Kuna nini kati ya CHADEMA, Marekani, Ujerumani, Ubelgiji, Amnesty International na Kenya dhidi ya Usalama wa Tanzania?

Hayo ni mapambio ya kina Kwame Nkruma, kila zama na kitabu chake. Mhutu must go, wala hana uzalendo, zaidi Sana Ni muuaji, katili, asiyefuata katiba. Amegeuza ikulu kuwa pango la wanyang'anyi.
You will go 1st!
 
Mwelekeo sahihi ni ciciem kuondoka madarakani bila hivyo wapenda demokrasia na haki za binadamu watazidisha kutugonga rungu hasa hasa kwa hii regime ya awamu ya tano.
Awamu hii ni wakiukaji wakubwa was misingi ya utawala was sheria na kuheshimu haki za binadamu. Hii awamu haina tofauti yeyote na uliokuwa utawala was busgiri was Sudan.
 
Nchi ulizotaja na shirika la Amnesty wapo busy kutugawa kwenye makundi kulingana nafasi zetu kiuchumi ili waweze kututawala. Kwamba kunapokuwa na kundi kubwa la watu maskini, ni rahisi kutumia kundi hili kuondoa uongozi uliopo na kupandikiza "puppets" ambao watatekeleza matakwa ya wale waliowaweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…