Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Kuna nchi zipo vizuri ila huwa hawapigi kelele sana kama Majirani zetu

Nasubiri mhame JF, nashangaa bado mnajibu jibu ilhali mumeahidi kuhama mkionyeshwa ushahidi kwamba mpo bado sana kuikaribia Kenya.
Here are examples of 3 level interchanges wacheni uhuni, hautawasaidia chochote huo ubabaishaji, km mliongopewa ss ndiyo mjifunze kutoka Tz[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3]
tapatalk_1583141294894.jpeg
tapatalk_1583141566251.jpeg
tapatalk_1590874457634.jpeg
 
Kenya tuko vizuri kuzidi mataifa yote ukanda huu na lazima tuwakumbushie hili kila siku, msiotaka kuskia acheni kusoma taarifa za Kenya mtapata amani.
Acha kujigamba wewe. Nenda kawasaidie hawa ndugu zako na uwaambie eti Kenya tuko vizuri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hajuangi wewe ni mwana uchumi hata mimi nimetii,vile unasemanga ukionanga mavii ya muzee ya kizungu kwako unakua umeonanga Pesa !! Ila sasa chali yangu ya naii mimi nina swali kwanini wakeii wana watawaza wazungu ila wenyewe amji tawazi mnatoka chooni na kinyesi hadi kinaunguza mapaja mfano utakuta manzi Mrembo Kenya ila sehemu za siri zimeungua kwa kinyesi kweusi tofauti na rangi ya sehemu zingine
Hahaha wewe ni wazimu
 
Hehehe!! Hongereni ila haya mavitu yalishatuchosha, sisi kwetu hapa yapo hadi mikoani wacha nyie ndio mumepata ya kwanza Dar mnataka kuangusha server za JF kwa misifa.
Toka undoke tz ukija lazima upotee mambo ni [emoji573][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91]
 
Stop your stupidity. Here is another example of a three level interchange. Overpass, the middle normal road and the tunnel
View attachment 1466558
Wa Tzn hasa hawa wa humu maalumu kwa propaganda huwa hawako tayari kukubari ukweli,ukifika miji mingi ya Kenya ina hizi flyovers na interchange wakati huku Tzn ndio kwaanza zinaanza kuingia jiji kuu la Dar lakini kelele zinakuwa nyingi utadhani ndio tunaongoza Africa
Ghana,Ivory Cost,Angola,Kenya nk ni baadhi tu ya nchi za Kiafrica zenye hizo mambo miaka mingi sana sasa huwa sielewi kelele ni za nini
 
Wa Tzn hasa hawa wa humu maalumu kwa propaganda huwa hawako tayari kukubari ukweli,ukifika miji mingi ya Kenya ina hizi flyovers na interchange wakati huku Tzn ndio kwaanza zinaanza kuingia jiji kuu la Dar lakini kelele zinakuwa nyingi utadhani ndio tunaongoza Africa
Ghana,Ivory Cost,Angola,Kenya nk ni baadhi tu ya nchi za Kiafrica zenye hizo mambo miaka mingi sana sasa huwa sielewi kelele ni za nini
Kafie mbele kwenye slums zenu uko mathare
 
Naona upo kwenye ma3 apo ukipiga picha the upcoming first 3level interchange in Kenya, maanina ukipata signboard nitag[emoji3][emoji3]
First of all these are not my pictures. Secondly you are contradicting yourself. Let me quote " ...Naona...ukipiga picha the upcoming 3 level interchange...", "...ukipata signboard unitag"

The two sentences are showing how confused you are, you don't know whether to accept the reality as in your first claim and I quote "...unapiga picha the upcoming three level interchange" or to deny as in your second claim " ukipata signboard unitag".

So my question is, where do you stand?
 
Back
Top Bottom