Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni hakika 100%Na ajabu ya siku hizi Rafiki anaweza kuwa karibu yako kuliko ndugu yako...
Siwezi kusema ndiyo au hapana...Hili ni hakika 100%
Yaan siku hizi ule msemo wa undugu si kufanana ,ndio watu tunauelewa sasa.
Lkn sio kwamba, watu wengi tunapenda kujionyesha wenye upendo kwa watu wambali ??? Hali inayofanya tuwe mbali kiupendo nandugu ??
100%Hivi wakuu nanyie mnaona kama mimi au?
Mbona kama ile Tamaduni yetu ya kutembeleana haipo tena.
Unajua ile tunakua, ilikua unasikia..Likizo hii tunaenda kwa Shangazi..kwa Baba mdogo. Kwa Mjomba... Kwa Bibi ...n.k
Lakini siku hizi hii kitu haipo
Au Mitandao yakijamii imechukua nafasi...yaan ukiona picha ya Ba mdogo kapost, unalike, unakoment.. Imeishaaa hiyooo
Au ukiona status yake wasap... Imeishaaaaaaa hiyo... Ndio salamu, ndio kujuliana hali?.
Hivi wakuu nanyie mnaona kama mimi au?
Mbona kama ile Tamaduni yetu ya kutembeleana haipo tena.
Unajua ile tunakua, ilikua unasikia..Likizo hii tunaenda kwa Shangazi..kwa Baba mdogo. Kwa Mjomba... Kwa Bibi ...n.k
Lakini siku hizi hii kitu haipo
Au Mitandao yakijamii imechukua nafasi...yaan ukiona picha ya Ba mdogo kapost, unalike, unakoment.. Imeishaaa hiyooo
Au ukiona status yake wasap... Imeishaaaaaaa hiyo... Ndio salamu, ndio kujuliana hali?.
Moja kati ya matokeo mabaya ya utandawazi ni kutuondolea upendo ndugu yangu.Umenifumbua macho..hapa inshu ni Upendo yaan upendo umetwaliwa na Utandawazi.
Nikweli ijapokua tu bize na maisha, ila tungekua na upendo, ubize usingekua kitu.
Lkn ,si Simu zipo bana tunapigiana tu inaisha?
Yaan we ubebe familia yako nzima unitembelee??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NakaziaAu tukikuaa majukumu yanakua mengi, kwahivo muda hatuna?
ukiumwa au kuuguzwa ndio umuhimu wa ndugu,hao marafiki watarara mbere. Shift za kuuguza.Hata zama hizi nguvu ya undugu imepungua sana, siku hizi watu baki ambao huna undugu nao ndio watu wenye upendo na kujali zaidi kuliko ndugu wa damu.
Nikweli mkuuu..nahii imefanya watu mahusiano ya karibu kupungua kabisaaaHakuna cha ubusy wala nn.
Mtindo wa maisha wa sahv ndio chanzo watu tumeelekeza ukaribu wetu kwenye social networks kuliko mawasiliano ya ana kwa ana tukiisi vimepitwa na wakati
Kaka kaka kaka..nmekuita mara tatu[emoji23][emoji23]We mdogo wangu Carlos The Jackal yaani nimlete mke wangu kwako akusalimie uishie kumla tunda kimasihara??
Hapa sasa, ndo unauona umuhim wa Nduguukiumwa au kuuguzwa ndio umuhimu wa ndugu,hao marafiki watarara mbere. Shift za kuuguza.
Kwa hakika mkuu nakubaliana nawee 100%Nimesikitishwa sana na hii mada.
Nami piaa nishawahi uliza mzee mbonq ndugu. Zetu saivi hawatutembeleii kama zamani.
Zamani nlikuwa naona ndugu wakitoka kijiji kimoja hadi kingine kwa baiskeli kuja kututembeleaa lakini saiv hapana.
Licha ya kuwa usafiri umekuwa nafuu na gharama nafuu lakini wapi.
Unaweza kuona unakaa na ndugu zako wa damu mji mmoja na hata msitembeleane.
Perhaps ndo unabii unatimia kuwa cku za mwisho upendo wa ndugu utapoaaa.