Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
China ni rafiki wa raslimali za afrikaChina ndio rafiki wa Afrika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
China ni rafiki wa raslimali za afrikaChina ndio rafiki wa Afrika?
Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimalizaWakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Mkiendelea na ujinga huu mtabakia na China na BurundiWakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimaliza
Nchi imekuwa kama Somalia.Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Hao wote ni wale ukisoma Scramble and partition of Afrika utawakuta.Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Mkuu JokaKuu ,kuwa msukule maana yake ni kutolewa ubongo/akili. Hilo swali mpaka aelezwe cha kujibu ndio ataweza kujibu,tena jibu lisilo sahihi...kama siyo rafiki kwanini tuna ofisi za ubalozi ktk nchi hizo?
Namuonea huruma huyo "D" atakapokuja kuhuzunishwa baada ya kugundua haya maandishi ni ya mama yake.Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya Chadema, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?
Jibu: Chadema walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
Taifa linapokosa viongozi matokeo yake ndiyo hayaHaki huinua taifa. Kinyume chake ndio kinachotusumbua. Ni kama mfanyakazi wa kata anaponyimwa haki,hawezi kutulia tu wewe mtendaji ukamfanya unavyoweza. Atahangaika kwa DC, PCCB, CCM, kwa mbunge atahaha kila kona.
Hata Mandela alikimbia nchi sababu ya MakaburuYou must be crazy, ebu ongelea political environment Tanzania....mauaji yanayotokea hapa, politically motivated ones unayasemeaje! Adui wangu siyo ngozi, adui wangu ni yule anayenidhulumu haki yangu. Nikipata jirani akanisaidia kupaa haki yangu nitamtumia
The conduct is not inadvertent but clearly DeliberateThank you for your offensive insult that to me doesn't outshne my brilliance challenges to the fora board as did not derail the set out ethics. I sincerely applaud for your inadvertent immoral conduct that demonstrates the kind of generation you are astrayed for the dooms.
Halafu wanajua Tanzania kuna rasilimali tele za "killer" namna ambazo "be-4" waliozoea kuzihonyoa free of charge. JPM kakata ule mrija wa "great aorta" uliokua unawarudishia "damu" ku mwoyo.Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya Chadema, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?
Jibu: Chadema walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
You got it rightly & said it so well.Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimaliza
Tuombe uzima tuu, ipo siku utaelewa na utakukumbusha kwa kusoma hii postNamuonea huruma huyo "D" atakapokuja kuhuzunishwa baada ya kugundua haya maandishi ni ya mama yake.
Jibu la swali lako ni swali lifuatalo ...Wakuu,
Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.
Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?
Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?
Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Mkuu,Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?
Jibu: CHADEMA walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
Mkuu,
Kumbe ndivyo ilivyokuwa? Ndio maana ya kelele zote za kudai ukiukwaji wa haki za binadamu, ubinywaji wa uhuru wa kujieleza matakwa yao yasiyozingatia sheria na tamaduni za nchi husika!!!
Kuna figisu, njama, konspairasi, komplisiti na dhe laiki, maana hao jamaa ni watu wa Chama cha Demoghasia na Mombolezo deileee.Jibu la swali lako ni swali lifuatalo ...
Kuna nini nyuma ya pazia kati ya CCM, TISS, NEC na POLISI dhidi ya CHADEMA .... ???
SIO KWELI MAHOSPITALI, BARABARA, NK VINAWASAIDIA WANANCHI.Historia ni mwalimu mzuri, viongozi wa Africa tangu Mkwawa,Mirambo nk had,Mugabe ,M7 na jiwe hawajawahi kujali wananchi wala maslahi ya wananchi wao.hua wanaangalia matumbo yao