Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Demokrasia kwao is just a word, a stepping-stone ya kutimizia malengo yao yeye tashwishwi. Kama ambavyo mtu anaweza kulebo package ya sumu with the word "asali tamu kutoka Tabora!" Halafu hawa jamaa ndio wametufundisha ule msemo Sumu haionjwi. Watanzania wametekeleza hicho kivitendo kwa kukataa kabisa kwenye ballot box kuonja sumu HIYO.Maneno demokrasia, haki na uhuru ni maneno yanayoweza kujenga au kuibomoa taifa. Kila tunapoyaongelea tutafakari maendeleo ya mtanzania na uzalendo kwa nchi yetu
Mungu ibariki Tanzania