu kamili; wanarudigi nusu mtu, nusu debris.
 
Back
Top Bottom