Kuna nini kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubelgiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Kuna nini kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubelgiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimaliza
 
Hakuna usalama Tanzania hii ni nchi ya laana...... Ngoja tupigwe kila kona hadi watoto wa dada na kina mayanga waelewe maana ya uchumi wa kato feki
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Mkiendelea na ujinga huu mtabakia na China na Burundi
 
Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimaliza

Mabalozi wametoa wapi mamlaka ya kufanya walichofanya?

Hivi tuna serikali na vyombo vya dola nchi hii? je, sisi ni nchi huru?
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Nchi imekuwa kama Somalia.
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Hao wote ni wale ukisoma Scramble and partition of Afrika utawakuta.
Ukizungimzia migogoro ya Afrika utawakuta hao.

Ila Kwetu wakijitekenya tutawasusa na Mungu atawatandika Kipigo cha Mbwa koko
 

Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya Chadema, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Jibu: Chadema walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
Namuonea huruma huyo "D" atakapokuja kuhuzunishwa baada ya kugundua haya maandishi ni ya mama yake.
 
Haki huinua taifa. Kinyume chake ndio kinachotusumbua. Ni kama mfanyakazi wa kata anaponyimwa haki,hawezi kutulia tu wewe mtendaji ukamfanya unavyoweza. Atahangaika kwa DC, PCCB, CCM, kwa mbunge atahaha kila kona.
Taifa linapokosa viongozi matokeo yake ndiyo haya
 
You must be crazy, ebu ongelea political environment Tanzania....mauaji yanayotokea hapa, politically motivated ones unayasemeaje! Adui wangu siyo ngozi, adui wangu ni yule anayenidhulumu haki yangu. Nikipata jirani akanisaidia kupaa haki yangu nitamtumia
Hata Mandela alikimbia nchi sababu ya Makaburu
 
Thank you for your offensive insult that to me doesn't outshne my brilliance challenges to the fora board as did not derail the set out ethics. I sincerely applaud for your inadvertent immoral conduct that demonstrates the kind of generation you are astrayed for the dooms.
The conduct is not inadvertent but clearly Deliberate
 

Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya Chadema, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Jibu: Chadema walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
Halafu wanajua Tanzania kuna rasilimali tele za "killer" namna ambazo "be-4" waliozoea kuzihonyoa free of charge. JPM kakata ule mrija wa "great aorta" uliokua unawarudishia "damu" ku mwoyo.
 
Kwa taarifa yako Lissu alitaka kujificha ubalozi wa USA walipomkatalia akaenda Ujerumani. Hata huko Germany nahisi, sina uhakika, ilikuwa rahisi kum-delelete alipowaambia tayari ana tiketi ya kwenda Belgium na fasta fasta wakamwondoa kabla issues za viti maalum hajalimaliza
You got it rightly & said it so well.
 
Wakuu,

Hili ni bandiko la swali ili kupata uelewa mpana kuhusiana na taswira mpya wanasiasa wa Tanzania na washirika wao wanavyoonesha katika siku za hivi karibuni.

Je, kuna uhusiano gani wa ziada nje ya utaratibu wa kawaida kwa nchi tajwa hapo juu na shirika mojawapo la haki za binadamu na chama kinzani chenye viongozi machachari zenye harakati hasi?

Je, sio muda muafaka kurejea mfumo wa usalama wa nchi na kurekebisha baadhi ya mambo ili kudhibiti mbinu chafu za kijasusi zinazoendelea hivi sasa kwa kutumia watu kutoka miongoni mwa waTanzania wenyewe ama kwa kujitambua au bila kuelewa kutokana na uerevu unaotumika kupandikiza hadaa kwa ulaghai uliobobea (mercenary hoodwink approach)?

Wajuvi wa masuala ya kijasusi tufumbueni macho tubaini mwelekeo ulio sahihi kwa mustakhbari wa Taifa.
Jibu la swali lako ni swali lifuatalo ...

Kuna nini nyuma ya pazia kati ya CCM, TISS, NEC na POLISI dhidi ya CHADEMA .... ???
 

Swali: Kuna nini nyuma ya Pazia kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Jibu: CHADEMA walikua wawakilishi wa Marekani, Ujerumani, Ubeligiji, Amnesty International na Kenya kwenye bunge la Tanzania sasa wawakilishwa wametaharuki kukosa uwakilishi waliouzoea
Mkuu,

Kumbe ndivyo ilivyokuwa? Ndio maana ya kelele zote za kudai ukiukwaji wa haki za binadamu, ubinywaji wa uhuru wa kujieleza matakwa yao yasiyozingatia sheria na tamaduni za nchi husika!!!
 
Mkuu,

Kumbe ndivyo ilivyokuwa? Ndio maana ya kelele zote za kudai ukiukwaji wa haki za binadamu, ubinywaji wa uhuru wa kujieleza matakwa yao yasiyozingatia sheria na tamaduni za nchi husika!!!

Maneno demokrasia, haki na uhuru ni maneno yanayoweza kujenga au kuibomoa taifa. Kila tunapoyaongelea tutafakari maendeleo ya mtanzania na uzalendo kwa nchi yetu

Mungu ibariki Tanzania
 
Jibu la swali lako ni swali lifuatalo ...

Kuna nini nyuma ya pazia kati ya CCM, TISS, NEC na POLISI dhidi ya CHADEMA .... ???
Kuna figisu, njama, konspairasi, komplisiti na dhe laiki, maana hao jamaa ni watu wa Chama cha Demoghasia na Mombolezo deileee.
 
Historia ni mwalimu mzuri, viongozi wa Africa tangu Mkwawa,Mirambo nk had,Mugabe ,M7 na jiwe hawajawahi kujali wananchi wala maslahi ya wananchi wao.hua wanaangalia matumbo yao
SIO KWELI MAHOSPITALI, BARABARA, NK VINAWASAIDIA WANANCHI.
 
Back
Top Bottom